Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
Kwa mwaka mmoja anaweza apa hata zaidi ya mara 3Kuna baadhi ya watu ikulu wanaapa karibia kila siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mwaka mmoja anaweza apa hata zaidi ya mara 3Kuna baadhi ya watu ikulu wanaapa karibia kila siku
Hadi atuwekee kale ka barua ka madam zuhura ndiyo tuaminiJe, niamini au nisiamini hii taarifa? Moyo wangu unanikumbusha tarehe 01.04.2023 bado haijaisha.
Mi mwenyewe sipendi hizi vitu, yaani mtu anaamka tu na kuamua kutengua.Kwamba ndio amefanya nini?
Siku zijazo, tuweke sheria ya kubana hizi teua tengua; ukitengua unatupa na sababu
Inanikumbusha kale ka ubeti "nasukuma sukuma ili Siku ziendeeee" hii ni kusukuma sukuma ilimradi 2025 ifikeRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko mado...
Labda ndio hao wametupisha.Ndiyo na mi najiuliza kama ndio waliostupidishwa ile majuzi !?