Sukuma gang siyo kabila,ila ni aina ya watu flani flani ndiyo maana kuna mtu kama Bushiru, Slow slow na ndungayeNenda Mwanza utakuta mbunge siyo msukuma utakuta diwani mchaga ila nenda uchagani uone kama wewe chasaka utatambuliwa zaidi ya kukutafuta wakuue. Wasukuma hawana ukabila kabisa ila ni ujinga weny mliopandikizwa na msoga na akina lema na mafisadi, yaani mlitafuta jina baya kwa wasukuma ili waonekane wanaukabila, na hii itatumika kama ticket ya kushawishi wasukuma wapige kura kwa mtu anayewakubali wasukuma ila nyie timu msoga msipoangalia wasukuma watawakosesha ikulu.
Na aliyekataa wachunguzi huru ni Mbowe au hilo uaji lako?Yaani iko hivi, ukali wa kukemea ufisadi wa Dkt Magufuli waliutumia mabeberu kupitia mbowe na kundi lake kutekeleza mauaji ili kusema Dkt Magufuli ni Dikiteta na muuaji, hivyo inasemekana Mbowe alimuua azory, kamuua ben, alimkosa kosa tundu lisu etc. Hata Mo alitekwa na kundi la akina mbowe na msoga ili kuleta taharuki kuwa serikali inateka watu. Kwa ufupi Dkt Magufuli was very humble and kind sana, ila baadhi ya watanzania walimzidi kete kwa kufanya matukio na kuwahi haraka haraka kuripoti kwenye vyombo vya habari. Kwa ufupi wakisema wachunguze kwa kutumia tume wengi watafungwa
Mkuu ukijua kuwa duniani kati ya werevu na wapumbavu wengi ni akina nani basi hutopata tabu sanaSukuma Gang will always be there. Je, unajua Mwenge wa Uhuru utazimwa Mwanza? Kwanini?
Kwa uapnde wangu mimi,yeyote aliyeshiriki kuondoa ile kadhia anastahili pongeziHili suala si la kuchezea maana wauwaji wote wapo, na walijipanga vizuri in a professional way, walianza na matukio kwanza kuchafua serikali kabla ya mauaji, hata mpina awe makini.
Ila kama upinzani walishiriki uovu wa ccm kwa mgongo wa democracy ni wajinga!!!
KAMATI HIYO HIYO PIA ISIACHE KUCHUNGUZA KIFO CHA MPENDWA WETU MWANASIASA NGULI JASIRI LATE, BENJAMINI WILIAM MKAPA, IT WAS SO SUDDEENLY!, KUTOKA AFYA NZURI MNO, MPAKA KUFIKIA PALE!Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amesema “Baada ya kusikiliza kwa kina maelezo ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenari Venance Mabeyo aliyoyatoa Machi 16, 2024, nimeshawishika na ninawashawishi Wabunge wenzangu kuruhusu kuunda Tume huru ya kuchunguza utata wa kifo cha Rais wa awamu ya Tano, Dkt. John Joseph Pombe Magufuli ili kumtendea haki lakini na watu wengu waliotajwa ama kwa wema au kwa ubaya katika suala hili.”
Ameongeza “Pia tume hiyo itabaini hata watu waliokataa kuapishwa kwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa Tanzania wakati ilikuwa ni takwa la kikatiba.
Kwa mambo yaliyosemwa na Taasisi ambayo sio ya kutiliwa mashaka na mtu ambaye si wa kutiliwa mashakaa kuna haja ya hii tume kuundwa.”
Hapo ndio penyewe hasaIundwe kamati huru kuchunguza kupotea kwa Ben Saanane na Azory Gwanda .
Kifo cha Leopold Lwajabe.
Shambulio la Tundu Lissu Dodoma.
Kutekwa kwa Roma Mkatoliki na Mohamed Dewji.
Sababu za kuvamiwa Clouds Media Group studio.
Hapa itakuwa tumeutendea haki umma wa watanzania na familia za hao watu.
Jiwe alikuwa mwizi aliyejificha kwenye unyonge wenuAkipewa Uwaziri anageuka kusifia mm ndio huwa siwaelewi hawa watu.Magufuli angesaidia hiyo nchi tungekua mbali sana.yeye alimanisha
Hii kauli itaondoa Amani na USINGIZI Kwa wahusika!!Nilitamani Sana kupata mtu jasiri atakaye toa kauli hii na sasa amepatikana. Kwa kuwa kauli imesemwa basi moyo umetulia. Pumzika Magufuli lakini naamini aliyeua kwa upanga atakufa kwa upanga
Wakati akiwa hai Jiwe aliumbuliwa na CAG kuhusu upotevu wa 1.5 tr, hope unajua uamuzi gani aliuchukua ili kuficha maovu yake ya kifisadiHizo ni propaganda, Dkt Magufuli hahusiki. Mbona Dkt JK kipindi chake watu wengi walikufa au umesahau? Utasema Dkt JK anahusika? Mambo mengine tusipende kuyasema bila ushahidi. Kwa ufupi huku mitaani wanasema Dkt Magufuli aliuawa na hao waliomuua lengo la ni kurejesha mifumo ya ufisadi ambayo leo wananchi wanashuhudia. Rejea kipindi kile CAG report baada ya kufa Dkt Magufuli ilifumuliwa na kurekebishwa ili ionekane kuna wizi kipindi chake ili hii awamu ikianza kuiba iwe ilianzia kwa Dkt Magufuli. Kwa ufupi kama nchi tunahitaji kupona maana hali ni mbaya sana mitaani, alianza vizuri ila tu baada ya kuanza vijembe vya kifo cha Magufuli wananchi wakasema kumbe huyu inawezekana ndiye muuaji wa rais wetu na alimuua akijua kwa sababu yeye ndiye anayefiatia basi atakuwa rais na ndiyo maana wanasiasa wanasema kwa katiba iliyopo makamu anaweza kumuua rais ili awe rais na unaweza kuta kumbe wanamaanisha kwa kilichotokea 2021 maana siyo vijembe hivyo etc. Ni Makonda pekee alianza kufuta hiyo dhana.
Hakuna mwizi kama jiweWakati akiwa hai Jiwe aliumbuliwa na CAG kuhusu upotevu wa 1.5 tr, hope unajua uamuzi gani aliuchukua ili kuficha maovu yake ya kifisadi
Mbow kaka alikataa kabisa, yaani wajuvi wanasema mbowe ni gaidi kweli kweli, yaani ni mafisa mkubwa ni uajiNa aliyekataa wachunguzi huru ni Mbowe au hilo uaji lako?
✌✌✌✌✌✌Wakati akiwa hai Jiwe aliumbuliwa na CAG kuhusu upotevu wa 1.5 tr, hope unajua uamuzi gani aliuchukua ili kuficha maovu yake ya kifisadi
Yes tume ya kuchunguza wote waliokufa na kupotea katika hali ya kutatanisha wakati wa utawala wa Nduli jiwe bin stoneIundwe kamati huru kuchunguza kupotea kwa Ben Saanane na Azory Gwanda .
Kifo cha Leopold Lwajabe.
Shambulio la Tundu Lissu Dodoma.
Kutekwa kwa Roma Mkatoliki na Mohamed Dewji.
Sababu za kuvamiwa Clouds Media Group studio.
Hapa itakuwa tumeutendea haki umma wa watanzania na familia za hao watu.