Longido, Arusha: Vijana 70 wakamatwa na chuo chao kufungwa wakifundishwa karate na mafunzo ya siasa kali

Longido, Arusha: Vijana 70 wakamatwa na chuo chao kufungwa wakifundishwa karate na mafunzo ya siasa kali

Aki...
Suala la ugaidi limekuwa nyeti sana.

Mamlaka husika zimeshindwa kuthibitisha bila chembe ya wasiwasi kuwa tunalo tatizo la ugaidi Tanzania.
Waliohukumiwa na Mahakama kule Arusha kwa kulipua bomu kanisani hawakuwa magaidi? Yule dogo Rashid, Mtanzania aliyehusika na mashabulio ya kigaidi chuo kikuu cha Garisa kule Kenya na kuhukumiwa huko sio gaidi?

Vv
 
Tuangalie pia hao walimu wao wanapata wapi pesa ya kuwaweka vijana kambini na kuwahudumia? Kama wazazi wao hawachangii hata buku wao wanatoa wapi pesa hizo? Kata mnyororo wa pesa zao jeuri yote itakwisha
unaweza kuta hao watoto wanafanyiwa recruitment kwenda kujiunga na makundi ya kigaida kama al shabaab au hata kuanzisha kundi lao nchini, na huenda kuna wengine wapo sehemu mbalimbali nchini wakipatiwa mafunzo hayo. Serikali iingize watu wao kwenye nyumba za ibada kubaini uwepo wa itikadi kali za kidini zinazoweza kuwa hatari kwa usalama wa taifa
 
Watanzania bado sanaa hawajui walitakalo wapo kama ngedere......hao ulinzi na usalama mbna wameshindwa kulinda waandishi wa habar waliouawa na wanasiasa walio pigwa risasi
Wanawalindaje watu wanaowaua wenyewe?

Sana sana wapo mbele zaidi kwa kujiwekea kinga dhidi ya murder case
 
Tuweke udini pembeni

Je Watanzania hawapaswi kujifunza karate na judo? Je mbinu za kujilinda ni kinyume na sheria za nchi? Hizi tahariko tunazobabatizwa nazo kila mara kwa jina la ulinzi na usalama, kwa nini serikali isipeleke mamluki wake hapo nao wakajifunza hayo mafunzo ili kuyachuja kama ni hatari kwa jamii? Naona badala yake ni hizi Kamati za Ulinzi na Usalama zimejikita kwenye kupambania taharuki kuliko kutumia weledi na akili kudeal na haya mambo
Well said
 
Mimi nimeshangaa, mafunzo ya judo na karate china watoto wanajifunza tokea wakiwa watoto wadogo kabisa, cha ajabu ni nini watoto wakifunzwa mafunzo hayo??Labda waseme kuwa wameachishwa shule na kutoroshwa au hiko chuo hakina usajili sawa, ila mafunzo hayo yana kasoro gani?

Labda watuambie kuwa wamekuta silaha na mabomu labda, wanaacha mambo ya msingi wanakimbilia kupiga vita mafunzo ya ukakamavu?
Suala siyo kupiga mafunzo ya ukakamavu bali kwa nini waachishwe shule za kawaida? Kama Waislamu wanataka hayo mafunzo waiarifu wizara ya elimu ili yafundishwe pamoja na Islamic studies mashuleni.
 
Masta...
Mimi sina taarifa kamili ya hicho walichokuwa wanafundishwa hao vijana 70 wa Kiislam ambacho walioamua kufungia chuo chao wamekiona.

Ningefahamu hayo masomo yaliyoonekana ni itikadi kali ningeweza kujaribu kuchangia.
itikadi kali ni masomo ya dini ya kiislam mzee wangu, umeombwa ueleze kama kwenye dini ya kiisla kuna itikadi kali
 
  • Thanks
Reactions: 511
Habari hii imerushwa ITV saa 2 hii usiku.

Kamati ya Ulinzi na usalama Wilaya ya Longido Mkoa wa Arusha imekifunga chuo kimoja cha mafunzo ya kiislam kwa kutishia Amani na usalama wa nchi ambapo wamewakuta vijana walioachishwa shule za msingi na sekondari walioenda kufunzwa Imani Kali na mapigano (Karate na judo)

Mkuu wa Wilaya ha Longido amefanya hilo leo baada ya kamati ya usalama kupata taarifa juu ya mafunzo yanayofanywa kwenye chuo hiko kisichosajiliwa.

Kimsingi vyuo hivi vipo sehemu mbalimbali nchini na ni hatari kwa usalama wa nchi kwani vijana hawa huchukuliwa sehemu mbalimbali kwa lengo la kuja kufundishwa dini na itikadi mbali.
Zamu yao hii... ndo hao hao huchotwa huko na kupewa u DC, u DED n.k
 
Namanga Islamic Centre ni kituo cha mafunzo ya siasa kali na mafunzo ya mapigano(KARATE, Judo, Taekwando n.k) kilichokuwa chini ya Dini ya Kiislam katika Wilaya ya Longido Mkoa wa Arusha.

Kituo hiki ni cha pili kufungwa baada ya kile cha Dodoma ambapo mabinti wasiopungua 150 walikuwa wamefungiwa kituoni na kupewa mafunzo mbalimbali ya kidini.

Vituo vyote viwili vimefungwa rasmi na kamati za ukinzi na usalama za Mikoa na Wilaya husika kwani vipo kinyume na utaratibu na vinatishia usalama wa nchi.

Hali kama hii ilikuwa nchini Nigeria ambapo serikali iliacha pale ilipokuwa ikipewa taarifa kuhusu mafunzo yanayotolewa na Boko haram kwa vijana wa nchi hiyo. Madhara yake ni kuanzishwa kwa kundi la kigaidi la Boko Haram lililosumbua na kuharibu usalama wa nchi ya Nigeria.

Hapa Nchini, kulitokea vuguvugu za itikadi kali na ugaidi kule Pwani pamoja na Mtwara. Sisi kama watanzania, tuna wajibu wa kutoa taarifa kuhusu vyuo au vituo hivi vinavyotoa mafunzo ya mapigano na itikadi kali.

Mimi kama Mtanzania, ninaanza kukitaja kituo cha mafunzo ya mapigano na itikadi kali kilichopo kwenye Msikiti wa Ipogolo pale Iringa Manispaa pamoja na Msikiti uliopo kwenye Kijiji cha Kitayawa njia panda ya Nyabula Wilaya ya Iringa Mkoa wa Iringa.

Misikiti/Vituo hivi hufundisha vijana wa kiislam itikadi kali na mapigano na mara nyingi kama unaenda kule Nyabula toka Iringa Mjini, utakuta vikundi vya vijana hao waliovaa kanzu na viremba kichwani wakitembea kwa miguu na wakifanya mazoezi.

Naamini JF ni Platform kubwa nchi hii, kutaja kwako vituo hivi vitasaidia kulinda usalama na amani ya nchi yetu. Ewe mwana JF, funguka kwa ajili ya Mama yetu Tanzania.

Mungu ibariki Tanzania, Eeehh Mungu ilinde na itetee Mama yetu Tanzania.
Asante kwa kuchangia navifahamu vituo vyote viwili Cha Ipogolo na Nyabula na nnaunga mkono hoja kuwa ni watoto wa waislamu Masikini maana wale madogo na wengine wanakuaga wakubwawakubwa aisee wanakuwaga na sura za kuchoka mno mixa kutembea Kwa miguu na pia ni sura ngeni kabisa huwezi kuona kijana wa ipogolo pale zaidi ya wale mbwiga wanaojazwa ujinga
 
Nigeria walipuuzia hayo mafunzo. Yamekuja kuwatesa sana mbeleni. Boko haram ilianza kama utani.

Hao vijana kiislam wanaitwa المُهَاجِرْ "al-Muhājir,"

Wanachukuliwa kutoka kwa wazazi wao toka wadogo wanapelekwa mbali na nyumbani kwao kambini na kuanza kufundishwa uislamu tu wenye siasa kali.. hawatakiwi kusoma elimu dunia maana itawafanya wajanjaruke.

Hao ndio wanatumika kwenye kujitoa muhanga. Maana uislam unakuwa ume wa brain wash wamefanyiwa indocrinations. Hawaogopi kufa hao. Wao jukumu lao ni kupigania dini

Nigeria boko haram ndio inatumia hao vijan waliopitia mafunzo ya al-Muhājir .. wanawekwa kambini mbali na nyumbani kwao wanafundishwa siasa kali za uislam.

Wikipedia imeandika muanzilishi wa Boko haram Sheikh Muhammad Yusuf was a graduate of the Almajiri Madrassa who did not had the opportunity to attend the formal education.

Wazazi wa hao vijana ni wale waislamu maskini.. wasio na exposure. Na unajua waislamu wanazaliana sana sababu ya ndoa zao za mitala na kupeana talaka na kuoa upya kila mara. Hivyo unakuta baba ana watoto 20 ila kuwahudumia wala kuwasomesha hawezi.. hivyo huyo mzee anafosi watoto wapelekwe kambi za المُهَاجِرْ "al-Muhājir," wakafundishwe uislamu huku wanakula chakula cha bure.

Huwezi kukuta mtoto wa muislamu mwenye maisha huko. Mfano kikwete ama bakhressa watoto wake hawajui hata maana ya al-Muhājir ni nini japo ni waislamu
FaizaFoxy leo lazima alale na viatu!
 
Tuweke udini pembeni

Je Watanzania hawapaswi kujifunza karate na judo? Je mbinu za kujilinda ni kinyume na sheria za nchi? Hizi tahariko tunazobabatizwa nazo kila mara kwa jina la ulinzi na usalama, kwa nini serikali isipeleke mamluki wake hapo nao wakajifunza hayo mafunzo ili kuyachuja kama ni hatari kwa jamii? Naona badala yake ni hizi Kamati za Ulinzi na Usalama zimejikita kwenye kupambania taharuki kuliko kutumia weledi na akili kudeal na haya mambo
Wewe unafikiri hizo kamati za ulinzi na usalama zinakurupuka bro. Hizo kamati pia zina waislamu walishapandikizwa huko na wakaona kuwa wanachofundishwa ni zaidi ya karate na judo
 
Hii dini miyeyusho sana,wao wanawaza tu vurugu,hii dini inafanya dunia isiwe mahali salama, sasa ndo nini dini kufundisha judo na karate? Wakitoka hapo wanaenda kuwa vibaka na kubaka watoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa kuchangia navifahamu vituo vyote viwili Cha Ipogolo na Nyabula na nnaunga mkono hoja kuwa ni watoto wa waislamu Masikini maana wale madogo na wengine wanakuaga wakubwawakubwa aisee wanakuwaga na sura za kuchoka mno mixa kutembea Kwa miguu na pia ni sura ngeni kabisa huwezi kuona kijana wa ipogolo pale zaidi ya wale mbwiga wanaojazwa ujinga
Ushawahi wanna wale. Wamechoka na ni watu wanaolazimishwa. Ninaendaga kule Dabaga kununua mbao, nimewaona si chini ya mara 4 wakitoka Ipogolo kwenda Nyabula.
 
Back
Top Bottom