Autodidacts
JF-Expert Member
- Jun 9, 2021
- 1,165
- 1,804
Mzee wa upako alisema kuna jini ikuluHuyu mama sijui ni usahulifu ama hawez ku handle pressure ya matukio makubwa sielew kabisa, juz tu hapa wakat anamsagia kungun Job alitueleza kwamba kuna mawzir wanafikiria 2025 hivyo anaenda kufanya reshuffle ili wakajipange vizur wakiwa nje leo hao hao aliowatuhumu wanamkwamisha anawapamba kupita kiasi
Kupatwa kwa jua na nyota kabisa...mama hamna kitu kabisaSamia kweli amedhihirisha jinsi alivyo mweupe, na jinsi alivyochagua matango porini yake yamebuma hata kabla hayajaanza kazi, hivi unawezaje kumtoa Lukuvi ukaweka Ridhiwan Kitwete? baada ya aibu kubwa ndio kajitokeza masikini kusema ana kazi nao, jamani tuna Rais kweli Tz? Taifa letu limepatwa , kupatwa kwa jua.
Ridhiwani ana tatizo gani!? Mfano akifika Lukuvi hiyo wizara ndio haitokuwa na wakuiweza tenaSamia kweli amedhihirisha jinsi alivyo mweupe, na jinsi alivyochagua matango porini yake yamebuma hata kabla hayajaanza kazi, hivi unawezaje kumtoa Lukuvi ukaweka Ridhiwan Kitwete? baada ya aibu kubwa ndio kajitokeza masikini kusema ana kazi nao, jamani tuna Rais kweli Tz? Taifa letu limepatwa , kupatwa kwa jua.
Teh teh teh....Rais Samia ataja Chawa watakaomsaidia
Sio chanzo Cha kuaminika🙋TBC1
Utakuja kupelekwa guest house na mwanaume mwenzako kwa tamaa ukiendekeza njaa mjini.Basi apewe mumeo hiyo nafasi
Sijui tabia Wala harakati za Mwambe,Ila sijapenda kabisa utenguzi wake...ana sura ya hurumaKwa hiyo Kitila, Mwambe na Waitara ndio wasaliti kuelekea 2025?
Hapo kuna vitu viwili. Either Maza kamdanganya ili kuwaweka watu kihoro au wapo lakini ametonywa asiwaguse kwa sasa kwa vile atachafua hali ya hewa.Wale wanaowaza 2025 hawakutajwa?
Mmh!! Hzo position hazina title??Rais Samia Suluhu Hassana amesema amewapa kazi mpya aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi na aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi.
Rais Samia ameyasema hayo leo Jumatatu Januari 10, 2022 muda mfupi baada ya kuwaapisha mawaziri na naibu mawaziri, makatibu na naibu makatibu wakuu wa wizara mbalimbali Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.
Rais Samia amesema “Nataka niseme jambo moja tu nina kaka zangu, Lukuvi na Kabudi mko wapi? Kaka zangu wawili hawa nimewavuta waje kwangu wanisaidie ili waje kunisimamia ninyi, kwa hiyo kuwaacha kwangu kwenye hiyo listi watakuja kwangu tuwasimamie ninyi” amesema Rais Samia.
Rais Samia alisifia kazi nzuri aliofanya Kabudikuhusu mazungumzo ya serikali na mashirika .
‘Ila kazi yake kwa sababu haiko kwenye muundo haitangazwi wala nini lakini atasimamia hiyo kazi ..mashirika yote kazi zote zitakazoingia ubi ana serikali,Kabudi ataongoza hiyo team’
Kuhusu Lukuvi rais alisema ;
‘Kakangu Lukuvi yeye ana kazi na mimi.Mtaisikia baadaye lakini namvuta Ikulu kazi yetu ni kuwasimamia nyinyi’.
Sio chanzo Cha kuaminika🙋
TBC1
Chanzo Cha taarifa yako?
Salaam Wakuu,
Aliyekuwa Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi na Aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi, wametakiwa kwenda Ikulu kumsaidia kazi Rais Samia ya kuwasimamia Mawaziri.
View attachment 2075769
Rais Samia kasema watu Wasimpake matope Lukuvi. Wala Wasimsingizie kwamba anaenda kugombea Uspika bali Wamuache amsaidie kazi Ikulu ya Kusimamia hawa Mawaziri Vijana aliowateua.
"Wengine wameanza kumletea [William Lukuvi] meseji za ajabu ajabu wakijua atagombea Uspika, hatogombea. Ana kazi na mimi. Kaka yangu Lukuvi, yeye ana kazi na mimi, mtaisikia baadaye. Lakini namvuta Ikulu, kazi yetu ni kuwasimamia nyinyi.kasema Rais Samia
Rais Samia amesema Kabudi atakuwa na Kazi moja tu Ikulu, Kusimamia kupitia na Kushughulikia Mikataba yote ambayo Serikali inaingia.
"Kabudi amefanya kazi nzuri sana kusimamia majadiliano ya serikali na mashirika, na ndiyo kazi ninayotaka nimkabidhi sasa kindakindaki...Mashirika yote, kazi zote zitakazoingia ubia na serikali, Kabudi ataongoza hiyo timu. Kwa hiyo yeye ni baba mikataba." amesema Rais Samia Suluhu
Amesema hizi kazi hazipo kwenye Muundo wa Serikali lakini anaona ni Msaada Mkubwa Kwake.
MY TAKE:
Je, Kassim Majaliwa na Mkuchika Wameshindwa kumsaidia rais? Kwanini Lukuvi na Kabudi wawe juu yao?
Kapteni George Huruma Mkuchika yeye ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalum) na Waziri Mkuu ni msimamizi wa shughuli zote za serikali katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anawakilisha serikali katika bunge la taifa. Yuko chini ya mamlaka ya rais.