Mzee wa upako alisema kuna jini ikulu
 
Kupatwa kwa jua na nyota kabisa...mama hamna kitu kabisa
 
Ridhiwani ana tatizo gani!? Mfano akifika Lukuvi hiyo wizara ndio haitokuwa na wakuiweza tena
 
sukuma gang wanampelekea moto mama hadi 1 haikai wala 2 haikai, japo anajaribu kuwapoza kinafiki ila bado kazi anayo, mpaka 2025 tutashuhudia mengi.
 
Njia nzur ya kupoza hali, ngoja tuone upande mwngne watajibu vip
 
Rais Samia Suluhu Hassana amesema amewapa kazi mpya aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi na aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi.

Rais Samia ameyasema hayo leo Jumatatu Januari 10, 2022 muda mfupi baada ya kuwaapisha mawaziri na naibu mawaziri, makatibu na naibu makatibu wakuu wa wizara mbalimbali Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.

Rais Samia amesema “Nataka niseme jambo moja tu nina kaka zangu, Lukuvi na Kabudi mko wapi? Kaka zangu wawili hawa nimewavuta waje kwangu wanisaidie ili waje kunisimamia ninyi, kwa hiyo kuwaacha kwangu kwenye hiyo listi watakuja kwangu tuwasimamie ninyi” amesema Rais Samia.

Rais Samia alisifia kazi nzuri aliofanya Kabudi kuhusu mazungumzo ya serikali na mashirika .

‘Ila kazi yake kwa sababu haiko kwenye muundo haitangazwi wala nini lakini atasimamia hiyo kazi ..mashirika yote kazi zote zitakazoingia ubi ana serikali,Kabudi ataongoza hiyo team’

Kuhusu Lukuvi rais alisema ;

‘Kaka angu Lukuvi yeye ana kazi na mimi. Mtaisikia baadaye lakini namvuta Ikulu kazi yetu ni kuwasimamia nyinyi’.
 
Mtu yeyote mwenye akili iliyotulia ni yule mwenye subiri anapopata taarifa Kinzani. Unapokuwa na Subira itakusaidia Kupata Ukweli au kujua Kusudi la jambo husika.

Taarifa kuhusu Lukuvi na Kabudi kwenda Ikulu kumsaidia Mh Rais zimetolewa leo hii. Pamoja na aliyoyaongelea Mama, lakini huenda kipo kikubwa kinachofuata. Na sio kila kitu kitatolewa kwa Uma.

Wapo watu humu japo ni wachache ukiangalia comments zao zinawatafsiri jinsi walivyo na UELEWA MKUBWA. Lakini Majority humu ukiangalia comments zao yaani moja kwa moja utakumbuka yale madaraja ya UELEWA ktk Psychology.
 
Basi apewe mumeo hiyo nafasi
Utakuja kupelekwa guest house na mwanaume mwenzako kwa tamaa ukiendekeza njaa mjini.

Ofisi ya mwanasheria mkuu ipo chini ya wizara ya katiba na sheria na wanakitengo maalum cha kuangalia mikataba nchi inayoingia na boss wao alikuwa Kabudi.

Sasa umtoe waziri kwenye nafasi rasmi ya kukushauri kwa kitengo anachosimamia tayari umpe nafasi isiyo rasmi halafu ndio useme umemtoa aje kukusaidia.

Ni hivi hizi ni paranoia za 2025 mama afanye kazi itaongea na watanzania watakua nae sio kuwaza mbele kwa namna yoyote. Ni kama mtu ambae keshawaza tume itatamtangaza mshindi kilichobaki ni kuwadhibiti wafuasi ndani ya CCM.

Maana hakuna ata logic waziri ni mshauri wa raisi tayari, tena Kabudi alikuwa wa sheria umfute kazi halafu utetee kwa kusema umemchukua kukushauri.Kuna mshauri wa raisi zaidi ya waziri.

Wamemtoa Mwambe na Kabudi ili waingie mikataba yao ya ovyo bandari na kuficha uozo wa mkataba wenyewe.

Tetea maslahi mapana ya nchi acha kuendekeza njaa utapakatwa shauri zako.
 
Mmh!! Hzo position hazina title??

Anyway,, kwa Lukuvi nilishangaa na kusikitika,, ila najua baada ya wadau wengi kusikitika Kama mim hadharan,, ndo maana wamepewa backup option!!
 


Huu ni uvunjaji wa katiba,
NB: Mwinyi alimteua lyatonga Mrema kuwa naibu Waziri mkuu, alivunja katiba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…