Sawa. Aliowa kabla ya Utume lakini hakuiwa bikra.Mtume Muhamad unajua historia yake?
Kwa ufupi ni kuwa Mtume Muhamad (S.A.W) alioa kabla hajapewa utume. Huoni tofauti hapo?
Tafuta Shekhe mzuri akuelezee umuhimu wa bikra kwa mwanamke katika ndoa.
Pia athari karibia zote katika ndoa chanzo chake ni kutokuolewa bikra kama ulikuwa hujui. Huwezi kuelewa kama hauna elimu ya dini.
ni shajikatia tamaa kupata bikra naelekea uzeeni. uanzishwe utaratibu wa kununua bikra angalau na sisi tuambulie. wenzetu wazungu wanauza original anapita dactari kukagua una uziwa
Na hata kuteleza ni mara chache sana yaani kwenye mabinti 10 waliolewa bikira inaweza kuwa ni mmoja au asiwepo kabisa anaesaliti....
Ila kwa walioolewa tayari washafungulia ni wanawake 9 out of ten kuna possibility ya kukusaliti au kumi wote....
Kwa ufupi ni kwamba wataendelea kukazwa tena haswa haswa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Bikra nyingi zina usumbufu sana. Nashauri kuzisahau tu maana siku hizi hakuna kabisa.
Hata ardhi bikra ziliisha watu wanaparamia mwezini huko [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mkuu ukiwa na age kubwa uwe na gari na hela y@ mboga then zungkia vyuonimi sijawahi kutana nazo. wapi huko ambako unazipata? au sababu utu uzima unachangia. wazee wenzetu huko ulaya wakienda ulaya mashariki zipo za kununua na latini america. ni nafuu kwa walio ruka stage kama mimi
Bikra zipo nyingi sana mkuu, Binafsi nilipokuwa nasoma Chuo pale Udsm, nillikutana na bikra tatu. Moja niliikata ambayo kwa sasa ndio Mama wa wanangu. Hizi nyingine niliziacha coz sikutaka kuingia lawama kwani nilijua sitawaoa. Binafsi ni rahisi kuchezea mwanamke asiye bikra bila kusikia hatia kubwa tofauti na kumharibu mwanamke bikra wakati najua sitamuoa. Kiukweli sitokuja nifanye hilo.
Usumbufu kivipi? Ufafanuzi kidogo basiBikra nyingi zina usumbufu sana.
Zipo ila ni chache huwezi kulinganisha na zamanimaana siku hizi hakuna kabisa.
Hakuwa dhaifu. Eleza udhaifu wake.Uliza wanawake waliofuata walikuwa ni waaina gani. Pia Huo ni moja wa udhaifu wa Muhamad ukilinganisha na manabii wengine Mind you kuwa kila nabii alikuwa na mapungufu yake kama mwanadamu
hahahahaahZama zile wanaume walisaidiwa na washenga kuzitoa hizo bikra. Siku hizi, wanasaidiwa kubanisha papuchi kwani anadhani kakosea njia. Ndo maana mchina anafaidi mapesa anayopelekewa kuwauzia bikra fake kumbe ni kubana papuchi tu
Usumbufu kivipi? Ufafanuzi kidogo basi
Zipo ila ni chache huwezi kulinganisha na zamani
Bado hujajua Mkuu?
Takwimu sina lakini zipo(kwa waliofanya utafiti).Wee Mwifwa una takwimu ???
Natamani kujua Zaidi kazi ya bikra kwenye ndoa. Ila nitajifunza taratibu haswa kwenye kizazi hiki cha sasa ambacho bikra hazina uwiano sahihi wa matunzo. Mbele imo nyuma imetoweka and vice vice versa.