Lukuvi na Kabudi waitwa Ikulu kumsaidia kazi Rais Samia nje ya Muundo wa Serikali
Salaam Wakuu,

Aliyekuwa Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi na Aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi, wametakiwa kwenda Ikulu kumsaidia kazi Rais Samia ya kuwasimamia Mawaziri.

View attachment 2075769

Rais Samia kasema watu Wasimpake matope Lukuvi. Wala Wasimsingizie kwamba anaenda kugombea Uspika bali Wamuache amsaidie kazi Ikulu ya Kusimamia hawa Mawaziri Vijana aliowateua.

"Wengine wameanza kumletea [William Lukuvi] meseji za ajabu ajabu wakijua atagombea Uspika, hatogombea. Ana kazi na mimi. Kaka yangu Lukuvi, yeye ana kazi na mimi, mtaisikia baadaye. Lakini namvuta Ikulu, kazi yetu ni kuwasimamia nyinyi.kasema Rais Samia

Rais Samia amesema Kabudi atakuwa na Kazi moja tu Ikulu, Kusimamia kupitia na Kushughulikia Mikataba yote ambayo Serikali inaingia.

"Kabudi amefanya kazi nzuri sana kusimamia majadiliano ya serikali na mashirika, na ndiyo kazi ninayotaka nimkabidhi sasa kindakindaki...Mashirika yote, kazi zote zitakazoingia ubia na serikali, Kabudi ataongoza hiyo timu. Kwa hiyo yeye ni baba mikataba." amesema Rais Samia Suluhu

Amesema hizi kazi hazipo kwenye Muundo wa Serikali lakini anaona ni Msaada Mkubwa Kwake.

MY TAKE:

Je, Kassim Majaliwa na Mkuchika Wameshindwa kumsaidia rais? Kwanini Lukuvi na Kabudi wawe juu yao?

Kapteni George Huruma Mkuchika yeye ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalum) na Waziri Mkuu ni msimamizi wa shughuli zote za serikali katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anawakilisha serikali katika bunge la taifa. Yuko chini ya mamlaka ya rais.
Kelele imemfikia, ameamua kujisafisha!!

Sent from my MRD-LX1F using JamiiForums mobile app
 
Kwa kauli ya rais kabudi na Lukuvi ndio marais kwa sasa.

Maana rais amewateua wakamsimamir ili yeye aweze kuwasimamia wananchi.

Umewaza pamoja na mimi, kusema anawaweka ikuku iliwamsaidie kazi, hiyo ndio maana yake sababu kila wizara ina mtendaji wake mkuu anaeripoti kwake.

Mwanasheria mkuu wa serikali na waziri mkuu wanatosha kabisa kufanya hizo kazi alizowapa hao kina kabudi na lukuvi.

Pia barazalote la mawaziri kaziyao nikumshauri rais pia.

Sasa hawa anaokwenda kukaanao ikulu manayake niuraisi shirikishi,itakuwa utatu mtakatifu hahahahaaa.

Ila kama atawatumia vizuri kwa haki na ukweli,hawa watu wanaenda kumsidia rais mawazo na maamuzi bora kabisa kwa ustawi wa taifa.
Binasfi namuamini sana kabudi na pia Lukuvi ni mtu smart na asietaka ujinga ujinga.
 
Salaam Wakuu,

Aliyekuwa Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi na Aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi, wametakiwa kwenda Ikulu kumsaidia kazi Rais Samia ya kuwasimamia Mawaziri.

View attachment 2075769

Rais Samia kasema watu Wasimpake matope Lukuvi. Wala Wasimsingizie kwamba anaenda kugombea Uspika bali Wamuache amsaidie kazi Ikulu ya Kusimamia hawa Mawaziri Vijana aliowateua.

"Wengine wameanza kumletea [William Lukuvi] meseji za ajabu ajabu wakijua atagombea Uspika, hatogombea. Ana kazi na mimi. Kaka yangu Lukuvi, yeye ana kazi na mimi, mtaisikia baadaye. Lakini namvuta Ikulu, kazi yetu ni kuwasimamia nyinyi.kasema Rais Samia

Rais Samia amesema Kabudi atakuwa na Kazi moja tu Ikulu, Kusimamia kupitia na Kushughulikia Mikataba yote ambayo Serikali inaingia.

"Kabudi amefanya kazi nzuri sana kusimamia majadiliano ya serikali na mashirika, na ndiyo kazi ninayotaka nimkabidhi sasa kindakindaki...Mashirika yote, kazi zote zitakazoingia ubia na serikali, Kabudi ataongoza hiyo timu. Kwa hiyo yeye ni baba mikataba." amesema Rais Samia Suluhu

Amesema hizi kazi hazipo kwenye Muundo wa Serikali lakini anaona ni Msaada Mkubwa Kwake.

MY TAKE:

Je, Kassim Majaliwa na Mkuchika Wameshindwa kumsaidia rais? Kwanini Lukuvi na Kabudi wawe juu yao?

Kapteni George Huruma Mkuchika yeye ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalum) na Waziri Mkuu ni msimamizi wa shughuli zote za serikali katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anawakilisha serikali katika bunge la taifa. Yuko chini ya mamlaka ya rais.
Mkuchika kaishazeeka na maza kamweka hapo iki amalizie maisha tu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hapo techniques na akili kubwa imetumika kuwa-disable hawa jamaa wawili ili wasishiriki kinyanganyiro cha uspika na uraisi baadae
 
Hyo kazuga tu lkn kashawapiga na kitu kizito kichwan
Umewaza pamoja na mimi, kusema anawaweka ikuku iliwamsaidie kazi, hiyo ndio maana yake sababu kila wizara ina mtendaji wake mkuu anaeripoti kwake.

Mwanasheria mkuu wa serikali na waziri mkuu wanatosha kabisa kufanya hizo kazi alizowapa hao kina kabudi na lukuvi.

Pia barazalote la mawaziri kaziyao nikumshauri rais pia.

Sasa hawa anaokwenda kukaanao ikulu manayake niuraisi shirikishi,itakuwa utatu mtakatifu hahahahaaa.

Ila kama atawatumia vizuri kwa haki na ukweli,hawa watu wanaenda kumsidia rais mawazo na maamuzi bora kabisa kwa ustawi wa taifa.
Binasfi namuamini sana kabudi na pia Lukuvi ni mtu smart na asietaka ujinga ujinga.
 
Salaam Wakuu,

Aliyekuwa Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi na Aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi, wametakiwa kwenda Ikulu kumsaidia kazi Rais Samia ya kuwasimamia Mawaziri.

View attachment 2075769

Rais Samia kasema watu Wasimpake matope Lukuvi. Wala Wasimsingizie kwamba anaenda kugombea Uspika bali Wamuache amsaidie kazi Ikulu ya Kusimamia hawa Mawaziri Vijana aliowateua.

"Wengine wameanza kumletea [William Lukuvi] meseji za ajabu ajabu wakijua atagombea Uspika, hatogombea. Ana kazi na mimi. Kaka yangu Lukuvi, yeye ana kazi na mimi, mtaisikia baadaye. Lakini namvuta Ikulu, kazi yetu ni kuwasimamia nyinyi.kasema Rais Samia

Rais Samia amesema Kabudi atakuwa na Kazi moja tu Ikulu, Kusimamia kupitia na Kushughulikia Mikataba yote ambayo Serikali inaingia.

"Kabudi amefanya kazi nzuri sana kusimamia majadiliano ya serikali na mashirika, na ndiyo kazi ninayotaka nimkabidhi sasa kindakindaki...Mashirika yote, kazi zote zitakazoingia ubia na serikali, Kabudi ataongoza hiyo timu. Kwa hiyo yeye ni baba mikataba." amesema Rais Samia Suluhu

Amesema hizi kazi hazipo kwenye Muundo wa Serikali lakini anaona ni Msaada Mkubwa Kwake.

MY TAKE:

Je, Kassim Majaliwa na Mkuchika Wameshindwa kumsaidia rais? Kwanini Lukuvi na Kabudi wawe juu yao?

Kapteni George Huruma Mkuchika yeye ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalum) na Waziri Mkuu ni msimamizi wa shughuli zote za serikali katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anawakilisha serikali katika bunge la taifa. Yuko chini ya mamlaka ya rais.
Mama amestukia lawama anazopewa mitandaoni.
 
Samia kweli amedhihirisha jinsi alivyo mweupe, na jinsi alivyochagua matango porini yake yamebuma hata kabla hayajaanza kazi, hivi unawezaje kumtoa Lukuvi ukaweka Ridhiwan Kitwete? baada ya aibu kubwa ndio kajitokeza masikini kusema ana kazi nao, jamani tuna Rais kweli Tz? Taifa letu limepatwa , kupatwa kwa jua.
 
Back
Top Bottom