Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Yaani utadhani hizo pesa yatzikwa nazoHaya majangili yanawaza pesa tu hayajali maisha ya watanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani utadhani hizo pesa yatzikwa nazoHaya majangili yanawaza pesa tu hayajali maisha ya watanzania
"Wewe ni muislam mwenye hofu ya Mungu".
Amejuaje?
Maandamano ni haki ya kisheria, hilo ni hitaji la sheria na wala sio maoni yako au ya mjomba wako.Hao wahuni ni lazima wadhibitiwe vizuri ili wasichafue Taswira ya jiji la mbeya. Mbeya haitaki maandamano na wala haina mahitaji ya maandamano. Mbeya siyo uwanja wa kufanyia majaribio ya kila ujinga kutoka kwa kichaa na mwendawazimu yeyote yule anayejisikia tu kufanya yake akishalewa mipombe na kuvuta mibangi yake. Mbeya inahitaji maendeleo na miradi ya maendeleo kama ambavyo imekuwa ikiletwa kwa sasa na serikali ya Rais samia.mbeya inahitaji huduma za kijamii na siyo maandamano.
Mbeya hatutaki maandamano,Mbeya hatutaki kurudishwa nyuma wala kurejeshwa kwenye kuliharibu jiji letu kwa mikono yetu wenyewe.kwa sasa Mbeya na wanambeya wapo Bize makazi ya kuijenga Mbeya na kuijileteea maendeleo.
Polisi nawasihi msicheke na wahuni,msiwape nafasi wahuni .msiruhusu Mbeya kuwa mkoa wa kufanyia uhuni kutoka kwa wahuni.
Zile ni geresha tu......nyuma ya pazia ni watu tofauti kabisaAnafunga ramadhan. Hujawahi kumsikia akifuturisha?
Akina Lucas ni watu waliofilisika kwa hoja wanategemea tu mabunduki hawana tofauti na Hamas au Janjawed wa SudaniMaandamano ni haki ya kisheria, hilo ni hitaji la sheria na wala sio maoni yako au ya mjomba wako.
Kusema Mbeya haihitaji maandamano unamaanisha Mbeya haifuati sheria za nchi, jambo ambalo sio kweli, kaa chini wacha mihemko tumia ubongo kufikiri, sio kupiga kelele kila wakati.
Zile ni geresha tu......nyuma ya pazia ni watu tofauti kabisa
HahahaBasi kwa sababu hajasema ni geresha nasi tunapiga mumo Kwa mumo ..!
Hao wahuni ni lazima wadhibitiwe vizuri ili wasichafue Taswira ya jiji la mbeya. Mbeya haitaki maandamano na wala haina mahitaji ya maandamano. Mbeya siyo uwanja wa kufanyia majaribio ya kila ujinga kutoka kwa kichaa na mwendawazimu yeyote yule anayejisikia tu kufanya yake akishalewa mipombe na kuvuta mibangi yake. Mbeya inahitaji maendeleo na miradi ya maendeleo kama ambavyo imekuwa ikiletwa kwa sasa na serikali ya Rais samia.mbeya inahitaji huduma za kijamii na siyo maandamano.
Mbeya hatutaki maandamano,Mbeya hatutaki kurudishwa nyuma wala kurejeshwa kwenye kuliharibu jiji letu kwa mikono yetu wenyewe.kwa sasa Mbeya na wanambeya wapo Bize makazi ya kuijenga Mbeya na kuijileteea maendeleo.
Polisi nawasihi msicheke na wahuni,msiwape nafasi wahuni .msiruhusu Mbeya kuwa mkoa wa kufanyia uhuni kutoka kwa wahuni.
waandamanaji haramu wote kesho wadhibitiwe na kuwajibishwa kikamilifu na ipasavyo bila huruma hata kidogo.View attachment 2807863
Kwamba taarifa zote zilifuatwa. Hata ilipobidi rufaa ilikatwa kwa waziri:
"Silence gives consent."
Kesho tutamwagika mitaani kwa maandamano yatakayokuwapo kila tarehe 9 ya mwezi hadi hoja zetu zitakapojibiwa.
Kwako Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, rais wetu mpendwa wa JMT:
"Kuna tetesi za polisi Mbeya kuandaa risasi za bahati mbaya kuuwa na kujeruhi watu kesho."
View attachment 2807884
Bahati mbaya inapigiwa je mahesabu yake leo?
"Wewe ni muislam mwenye hofu ya Mungu."
Kulikoni haja ya majibu ya hoja kupangiwa majibu ya risasi, virungu, kujeruhi au kuuwa?
Kemea polisi hawa wenye wajibu kama wewe na sote wengine wa kuilinda katiba nchi.
Kulikoni wengine kukuchumia wewe dhambi hata mbele za Mola?
Kulikoni usitume mwakilishi wako kuwasikiliza wananchi hawa wasiokuwa na chembe ya shari akakuletea mrejesho?
Kulikoni kutaka kuipoteza fursa hii ya kuiunganisha nchi kwa vitendo?
Wanataka Maandamano ya kupongeza tu na sio ya kukosoa.Kwa nini serikali haipendi Maandamano ya Amani? Mboma ccm wanafanya?
Kwa nini serikali haipendi Maandamano ya Amani? Mboma ccm wanafanya?
Mchicha kama Mbuyu....
Huyo Homera ni nani huko Mbeya?Kulikoni kutaka kuipoteza fursa hii ya kuiunganisha nchi kwa vitendo?
Bibi kama BintiMchicha kama Mbuyu....
Huyo Homera ni nani huko Mbeya?
Bibi kama Binti