Mzee Mwinyi alimteua Lyatonga Mrema kuwa Naibu Waziri Mkuu cheo ambacho hakipo kikatiba ili tu kumdhibiti na mbio zake(wanavyodai wazee).

Leo Mama kawapa kazi Lukuvi na Kabudi kazi ambazo hazipo kwenye katiba wala muundo wa Serikali.
Kama leo hii nafasi hizo hazipo kwenye muundo, kesho Raisi si anaweza kuingiza hizo nafasi kwenye muundo? Kwani akisema ni mshauri wa raisi mambo ya mikataba mtabisha? Au, akisema ni mshauri wa raisi mambo ya ardhi na miundo mbinu mtabisha? Cha muhimu wazee wetu watapatiwa kazi zenye utulivu, na wanaweza kuwa wa manufaa zaidi kuliko huko kwenye active politics
 
the sukuma gang member unajipa hope ila tayari umeshapiga u-turn hujui unapoelekea [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sukuma gang ndio hao umeambiwa na mama ana kazi nao pale ikulu!

Na moja ya kazi hiyo ni kufanya maandalizi ya kuwapelekea moto 2025.

Kalaga baho na sukuma gang yako
 
...hivyo vyeo walivyopewa hata kwenye katiba yetu havipo....

Ina maana watakuwa wabunge na wafanyakazi maalum wa Rais?
 
Kinachomponza Samia ni kusoma sana mitandaoni!

Alafu sasa ile sababu ya kuwatoa aliyoisema kumbe ilikuwa ya uongo?

Ok.. Swali kwa machadema, je hao tena si sukuma gang
Wale wanaowaza 2025 hawakutajwa?
 
Mmmh! Kuitwa kuwasimamia Mawaziri? Hiki nacho ni cheo gani hiki? Si Mawaziri huwa wanasimamiwa na Waziri Mkuu,au? Mmmh..ngoja niishie kuguna utafikiri nakunya.
Katibu mkuu kiongozi huwasimamia mawaziri...huenda wakasaidiana nae.
 
Mama kaona kuna mamilioni ya watu nyuma ya Lukuvi. Ila pia anaona wazi sababu ya kumtoa pale ni too personal kwani msela hakuwa na nia ya kugombea 2025 ila ni wivu tu. Sasa kaona nyomi ya watu wakimpongeza Lukuvi kwa kazi nzuri aliyofanya ardhi na hata kumtaka agombee uspika mama kapaniki.
Siasa ni hesabu na siri sasa yeye yake yako wazi yote-anapiga hesabu vibaya sana kiasi kwamba harufu ya kuoneana inaonekana hata na vipofu.
Sitashangaa kuona mambo mengi anayarudia mfano lile la kuunganisha umeme kisa tu hakufikiri kabla ya kunena
 
Tulieni watoto wa mjini wafanye mambo.

Siasa ni sayansi mzee baba.

Watakwenda ikulu ya Dar halafu kuna vyumba pale vina meza na makabati matupu watakaa humo.

Mshahara wao ni ule ule wa wabunge maana huko wanakwenda tu "kumsaidia" mama.

Viva Mama Samia Viva
 
Mkuchika hali yake inaendeleaje? Amezeeka sasa. Sidhani kama ana nguvu za aina ile
 

Kwa hiyo kama kizuizini ama [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wameshapigwa na kitu kizito kichwan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…