chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Zama za Mpina zimekwisha,.anajaribu kufosi kiki zimtoe lakini bado zinagoma. Kapiga mdomo sana lakini sasa mwaka wa nne, hamna kitu, too much arrogance japo kichwani kajaza mapumba tu.
Baada ya uchaguzi alimdhulumu mganga wake, na mganga kampiga chombo cha kienyeji nyota zote chini, na aliyekuwa mgombea tishio kwa Mpina pale jimboni ndio anatumia mganga wa Mpina, 2025 asisingizie kukatwa na CCM, CCM hawamtaki, wavuvi wanasubiri sherehe kubwa sana siku Mpina anaangushwa
Baada ya uchaguzi alimdhulumu mganga wake, na mganga kampiga chombo cha kienyeji nyota zote chini, na aliyekuwa mgombea tishio kwa Mpina pale jimboni ndio anatumia mganga wa Mpina, 2025 asisingizie kukatwa na CCM, CCM hawamtaki, wavuvi wanasubiri sherehe kubwa sana siku Mpina anaangushwa