Jumanne Mwita
JF-Expert Member
- Nov 18, 2014
- 530
- 1,446
NHIF wamefuta Najali ambayo mtu mmoja alikua analipa 192,000/=, Wekeza 384,000 na Timiza 516,000/=
Wametambulisha vifurushi vipya ambavyo ni Serengeti Afya 660,000 na Ngorongoro Afya 240,000 kwa mtu mmoja kwa mwaka.
Wamebadili kifurushi cha watoto ambacho awali kwa mtoto ambaye bado hajaanza shule alikua analipiwa 50,400 na sasa atalipa 150,000 na anatakiwa kusubiri miezi 3 ndio aanze kutumia huduma.
Kwa watoto walio shule wanalipa 50,400 na hakuna muda wa kusubiri, anaanza huduma pale pale.
Wametambulisha vifurushi vipya ambavyo ni Serengeti Afya 660,000 na Ngorongoro Afya 240,000 kwa mtu mmoja kwa mwaka.
Wamebadili kifurushi cha watoto ambacho awali kwa mtoto ambaye bado hajaanza shule alikua analipiwa 50,400 na sasa atalipa 150,000 na anatakiwa kusubiri miezi 3 ndio aanze kutumia huduma.
Kwa watoto walio shule wanalipa 50,400 na hakuna muda wa kusubiri, anaanza huduma pale pale.