Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Nape amedanganya kwamba walikutana chobingo na Lowassa na akamsifu kuwa anafanya vizuri kuwa na misimamo ya kisiasa mbali na tofauti walizonazo. Bahati mbaya hatuwezi tena kusikia ukweli wa kauli hii kutoka upande wa pili wa Lowassa.Nape aliweza kwenda Ikulu kumwomba radhi Magufuli kwa lengo la kupata madaraka. Lakini alishindwa kwenda kumwomba radhi Lowassa baada ya kumdhalilisha na kumtakia kifo kwenye mkutano wa adhara 2015.
Alitamka maneno ambayo katika hali ya kawaida huwezi kusema yametoka kinywani kwa mwanadamu anayemwabudu Mungu. Kumtakia Lowassa mbele ya watoto kwamba anaji.....a na akapata carrage ya kutokumwomba msamaha wala kujutia kauli ile ni jambo la kishetani sana. Ni nafsi katili sana inaweza kufanya ukatili ule aliofanya Nape just kwa ajili ya siasa.
Leo Lowasa amekwenda, si ajabu kumsikia Nape akihojiwa na kusifia Lowasa. Si ajabu kumwona anashiriki kwenye mazishi yake na si ajabu kumwona akijifanya ni rafiki wa familia ya Lowasa.
Just imagine alivyomtukana jukwaani mkewe akimwona anajisikiaje? Then , kiumbe wa aina hii anakwenda kufungia vyombo vya habari na kuhukumu watu kwa utovu wa nidhamu! Hawa wanadamu wa aina ya Nape si wema hata kwa Mhe. Rais, ni watu ambao kwao maisha ni familia yake au yeye kuteuliwa.
Clip ya Nape naamini ni moja ya clip ya kisiasa iliyoonyesha ukomavu wa Lowasa, kabla na baada ya kuacha jukwaa la siasa. Kwamba alimsamehe sijui
Wanasiasa sifa yaoa kubwa ni UNAFIKI.Watawafukuza wangapi?
Mbowe: Lowassa ni dhaifu, ni bubu
Mwafrika bana kama huyu anajinasibisha na uzungu anasikia raha kweli hautaki uswahili. ulivyomnafiki unajifanya hujui uswahili ni niniwww.jamiiforums.com
BTW: JF inatumia vigezo gani kufunga mijadala?
LOWASSA ni mtu mwenye HOFU ya MUNGU alimsamehe kama alivyomsamehe ALIYEMKATA JINA wakati wa kugombea Urais ndani ya CCM na wale waliojichimbia Masaki kuchakachua Matokeo ya Tume ya UchaguziNape aliweza kwenda Ikulu kumwomba radhi Magufuli kwa lengo la kupata madaraka. Lakini alishindwa kwenda kumwomba radhi Lowassa baada ya kumdhalilisha na kumtakia kifo kwenye mkutano wa adhara 2015.
Alitamka maneno ambayo katika hali ya kawaida huwezi kusema yametoka kinywani kwa mwanadamu anayemwabudu Mungu. Kumtakia Lowassa mbele ya watoto kwamba anaji.....a na akapata carrage ya kutokumwomba msamaha wala kujutia kauli ile ni jambo la kishetani sana. Ni nafsi katili sana inaweza kufanya ukatili ule aliofanya Nape just kwa ajili ya siasa.
Leo Lowasa amekwenda, si ajabu kumsikia Nape akihojiwa na kusifia Lowasa. Si ajabu kumwona anashiriki kwenye mazishi yake na si ajabu kumwona akijifanya ni rafiki wa familia ya Lowasa.
Just imagine alivyomtukana jukwaani mkewe akimwona anajisikiaje? Then , kiumbe wa aina hii anakwenda kufungia vyombo vya habari na kuhukumu watu kwa utovu wa nidhamu! Hawa wanadamu wa aina ya Nape si wema hata kwa Mhe. Rais, ni watu ambao kwao maisha ni familia yake au yeye kuteuliwa.
Clip ya Nape naamini ni moja ya clip ya kisiasa iliyoonyesha ukomavu wa Lowasa, kabla na baada ya kuacha jukwaa la siasa. Kwamba alimsamehe sijui
Ila sidhani kama Nape ana malezi ya wazazi!Unamaanisha ubaya wa Nape utalipwa?
Huyo mpumbavu asingekaa kimya siku zote hizo ndio aje aseme leoNape amedanganya kwamba walikutana chobingo na Lowassa na akamsifu kuwa anafanya vizuri kuwa na misimamo ya kisiasa mbali na tofauti walizonazo. Bahati mbaya hatuwezi tena kusikia ukweli wa kauli hii kutoka upande wa pili wa Lowassa.
Tunaweka kumbukumbu sawa Ukitaka kujua unakokwenda angalia ulikotoka, tabia ni kama ngozi ya mwili.Yashapita hayo, Acheni ujinga wa kugeuza misiba vijiwe nongwa. Yatatusaidia nini mema na mabaya ya Lowassa. Atakaeropoka upuuzi saivi ndo tunaruka naye ila walioropoka zaman hatuna shida nao maana marehem alikua na nafasi ya kujitetea mwenyewe na hiyo ndiyo siasa. Ahya wewe mleta mada madai yako yataisaidia nini Familia ya marehem?
Nachojua Lowassa hakua mtu wa manenomaneno, Alikua mtu wa kuamua na kutekeleza kisha kukaa kimya. Hicho ndo kitu ninajifunza kwake.Tunaweka kumbukumbu sawa Ukitaka kujua unakokwenda angalia ulikotoka, tabia ni kama ngozi ya mwili.
Mimi naruka na wewe usietaka utulivu. Mimi kama Mwanajanvi. Ndo kama hivi sasa.Yamepita kivipi, na ww utaruka na nani, ww kama nani labda?
Ameenda mkuuNape kasema anakwenda msibani?!
Tayari ubaya wake ulishalipwa na Mwenyezi Mungu.Kila ubaya utalipwa