Maandalizi kuelekea maandamano ya amani kesho Novemba 9

Maandamano ya mdudu ni Fujo hoja zenu zishajibiwa na mmegoma kuelewa!! So mkipigwa risasi ni halali yenu na mfe kabisa
Zile hoja zilitolewa majibu sio majawabu. Hata tukifa ni sawa tu kuliko kuishi kwa kuburuzwa na tutakuwa tumekufa kishujaa.
 
Tulia we mrembo.
 
Tulia we mrembo.
Nataka nione ukiandamana maana unapigaga makelele yako humu kila siku.sasa kama wewe mwanaume basi nataka uingie barabarani na mke wako ili uonyeshwe kazi na kushikishwa adabuu.
 
Nataka nione ukiandamana maana unapigaga makelele yako humu kila siku.sasa kama wewe mwanaume basi nataka uingie barabarani na mke wako ili uonyeshwe kazi na kushikishwa adabuu.
Bahati yako siko Mbeya, nilitaka uje na Basha wako mnizuie.
 
Yuko tayari kulengwa wore 60m tunaotaka katiba mpya. Wewe ni wale mnaopata promotion kwa kuuwa watu?
Acha blaa blaa na porojo zako hapa .kama unajiamini wewe ingia barabarani ili ushikishwe adabu utakayokwenda kumsimulia mkeo na watoto wako huku ukibubujikwa machozi yasiyokatika.
 
Nendeni mkavunjwe ugoko zenu wapumbavu nyie hamna cha kufanya zaidi ya kutuletea mitafaruku ya kipumbavu.

Mdude anataka Katiba Mpya, mbona kaishi mpaka hapo na Katiba ya zamani
 
Bahati yako siko Mbeya, nilitaka uje na Basha wako mnizuie.
Mnafiki mkubwa wewe.kwani hayo maandamano yametangazwa leo hadi useme hupo Mbeya? Si unasemaga unataka machafuko? Kwanini hujaja Mbeya kukichafua ili uone utakavyochakazwa na kuchafuliwa sura lako? Wewe ni mpiga porojo tu na blaa blaa tu kama mlevi .

Andamana huko huko uliko kama unajiamini na siyo kupiga porojo hapa jukwaani.
 
Usipanic mrembo, hili game halitaki hasira. Nimekuambia ungeniambia umeenda Mbeya na Basha wako kuniuzia ningekuja nione jeuri yako na huyo basha wako. Hao waliopo Mbeya wanatosha.
 
Tena ntakua front line tukutane kabwe stand,
Ingia tu barabarani na siyo kuja kuandamana humu jukwaani huku umejificha kwenye feki ID. Kaka wewe kidume nataka uingie barabarani kwa miguu yako na akili yako Timamu ili uone utarudi na kipi kati ya ulivyoingia navyo barabarani.hii nchi haina nafasi ya wahuni na wavuta bangi kuleta uhuni wao na mibangi yao katika shughuli za watu.
 
Usipanic mrembo, hili game halitaki hasira. Nimekuambia ungeniambia umeenda Mbeya na Basha wako kuniuzia ningekuja nione jeuri yako na huyo basha wako. Hao waliopo Mbeya wanatosha.
Nenda na wewe ujumuike nao na siyo kupiga soga humu jukwaani halafu unasukumiza wengine kwenda kuvunjwa viuno .tapeli mkubwa wewe Tindo πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Ntarekodi video kwa ajili yako na hao wanaokutuma tunza hii comment vzr,
 
Nenda na wewe ujumuike nao na siyo kupiga soga humu jukwaani halafu unasukumiza wengine kwenda kuvunjwa viuno .tapeli mkubwa wewe Tindo πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Ww utakuwa na basha wako hapo Mbeya kuwazuia waandamanaji, au ww unawatuma polisi wasiojielewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…