Maandalizi kuelekea maandamano ya amani kesho Novemba 9

Maandalizi kuelekea maandamano ya amani kesho Novemba 9

View attachment 2807863

Kwamba taarifa zote zilifuatwa. Hata ilipobidi rufaa ilikatwa kwa waziri:

"Silence gives consent."

Kesho tutamwagika mitaani kwa maandamano yatakayokuwapo kila tarehe 9 ya mwezi hadi hoja zetu zitakapojibiwa.

Kwako Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, rais wetu mpendwa wa JMT:

"Kuna tetesi za polisi Mbeya kuandaa risasi za bahati mbaya kuuwa na kujeruhi watu kesho."

View attachment 2807884

Bahati mbaya inapigiwa je mahesabu yake leo?

"Wewe ni muislam mwenye hofu ya Mungu."

Kulikoni haja ya majibu ya hoja kupangiwa majibu ya risasi, virungu, kujeruhi au kuuwa?

Kemea polisi hawa wenye wajibu kama wewe na sote wengine wa kuilinda katiba ya nchi.

Kulikoni wengine kukuchumia wewe dhambi hata mbele za Mola?

Kulikoni usitume mwakilishi wako kuwasikiliza wananchi hawa wasiokuwa na chembe ya shari akakuletea mrejesho?

Kulikoni kutaka kuipoteza fursa hii ya kuiunganisha nchi kwa vitendo?
Hata wakilengwa akina mdudu na mwambu itafaa sana wanataka kutuchafulia nchi yetu

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
MAANDAMANO ya Amani kuna mtu atachukua bunduki??Polisi CCM darasa la pili changanyeni akili zenu,mama zenu wanatumia vibatari,mikaa,kuni,macho mekundu ,hivi hamuoni hayo mateso?Mumeibiwa fedha zenu za michango ya kuzikani mpo kimya!!mukistaafu mnaomba hadi sigara!!hivi Kwa nini hamuoni hayo mambo?
 
MAANDAMANO ya Amani kuna mtu atachukua bunduki??Polisi CCM darasa la pili changanyeni akili zenu,mama zenu wanatumia vibatari,mikaa,kuni,macho mekundu ,hivi hamuoni hayo mateso?Mumeibiwa fedha zenu za michango ya kuzikani mpo kimya!!mukistaafu mnaomba hadi sigara!!hivi Kwa nini hamuoni hayo mambo?

Hawawezi kukuelewa mbuzi koko hao:

FuU6qrLWIAIeQMZ.jpeg
 
Nina uhakika mtoa post hatakuwepo kwenye maandamano haya.

Si tulikubaliana ustaarabu ni kupambana na mada na si mleta mada.

Wewe si nabii Titto. Wewe unataka katiba mpya hutaki? Umezuiliwa kushiriki? Si umeambiwa usipoweza kwenda Mbeya hata vaa chupi nyeupe basi?

IMG_20211016_132442_593.jpg


Tokeni mashimoni huko Kuna mvua za El Nino. Mtafia humo.

Bure kabisa!
 
View attachment 2807863

Kwamba taarifa zote zilifuatwa. Hata ilipobidi rufaa ilikatwa kwa waziri:

"Silence gives consent."

Kesho tutamwagika mitaani kwa maandamano yatakayokuwapo kila tarehe 9 ya mwezi hadi hoja zetu zitakapojibiwa.

Kwako Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, rais wetu mpendwa wa JMT:

"Kuna tetesi za polisi Mbeya kuandaa risasi za bahati mbaya kuuwa na kujeruhi watu kesho."

View attachment 2807884

Bahati mbaya inapigiwa je mahesabu yake leo?

"Wewe ni muislam mwenye hofu ya Mungu."

Kulikoni haja ya majibu ya hoja kupangiwa majibu ya risasi, virungu, kujeruhi au kuuwa?

Kemea polisi hawa wenye wajibu kama wewe na sote wengine wa kuilinda katiba ya nchi.

Kulikoni wengine kukuchumia wewe dhambi hata mbele za Mola?

Kulikoni usitume mwakilishi wako kuwasikiliza wananchi hawa wasiokuwa na chembe ya shari akakuletea mrejesho?

Kulikoni kutaka kuipoteza fursa hii ya kuiunganisha nchi kwa vitendo?
Njooni mjifunze kufanya mauaji ya kimbari, tunajua bila kumwaga damu hatutoweza kuipata Tanganyika yetu
 
Hao wahuni ni lazima wadhibitiwe vizuri ili wasichafue Taswira ya jiji la mbeya. Mbeya haitaki maandamano na wala haina mahitaji ya maandamano. Mbeya siyo uwanja wa kufanyia majaribio ya kila ujinga kutoka kwa kichaa na mwendawazimu yeyote yule anayejisikia tu kufanya yake akishalewa mipombe na kuvuta mibangi yake. Mbeya inahitaji maendeleo na miradi ya maendeleo kama ambavyo imekuwa ikiletwa kwa sasa na serikali ya Rais samia.mbeya inahitaji huduma za kijamii na siyo maandamano.

Mbeya hatutaki maandamano,Mbeya hatutaki kurudishwa nyuma wala kurejeshwa kwenye kuliharibu jiji letu kwa mikono yetu wenyewe.kwa sasa Mbeya na wanambeya wapo Bize makazi ya kuijenga Mbeya na kuijileteea maendeleo.

Polisi nawasihi msicheke na wahuni,msiwape nafasi wahuni .msiruhusu Mbeya kuwa mkoa wa kufanyia uhuni kutoka kwa wahuni.
Brother we ni hopeless kwa kifupi unatia aibu
 
Hata nyie mnaojifanya kuandamana mkipewa madaraka mtafanya kama mtakaowatoa, hakuna mzalendo hata mmoja hapo kila mmoja anapambania maslahi yake

Hao kina mdudu na yule mbarikiwa wote wanasehemu zao za maokoto, huko kujifanya wazalendo ni danganyatoto mkipewa madaraka na nyie mtaiba hela, mtaweka ndugu zenu kwenye nafasi nyeti

Hakuna mtu asiyetaka maisha mazuri ni mfereji wako wa mautamu haujauchimba sehemu sahihi/ chanzo kizuri ..

Hivyo basi kesho laleni tuu, ungeni juhudi mle mema ya nchi kama wengine.

CCM haitoki leo wala kesho madarakani na haitaweza kusikiliza kelele zenu
 
Hata nyie mnaojifanya kuandamana mkipewa madaraka mtafanya kama mtakaowatoa, hakuna mzalendo hata mmoja hapo kila mmoja anapambania maslahi yake

Hao kina mdudu na yule mbarikiwa wote wanasehemu zao za maokoto, huko kujifanya wazalendo ni danganyatoto mkipewa madaraka na nyie mtaiba hela, mtaweka ndugu zenu kwenye nafasi nyeti

Hakuna mtu asiyetaka maisha mazuri ni mfereji wako wa mautamu haujauchimba sehemu sahihi/ chanzo kizuri ..

Hivyo basi kesho laleni tuu, ungeni juhudi mle mema ya nchi kama wengine.

CCM haitoki leo wala kesho madarakani na haitaweza kusikiliza kelele zenu

Kinachodaiwa hapa ni katiba mpya na rasilimali za taifa kuwa kwa maslahi ya wananchi.

Ya madaraka yanatoka wapi? Au ulikuwa waandika kwa uzi upi? Au labda wewe ni mmoja katika timu hii pendwa ya maokoto?

F-Ay3s_WUAAKYKi.jpeg
 
Kinachodaiwa hapa ni katiba mpya na rasilimali za taifa kuwa kwa maslahi ya wananchi.

Ya madaraka yanatoka wapi? Au ulikuwa waandika kwa uzi upi? Au labda wewe ni mmoja katika timu hii pendwa ya maokoto?

View attachment 2808095
Acheni kutapatapa
Mara loliondo
Mara katiba
Mara IGA
Mara mmeonewa

Acheni kutapatapa kama warax wa mrina
 
Back
Top Bottom