Nashukuru kwa kugundua Lukuvi ni jembe, aendelee kusimamia vijana waliopewa ardhi kwani ni ngumu sana. Hongera baba Lukuvi kwa kusimamia vizuri ardhi.
 
Huku ni kumdharau Waziri Mkuu, maana msimamizi mkuu wa mawiziri ni waziri mkuu
 
Sahihi kabisa mkuu.
 
Kitengo Cha Government Think Tank
 
Mheshimiwa A. Lyatonga Mrema, alipoteuliwa kuwa naibu waziri Mkuu, mbona swali hili ulilificha mfukoni?
sikumbuki kama niliuliza au la!🙄🙄
ila mimi nadhani ingekuwa vema eneo la akina mkuchika wangepewa wao na kisha akina mkuchika wakapaewa kwingine au wakapumzishwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…