Maandalizi kuelekea maandamano ya amani kesho Novemba 9

Kesho niwahi pale kambini FFU nichukie lile rungu linan'gaaga kama limepakwa mafuta, afande mwita huwa analiwahi Kila siku, ila kesho atanikuta nalo, nikimkosa mwambuzi kiuno, kichwa au ugoko, basi, ana Mungu wake
 
Acha blaa blaa na porojo zako hapa .kama unajiamini wewe ingia barabarani ili ushikishwe adabu utakayokwenda kumsimulia mkeo na watoto wako huku ukibubujikwa machozi yasiyokatika.

Blaa blaa ndiyo nini? Ngoja wanaume tukakutafitie katiba njema na rasilimali za nchi Kwa ajili yako na hata watoto wa wajukuu zako.

johnthebaptist keshakugawia uniform?

 
Hiyo silaha ya msaada. Wakitumaliza kesho si mwisho wa uhunzi.

Aluta continua!
Kiukweli tulipofikia,

CCM Ili kuelewa nini Watanzania tunataka, lazima gia kubwa itumike.
 
Kesho niwahi pale kambini FFU nichukie lile rungu linan'gaaga kama limepakwa mafuta, afande mwita huwa analiwahi Kila siku, ila kesho atanikuta nalo, nikimkosa mwambuzi kiuno, kichwa au ugoko, basi, ana Mungu wake

Rungu halitoshi kachukue na uniform yako kabisa:
 

Attachments

  • vbzIrq8U.jpeg
    38.6 KB · Views: 1
Zile hoja zilitolewa majibu sio majawabu. Hata tukifa ni sawa tu kuliko kuishi kwa kuburuzwa na tutakuwa tumekufa kishujaa.
Hizo ni Fujo serikali haiwezi kukubali kuyumbishwa watu walioamua kupotosha makusudi Kwa sababu zao binafsi za kutafuta ujiko wa kisiasa!!
 
Hao waandamanaji ni majobless? Kama Kuna watumishi, Wana ruhusa ya kutokwenda kazini kisa wanaandamana? Hatutaki badae kusikia watu wanalialia. Anyways, Kila la heri kama mtaandamana kweli maana Mange Kimambi anawajua kweli mlivyo wazugaji nyie Chadema!
 
Sijakuelewa
subiri kidogo nipo field muda huu hali ni shwari hakuna jambazi yeyote barabarani, wafanya kazi na wafanya biashara wanaendea na shughuli zao kama kawaida....

Ni gari moja tu la police waliojizatiti na kujiahami kikamilifu na zana zote limepita likiwa katika utayari kwa kuwadhibiti na kuwakabili vilivyo majambazi na waandamanaji haramu ambao mpaka sasa wanachungulia madirishani tu kupima upepo wa kithibiti maandamano Haram...

Ntakucheki nikueleweshe vizur kazi ikianza
 
Asante kwa taarifa dada angu
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Kisayansi? Kweli nyie ni wahuni mnaopaswa kudhibitiwa kihuni kwa kucharazwa bakora mpaka akili iwakae sawa.vipi Mdude yupo wapi mpaka muda huu
Mdude yupo jikoni anaweka mipango sawa, sisi hatuna hata wembe, maandamano ni ya amani. Tulia dada angu uone kitakachotokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…