KimpaGhasha
JF-Expert Member
- Jun 21, 2020
- 327
- 459
Mkata kiu,the founder of the Boko Haram Muhammad Yusuf was a graduate of the Almajiri school who did not had the opportunity to attend the formal school,
Kwa kiswahili maana yake muanzilishi wa Boko Haram anaitwa muhammad yusufu alipitia hayo mafunzo ya almajiri huko north nigeria. Na hakuwai kusoma elimu dunia
Naamin kama Kuna mtu amebrainwashed basi ni wewe, maana hutaki kusikia chcht kuhusu uislam, waliokubrain wash wamefanikia.
Wamekujaza Kila aina ya chuki juu ya uislam na unachukia kweli.. lakin hata hicho ulichoambiwa nikizuru sion kam unajifanya,