Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Mbona zamani walikaguliwa Mkuu?
Embu soma hapa Kumbukumbu la torati 22

15 ndipo babaye yule kijana na mamaye watakapotwaa alama za yule kijana za ubikira, wawatolee wazee wa mji langoni;
16 na baba yake yule kijana awaambie wazee, Mwanamume huyu nilimpa binti yangu awe mkewe, naye amchukia;
17 angalieni, amemwekea mambo ya aibu, asema, Sikuona kwa binti yako alama za ubikira, nazo hizi ndizo alama za binti yangu za ubikira. Na wayakunjue yale mavazi mbele ya wazee wa mji.

wale waliosema kushika sana dini ni uwazimu hawakukosea,sasa ukimkagua ukamkuta sio bikira hautamwoza mwanao??
 
Samahani mleta mada wewe ni peter wa muna maana issue za kugombania watoto ziko nyingi ila wewe umekomaa na hii ya patrick-muna-peter? Mbali na hilo hii mada yako ni nzuri na ina ujumbe mzuri unaofikirisha. Kuna mda hata mimi ujikuta namchukia mwanamke wangu ninapokumbuka nilivo mkuta hana bikra. Na imani yangu ni hiyo hiyo uliyoielezea ya kuwa wanaume wote tuliochukua wanawake wasio na bikra tunaishi na wake za waume wenzetu.

Ndoa ni agano inafungwa pale tu mtu mme anapolala na mtu mke aliye na bikra. Wengine mahusiano yetu yako kijamii zaidi ili mradi tulienda makanisani/misikitini/bomani haimanishi kuwa tumefunga ndoa kiimani. Huko tunaenda tu ili kupata uhalali wa kuishi kwenye jamii pasipo kusumbuliwa ila kwa Mungu mwanaume halali wa ndoa ni yule aliyetoa bikra ya mwanamke husika - hao ndio wanafunga lile agano halisi la ndoa. Mengine tunayofanya ya kupelekana makanisani nk ni utaratibu tu wa hapa duniani ili jamii iweze kuwa tulivu kidogo.
Mkuu gonga like.
 
Huwezi ukakagua kila mara alafu mtoto akaitoa bikra Mkuu. Mbona ipo wazi.

yaani nimepata picha utakua mzazi wa aina gani nimekosa jibu,ningependa kukuuliza tu je na wewe ni 'baraka' kwa wazazi wako...najua umejua ninamaanisha nini….

mnhhh kuitoa bikra ni saa yoyote akikutana na fataki huko nje,hujanijibu ukiikuta haipo utafanya nini?
 
wewe ndio huelewi kukataza ngono ni sawa na kukimbiza upepo...bikira zinatolewa daily,wake up...hata uwafungie wanao na makufuli..ipo utaskia tu zilishatolewa siku nyiingi


Kama ni Mkristo, unadhalilisha Wakristo.
Unadhalilisha wazazi wako kuwa hawakukulea ipasavyo. Nilitegemea utakiri kuwa ni kosa na tunapaswa tulipinge wewe unaniambia ni-wake up. Atakaye kuoa anatapata tabu sana ikiwa ndivyo hivi ulivyo.

Naomba Mungu Uwe una-comment for funny lakini kama upo real, ni shida
 
yaani nimepata picha utakua mzazi wa aina gani nimekosa jibu,ningependa kukuuliza tu je na wewe ni 'baraka' kwa wazazi wako...najua umejua ninamaanisha nini….

mnhhh kuitoa bikra ni saa yoyote akikutana na fataki huko nje,hujanijibu ukiikuta haipo utafanya nini?

Hilo litafanyika likitokea kwa sasa siwezi sema nitafanya nini. Mimi Ni Baba, kama nimesimamia kwamba Mke wangu nimuoe akiwa bikra na ikawa. Siwezi shindwa kuwaoza wanangu wakiwa mabikira. Mungu atanisadia coz ninafanya lililo jema
 
Kama ni Mkristo, unadhalilisha Wakristo.
Unadhalilisha wazazi wako kuwa hawakukulea ipasavyo. Nilitegemea utakiri kuwa ni kosa na tunapaswa tulipinge wewe unaniambia ni-wake up. Atakaye kuoa anatapata tabu sana ikiwa ndivyo hivi ulivyo. Naomba Mungu Uwe una-comment for funny lakini kama upo real, ni shida

hahahaaaaaaaaaaaaaa usinitishe mkuu,atakayenioa ni mtu ambaye tunashibana na kuelewana kwenye mambo mengi..kwa hili lako nimeshangaa hata yeye atashangaa,na wala sio kuwa napinga tu ni kweli nashangaa at this time mtu anaweza kuwa na mawazo kama yako…..sio kosa,lako umelelewa kwenye misingi ya dini iliyopitiliza….again,sikushangai kama kuna wanaoua kwa sababu ya dini...
 
Ukiangalia hakuna mwanamke ambaye hajawahi kuwa bikra, hata malaya aliwahi kuwa bikra. Kwahiyo kama bikra ni kitu ambacho kila mwanamke aliwahi kuwa nacho, kinachokuja kutofautisha mke mzuri na mbaya ni mambo mengine kabisa. Ukipata bikra oa, lakini usije kulalamika humu hajui kupika au sijui hapendi ndugu zangu. Mfundishe, ni bikra huyo.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Bikra haihusiani na kujua kupika wala kupenda nduguzo bali ni malezi kutoka kwa wazazi wake.
 
Ndio hivyo Dadaangu, kama wewe ulikosea jitahidi kwa wanao. Kwani unashindwa kumwambia mtoto wako wa kike kila baada ya muda fulani nitakuwa nakukagua kama umeanza mchezo mbaya au laa. Wazazi wanachakujibu kuhusu hizi ishu.

Embu fikiria Lutu ni mzazi wa kiume lakini anauhakika kabisa mabinti zake wako sildi. je wewe utashindwa?
Mkuu siku hizi hata wa Mama wanaogopa kuwakagua mabint zao.
Mtoto darasa la saba unaweza ukakuta hana bikira, utandawazi umetuharibu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom