IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,362
- 6,274
Nina uhakika mtoa post hatakuwepo kwenye maandamano haya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia huyu matacle mwingineMaandamano ya mdudu ni Fujo hoja zenu zishajibiwa na mmegoma kuelewa!! So mkipigwa risasi ni halali yenu na mfe kabisa
Hata wakilengwa akina mdudu na mwambu itafaa sana wanataka kutuchafulia nchi yetuView attachment 2807863
Kwamba taarifa zote zilifuatwa. Hata ilipobidi rufaa ilikatwa kwa waziri:
"Silence gives consent."
Kesho tutamwagika mitaani kwa maandamano yatakayokuwapo kila tarehe 9 ya mwezi hadi hoja zetu zitakapojibiwa.
Kwako Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, rais wetu mpendwa wa JMT:
"Kuna tetesi za polisi Mbeya kuandaa risasi za bahati mbaya kuuwa na kujeruhi watu kesho."
View attachment 2807884
Bahati mbaya inapigiwa je mahesabu yake leo?
"Wewe ni muislam mwenye hofu ya Mungu."
Kulikoni haja ya majibu ya hoja kupangiwa majibu ya risasi, virungu, kujeruhi au kuuwa?
Kemea polisi hawa wenye wajibu kama wewe na sote wengine wa kuilinda katiba ya nchi.
Kulikoni wengine kukuchumia wewe dhambi hata mbele za Mola?
Kulikoni usitume mwakilishi wako kuwasikiliza wananchi hawa wasiokuwa na chembe ya shari akakuletea mrejesho?
Kulikoni kutaka kuipoteza fursa hii ya kuiunganisha nchi kwa vitendo?
Kesho njoo uandame mtangulize na bwana ako mbele ili risasi zikimuua matackle yako makubwa niyafaidi mimiAngalia huyu matacle mwingine
Angalia huyu matacle mwingine
MAANDAMANO ya Amani kuna mtu atachukua bunduki??Polisi CCM darasa la pili changanyeni akili zenu,mama zenu wanatumia vibatari,mikaa,kuni,macho mekundu ,hivi hamuoni hayo mateso?Mumeibiwa fedha zenu za michango ya kuzikani mpo kimya!!mukistaafu mnaomba hadi sigara!!hivi Kwa nini hamuoni hayo mambo?
Aise
Yasije ya aqwi yakajirudia huko
Ova
Hata wakilengwa akina mdudu na mwambu itafaa sana wanataka kutuchafulia nchi yetu
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Nina uhakika mtoa post hatakuwepo kwenye maandamano haya.
Njooni mjifunze kufanya mauaji ya kimbari, tunajua bila kumwaga damu hatutoweza kuipata Tanganyika yetuView attachment 2807863
Kwamba taarifa zote zilifuatwa. Hata ilipobidi rufaa ilikatwa kwa waziri:
"Silence gives consent."
Kesho tutamwagika mitaani kwa maandamano yatakayokuwapo kila tarehe 9 ya mwezi hadi hoja zetu zitakapojibiwa.
Kwako Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, rais wetu mpendwa wa JMT:
"Kuna tetesi za polisi Mbeya kuandaa risasi za bahati mbaya kuuwa na kujeruhi watu kesho."
View attachment 2807884
Bahati mbaya inapigiwa je mahesabu yake leo?
"Wewe ni muislam mwenye hofu ya Mungu."
Kulikoni haja ya majibu ya hoja kupangiwa majibu ya risasi, virungu, kujeruhi au kuuwa?
Kemea polisi hawa wenye wajibu kama wewe na sote wengine wa kuilinda katiba ya nchi.
Kulikoni wengine kukuchumia wewe dhambi hata mbele za Mola?
Kulikoni usitume mwakilishi wako kuwasikiliza wananchi hawa wasiokuwa na chembe ya shari akakuletea mrejesho?
Kulikoni kutaka kuipoteza fursa hii ya kuiunganisha nchi kwa vitendo?
Brother we ni hopeless kwa kifupi unatia aibuHao wahuni ni lazima wadhibitiwe vizuri ili wasichafue Taswira ya jiji la mbeya. Mbeya haitaki maandamano na wala haina mahitaji ya maandamano. Mbeya siyo uwanja wa kufanyia majaribio ya kila ujinga kutoka kwa kichaa na mwendawazimu yeyote yule anayejisikia tu kufanya yake akishalewa mipombe na kuvuta mibangi yake. Mbeya inahitaji maendeleo na miradi ya maendeleo kama ambavyo imekuwa ikiletwa kwa sasa na serikali ya Rais samia.mbeya inahitaji huduma za kijamii na siyo maandamano.
Mbeya hatutaki maandamano,Mbeya hatutaki kurudishwa nyuma wala kurejeshwa kwenye kuliharibu jiji letu kwa mikono yetu wenyewe.kwa sasa Mbeya na wanambeya wapo Bize makazi ya kuijenga Mbeya na kuijileteea maendeleo.
Polisi nawasihi msicheke na wahuni,msiwape nafasi wahuni .msiruhusu Mbeya kuwa mkoa wa kufanyia uhuni kutoka kwa wahuni.
Yaani utadhani hizo pesa yatzikwa nazo
Hata nyie mnaojifanya kuandamana mkipewa madaraka mtafanya kama mtakaowatoa, hakuna mzalendo hata mmoja hapo kila mmoja anapambania maslahi yake
Hao kina mdudu na yule mbarikiwa wote wanasehemu zao za maokoto, huko kujifanya wazalendo ni danganyatoto mkipewa madaraka na nyie mtaiba hela, mtaweka ndugu zenu kwenye nafasi nyeti
Hakuna mtu asiyetaka maisha mazuri ni mfereji wako wa mautamu haujauchimba sehemu sahihi/ chanzo kizuri ..
Hivyo basi kesho laleni tuu, ungeni juhudi mle mema ya nchi kama wengine.
CCM haitoki leo wala kesho madarakani na haitaweza kusikiliza kelele zenu
Acheni kutapatapaKinachodaiwa hapa ni katiba mpya na rasilimali za taifa kuwa kwa maslahi ya wananchi.
Ya madaraka yanatoka wapi? Au ulikuwa waandika kwa uzi upi? Au labda wewe ni mmoja katika timu hii pendwa ya maokoto?
View attachment 2808095