Daktari W Sindabhalla
JF-Expert Member
- Jan 29, 2017
- 600
- 580
Hongera kwao."Kabudi amefanya kazi nzuri sana kusimamia majadiliano ya serikali na mashirika, na ndiyo kazi ninayotaka nimkabidhi sasa kindakindaki...Mashirika yote, kazi zote zitakazoingia ubia na serikali, Kabudi ataongoza hiyo timu. Kwa hiyo yeye ni baba mikataba."- Rais Samia Suluhu https://t.co/jHynLSXGiU
Mheshimiwa A. Lyatonga Mrema, alipoteuliwa kuwa naibu waziri Mkuu, mbona swali hili ulilificha mfukoni? Ni kama sieleweki vile. Ha hahaha haaa!Je, upekee huo ni kwamba WAMEINULIWA JUU SANA ama WAMEPOLOMOSHWA?
Yaani nimebadi picha,jina bado umenifahamu tu ?😂Relax Victoire!
Yaani kutoka bottom kabisa yaani. Una lingine ?Ila watanzania tuna roho mbaya Sana, yaani Hapo umeandika kutoka moyoni mwako [emoji44][emoji44][emoji44]
Sahihi kabisa mkuu.Hapa inabidi Mama ashauriwe vizuri na mwanasheria mkuu on the way forward, kwasababu hao ni wabunge kutoka mhimili mwingine hawawezi kuwa watendaji wa serikali isipokuwa kupitia title ya mawaziri, ambayo imeainishwa kikatiba kuwa lazima wawe wabunge.sasa bila kuwa mawaziri watachezaje double role? kwa mihimili tofauti? Amewapa heshima ila kusijetokea mgogoro wa kikatiba, na pia isije ikaingiliana na role ya PM etc.
Kitengo Cha Government Think TankSalaam Wakuu,
Aliyekuwa Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi na Aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi, wametakiwa kwenda Ikulu kumsaidia kazi Rais Samia ya kuwasimamia Mawaziri.
View attachment 2075769
Rais Samia kasema watu Wasimpake matope Lukuvi. Wala Wasimsingizie kwamba anaenda kugombea Uspika bali Wamuache amsaidie kazi Ikulu ya Kusimamia hawa Mawaziri Vijana aliowateua.
"Wengine wameanza kumletea [William Lukuvi] meseji za ajabu ajabu wakijua atagombea Uspika, hatogombea. Ana kazi na mimi. Kaka yangu Lukuvi, yeye ana kazi na mimi, mtaisikia baadaye. Lakini namvuta Ikulu, kazi yetu ni kuwasimamia nyinyi.kasema Rais Samia
Rais Samia amesema Kabudi atakuwa na Kazi moja tu Ikulu, Kusimamia kupitia na Kushughulikia Mikataba yote ambayo Serikali inaingia.
"Kabudi amefanya kazi nzuri sana kusimamia majadiliano ya serikali na mashirika, na ndiyo kazi ninayotaka nimkabidhi sasa kindakindaki...Mashirika yote, kazi zote zitakazoingia ubia na serikali, Kabudi ataongoza hiyo timu. Kwa hiyo yeye ni baba mikataba." amesema Rais Samia Suluhu
Amesema hizi kazi hazipo kwenye Muundo wa Serikali lakini anaona ni Msaada Mkubwa Kwake.
MY TAKE:
Je, Kassim Majaliwa na Mkuchika Wameshindwa kumsaidia rais? Kwanini Lukuvi na Kabudi wawe juu yao?
Kapteni George Huruma Mkuchika yeye ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalum) na Waziri Mkuu ni msimamizi wa shughuli zote za serikali katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anawakilisha serikali katika bunge la taifa. Yuko chini ya mamlaka ya rais.
Sijui kazi ya waziri mkuu ni nini ?Stupid kabisa.Hili nalo ni fumbo kama lile la mzee wa Galilaya.
Kusimamia mawaziri.
Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana!
Kwahiyo Mkuchika ni bonge la kijana hadi akasimamiwe na Lukuvi? Mwambieni maza asituone wakuja kiivyoKwahio wakatae ?
Kuna mambo mengine hauna choice (na kwenye hizi issue za kuteuliwa na mtu ni moja ya mambo hayo)
sikumbuki kama niliuliza au la!🙄🙄Mheshimiwa A. Lyatonga Mrema, alipoteuliwa kuwa naibu waziri Mkuu, mbona swali hili ulilificha mfukoni?