Kabudi kapanda sana,, mikataba yote hadi ipite kwake, jukumu kubwa sana ,Wameshuka au wamepanda?
Kitchen cabinet kwa maana inginekuwasimamia mawaziri kivipi nawewe?
HaswaaCHAWA
Haina shida watakuwa chawa kama alivyokuwa MusibaNaam kosa ni la Mother Mteuaji na sio Wateule
Pengine huelewi mararaka ya rais,,, unakumbuka kruchev aliigawa crimea kwa ukraine as a gift?,Mmmh! Kuitwa kuwasimamia Mawaziri? Hiki nacho ni cheo gani hiki? Si Mawaziri huwa wanasimamiwa na Waziri Mkuu,au? Mmmh..ngoja niishie kuguna utafikiri nakunya.
Aache unafiki juzi alituambia wanaoomba utaman urais wake atawatoa wakajipange..Mbona Watanzania hatuna jema? Juzi na jana watu walikuwa wanahoji kuachwa hawa viongozi wetu. Leo Rais kasema sababu za kuwaacha na kwamba atawatumia maeneo mengine zimeibuka sarakasi nyingine! Tumuache Rais afanye kazi. Dah!🙏🙏
Wewe hujaelewa, hakutaka warudi mitaani kuzurura bila mpango, hivyo uzoefu wao wa kazi atautumia kivingineHaha! Aliewaweka ye mwenyewe hawaamini teuzi za hangaya bhana..[emoji1787]
Wawasimamie kwa makali yapi waliyonayo..?
Hiyo inategemea na katiba yao inasemaje.Pengine huelewi mararaka ya rais, unakumbuka kruchev aliigawa crimea kwa ukraine as a gift?
Unakumbuka kiongozi wa Russia alitoa ok kuuza Alaska kwa america?
Nachotaka kukuonyesha Rais wa nchi anayo mamlaka ya kuunda kitengo chochote aonavyo inafaa,
Utajipa hudhuni bure kukerwa na hilo
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Kuwa simamia kiundani zaidi Yani kuwa monitor kila wanacho kifanya na wanacho zungumza na kila watapoendaMmmh! Kuitwa kuwasimamia Mawaziri? Hiki nacho ni cheo gani hiki? Si Mawaziri huwa wanasimamiwa na Waziri Mkuu,au? Mmmh..ngoja niishie kuguna utafikiri nakunya.
Note soon after negotiations za ACCACIA Magufuli alifanya switch ya mawaziri balozi Mahiga na Kabudi.Ww nawe ujinga umekuzidi kama kesi zilimalizwa nje ya mahakama! kama ww unavyoita nyuma ya pazia ndio settlement hizo
alafu mwanasheria yyte anaweza kusiamia mikataba......
Bila shida anachofanya kinaitwa legal research pia anafanya consultation na wabobezi wa maeneo hayo..........
punguza kuhemkwa kilaza ww