Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huu ni uyawaniiiiiUnalipia kifurushi cha mwaka ila unasubiri 3months ili uanze kukitumia(???)
Halafu ukienda na kadi ya NHiF hospital kuna huduma nyingi tu unaambiwa ulipie cash mwenyewe maana hiyo bima haihusiki
Uzushi si jambo zuriAfu sasa hadi za serikali eti hazipokei NHIF. khaaaah
ujinga ni mzigo, inakuwaje mtu afikieie matibabu yatakuwa rahisi au bima kwawote kwa nchi isiyo na viwanda vya kutengeneza madawa na vifaa tiba... tafuteni pesa
Uzushi si jambo zuri
wewe ndo hujui chochote unalalama tu ..kengeKaa kmya maana ujui maana ya bima
Inapaswa huduma zao ziwe nafuu ili wachangiaji wawe wengi ili wale wachache wanao umwa waweze kugharamiwa
Kuongeza gharama za michango kutapunguza wachangiaji, na gharama za kuendesha huo mfuko zitakuwa vilevile au kuongezeka
Sasa si waseme ni huduma ya miezi tisa tu.Yani huduma ni kwa mwaka mtu kalipia halafu unamsubirisha miezi mitatu?
Ili iweje
"Blaza" kwani kwenu hakuna WAKUBWA...!? au wapo ila India unahisi kama hawawezi kwenda...!?😁Kama Taifa tuna safari ndefu sana , hospital zenyewe hazina madawa ,wahudumu wachache halafu suluhisho ni kuongeza gharama za matibabu kutoka 50,400 Hadi 150000,huku wakubwa wakiwa wanatibiwa nje ya nchi.Maskini wa kitanzania wataendelea kufia kwenye milango ya zahanati kama MARIAM ZAHORO wa Handeni.Alipofariki kwa kukosa 150,000 ili afanyiwe operation,wameona kumbe 150,000 unaweza kumfisha mtu ,wameamua kuweka kifurushi hicho ili raia washindwe kulipia na hatimaye wafariki wakiwa wanajiona.Eeee Mungu wetu tunakuomba Kila mkubwa alipelekwe India kwa ajili ya matibabu basi asirudi nchini na akirudi arudi akiwa maiti.
kuna aja ya kumsikiliza Dr.janabiTuongeze mazoezi maana kwa mwendo huu hali si shwari...
Okay, kwan hizo zinawahusu wafanyakaz au sis tu wengine?Ifikie wakati kuwepo na option ya kujitoa ktk huu mfuko kwa wale wafanyakazi wa serikali
Hii nchi inapesa ya kuchezea na kula bata ila siyo ya kufanyia maendeleo.. Pesa ya maendeleo ni mikopo ya Ughaibuni/IMF/ WB n.kSiku mkiacha kupeleka kundi la watu 70 wa Bongo Muvi Korea, Msafara wa Rais kuwa na utitiri wa V8 au kununua magoli ya Simba, Yanga na Taifa stars kwa mamilioni na pesa hizo zikawekezwa kwenye afya labda tutapata unafuu wa michango
Tutafuteni hela tu hakuna namna. Dunia ya sasa inanufaisha wachache sana.NHIF wamefuta Najali ambayo mtu mmoja alikua analipa 192,000/=, Wekeza 384,000 na Timiza 516,000/=
Wametambulisha vifurushi vipya ambavyo ni Serengeti Afya 660,000 na Ngorongoro Afya 240,000 kwa mtu mmoja kwa mwaka.
Wamebadili kifurushi cha watoto ambacho awali kwa mtoto ambaye bado hajaanza shule alikua analipiwa 50,400 na sasa atalipa 150,000 na anatakiwa kusubiri miezi 3 ndio aanze kutumia huduma.
Kwa watoto walio shule wanalipa 50,400 na hakuna muda wa kusubiri, anaanza huduma pale pale.View attachment 3179380
si miezi 9 usipotoshe, mfano umelipa desemba mosi 2024 utaanza kuitumia machi mosi 2025 na mwisho wa matumizi ya kadi yako ya nhif utakuwa februari 28 mwaka 2026.Hapo hiyo huduma siyo ya mwaka tena, ni miez 9, uhun!
Okay, kwan hizo zinawahusu wafanyakaz au sis tu wengine?
Zinatuhusu raia wa daraja la chini tu. Muajiriwa anaweza kuchangia 60,000 kwa mwezi akabeba na wazee au wakwe zake.Okay, kwan hizo zinawahusu wafanyakaz au sis tu wengine?
Nikitaka mimi na watoto 4?Zinatuhusu raia wa daraja la chini tu. Muajiriwa anaweza kuchangia 60,000 kwa mwezi akabeba na wazee au wakwe zake.