Maafisa uhamiaji Walivyomtesa mtuhumiwa, Je, Sheria inawaruhusu?

Halafu eti Mhaya! Ametudhalilisha sana Wahaya. Hata kama amedhalilishwa ni malipizi tosha kabisa kwa kutudhalilisha Wahaya!
 
Uhamiaji ni jeshi?
 
Huo mtambo una mapafu?Au mpaka bandia
 
Punguza upumbavu wa kujifanya una huruma,Huwezi kuidharau mamlaka zetu kwa upuuzi kama huu.Mijitu kama wewe mnatakiwa kupata elimu kwa zawadi hiyo hiyo unayoikosoa,Idiot
Unasema hivyo kwaa sababu siyo wewe unayefanyiwa hayo - si mtoto wako, si mfanyakazi au mfanyabiashara mwenzako, si rafiki yako wala ndugu yako. Hakuna kitu kibaya kama kujichukulia sheria mkononi wakati serikali imeweka utaratibu wa kufanya kwa watuhumiwa wa uhalifu. Maana kwa mawazo yako, ukiwa mjini na askari wanamtafuta mhalifu na wakimfananisha na wewe upate kichapo hapo, uviringishwe chini kwenye sehemu rough na pengine kwenye maji machafu au tu uadhibiwe kwa namna yoyote ile - maana hiyo ndiyo kujichukulia sheria mkononi. Matendo kama hayo ndiyo unayopenda wewe. Ngoja niwe idiot, lakini Mungu anakuona.
 
Sheria mkononi inakubalika wapi?
 
Sheria mkononi inakubalika wapi?
 
Uhamiaji wamefanya jambo la kipumbavu sn
 
We uliona mateso pale zaidi ya mazoezi...au maji na mchanga wa kujigalagaza ni mateso? hukwenda hata JKT?
Mbona sie drill tumechezea sana na lockup juu. Walipita jeshini wote wakafungue mashitaka ya kuteswa.
Ulikuwa unajua hali ya afya yake? acha kutetea ujinga na JKT yako, mbona sasa wamesimamishwa kama ni mazoezi? ulienda JKT bila kupima afya yako?
 
We uliona mateso pale zaidi ya mazoezi...au maji na mchanga wa kujigalagaza ni mateso? hukwenda hata JKT?
Mbona sie drill tumechezea sana na lockup juu. Walipita jeshini wote wakafungue mashitaka ya kuteswa.
Hapa kuna ''brain malnutrition'' hapa. Siyo kosa lako.
 
Safi sana
 
Kuna kukosea RAIA wenzio na kukosea chombo cha dola. Na huyo alifanya makusudi kukosea, haikuwa bahati mbaya. Bahati mbaya zipo. Zipo sana tu. Na hakuwa anatania.
Kudanganya chombo cha dola ni hatari sana.

Baada ya hiyo nginjengije apelekwe mahakamani

Wew unafikiri kwanini RAIA hatupendi kufanya majaribio ya kwenda kwenye kambi za jeshi na kuiba silaha au chochote kile?
 
Kwangu mimi naona kama walimpa kaazabu kadogo sana ataemtetea huyu jamaa nitamuona nae tapeli au ndio huyo huyo jamaa kaja kujitetea hapa
 
Ulikuwa unajua hali ya afya yake? acha kutetea ujinga na JKT yako, mbona sasa wamesimamishwa kama ni mazoezi? ulienda JKT bila kupima afya yako?
Yaani mijitu kwa kutetea na kushabikia ujinga... Mmekubuhu. Tapeli yeyote ni mhalifu kama wahalifu wengine muhalifu unampima afya? Kenge kabisa. Tuko hapa kama watafukuzwa kazi utaja niambia.
 
Yaani mijitu kwa kutetea na kushabikia ujinga... Mmekubuhu. Tapeli yeyote ni mhalifu kama wahalifu wengine muhalifu unampima afya? Kenge kabisa. Tuko hapa kama watafukuzwa kazi utaja niambia.
Sifa za kijinga kisha unarudi home kulala njaa zinasaidia nn,wangemtoa uhai je.
Thus kuua kibaka hata kama amekuibia huwezi halalisha kosa juu ya kosa.
Utaratibu unafahamika ni kumkamata mtuhumiwa na kumpeleka kwenye sheria,askari wa wapi unamtesa mtuhumiwa kisha unaionyesha dunia unavyotesa.Hata vituoni wezi wanasulubiwa hasa lakini huwezi kuta wakirekodi tukio na kulirusha duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…