Luhaga Mpina: Kuundwe Tume ya kuchunguza 'Utata' wa kifo cha Hayati Magufuli

Kafa Kama wengine, shida ya watu wa Kanda ya ziwa ni ukabila wa kishamba
Nenda Mwanza utakuta mbunge siyo msukuma utakuta diwani mchaga ila nenda uchagani uone kama wewe chasaka utatambuliwa zaidi ya kukutafuta wakuue. Wasukuma hawana ukabila kabisa ila ni ujinga weny mliopandikizwa na msoga na akina lema na mafisadi, yaani mlitafuta jina baya kwa wasukuma ili waonekane wanaukabila, na hii itatumika kama ticket ya kushawishi wasukuma wapige kura kwa mtu anayewakubali wasukuma ila nyie timu msoga msipoangalia wasukuma watawakosesha ikulu.
 
Luhaga atakuwa amevuta bangi kwa Meya Jacobo,lakini maoni yake yaheshimiwe
 
Uko sahihi wasukuma hawana ukabila
 
Tanzania hii ya sasa nina mashaka sana kama iwapo jambo hili aliloliongea Mpina akabaki salama chamani.

Nimewaza sana. Kuna mengi tumesoma humu na pia kuna thread ya Dark Days imeeleza mengi kupitia codes kuhusu kifo cha Mwendazake
 

Na wakati hayo yakifanyika, Makonda awe ameondolewa kwenye nafasi zote za uongozi, na awe amewekewa ulinzi kuhakikisha hatoroki.
 
Mabeberu ni akina nani??

Hao wote walimfanyia nini Mbowe?
Yaani iko hivi, ukali wa kukemea ufisadi wa Dkt Magufuli waliutumia mabeberu kupitia mbowe na kundi lake kutekeleza mauaji ili kusema Dkt Magufuli ni Dikiteta na muuaji, hivyo inasemekana Mbowe alimuua azory, kamuua ben, alimkosa kosa tundu lisu etc. Hata Mo alitekwa na kundi la akina mbowe na msoga ili kuleta taharuki kuwa serikali inateka watu. Kwa ufupi Dkt Magufuli was very humble and kind sana, ila baadhi ya watanzania walimzidi kete kwa kufanya matukio na kuwahi haraka haraka kuripoti kwenye vyombo vya habari. Kwa ufupi wakisema wachunguze kwa kutumia tume wengi watafungwa
 
Tanzania hii ya sasa nina mashaka sana kama iwapo jambo hili aliloliongea Mpina akabaki salama chamani.

Nimewaza sana. Kuna mengi tumesoma humu na pia kuna thread ya Dark Days imeeleza mengi kupitia codes kuhusu kifo cha Mwendazake
Dah umenikumbusha hiyo thread, yaani imeanika uhusika wa current ceo na born town yaani hawa watu ni wauji na kibaya kabisa damu ya Dkt Magufuli inawasumbua hawakai kimya lazima wakiongea tu wanajikuta wameropoka viashiria kuwa wao ndiyo walimuua ili wafanya ufisadi etc
 
Unataka like? Jitahidi kuandika vitu vya msingi katika Maisha yako
Mbunge km huyu Kuna wananchi nao walipanga foleni kwenda kumpigia kura penginepo jua likiwachomaa😅😅.

Badala ya kupigania serikali iachee kuiba na kuleta maendeleo ,yupo busy kumuwaza marehemuu..
Shenzi kabsView attachment 2968569
 
Tu
Tumechoshwa na matume tume....tunataka maendeleo yanayoonekana.

Mbona tume ya Nyalali mmeipotezea, vipi Tume ya Warioba?
 
Hao ndo walioshika mpini. Hivyo Mpina ajiandae kukwaruzana na vimbwenelehi machawa
 
Acha uongo utakuponza.
 
Watakimbiana😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…