Mabadiliko NHIF kama huna uwezo utakufa, hakuna nafuu yoyote zaidi ya kutafuta pesa kwa nguvu kutoka kwa wananchi

Mimi awali nilikua natumia Ile ya kulipia 50400 ambayo wanafunzi wengi vyuon wanatumia, vip kwa Sasa inatakiwa ni update au nikate bima nyingne maan sipo chuoni tena
 
Halafu ukienda na kadi ya NHiF hospital kuna huduma nyingi tu unaambiwa ulipie cash mwenyewe maana hiyo bima haihusiki

Upo sahihi, hospitali wanasema vipimo au dawa fulani hazipo ktk orodha ya kugharamiwa na bima, huu ni utapeli

Na zipo baadhi ya hospitali mwanachamq wa bima ana dharauriwa na kupata tabu kuliko yule anayelipa kwa cash
 
ujinga ni mzigo, inakuwaje mtu afikieie matibabu yatakuwa rahisi au bima kwawote kwa nchi isiyo na viwanda vya kutengeneza madawa na vifaa tiba... tafuteni pesa

Kaa kmya maana ujui maana ya bima

Inapaswa huduma zao ziwe nafuu ili wachangiaji wawe wengi ili wale wachache wanao umwa waweze kugharamiwa

Kuongeza gharama za michango kutapunguza wachangiaji, na gharama za kuendesha huo mfuko zitakuwa vilevile au kuongezeka
 
wewe ndo hujui chochote unalalama tu ..kenge
 
"Blaza" kwani kwenu hakuna WAKUBWA...!? au wapo ila India unahisi kama hawawezi kwenda...!?😁
 
Natamani niandike hapa jinsi serikali kupitia mlango wa nyuma wanachofanya pesa za wanachama, na wakati huo huo wakurugenzi wanatumiwa vimemo "tunaomba michango kwa ajili ya ziara ya @#** hapa Wizarani" naye ili kulinda uteuzi wake anatoa Tu pesa, watumishi mfuko nao wanaomba fungu kwa ajili ya kampeni ya kuhamasisha wananchi kujiunga na mfumo, wahamasishaji ni Amisa Mobeto na Gigy Money" uchafuzi ni mwingi acha tu nisiharibu siku yangu bure, nimeshiba michembe yangu ya majani ya kunde,
 
Siku mkiacha kupeleka kundi la watu 70 wa Bongo Muvi Korea, Msafara wa Rais kuwa na utitiri wa V8 au kununua magoli ya Simba, Yanga na Taifa stars kwa mamilioni na pesa hizo zikawekezwa kwenye afya labda tutapata unafuu wa michango
Hii nchi inapesa ya kuchezea na kula bata ila siyo ya kufanyia maendeleo.. Pesa ya maendeleo ni mikopo ya Ughaibuni/IMF/ WB n.k
 
Tutafuteni hela tu hakuna namna. Dunia ya sasa inanufaisha wachache sana.
 
Hapo hiyo huduma siyo ya mwaka tena, ni miez 9, uhun!
si miezi 9 usipotoshe, mfano umelipa desemba mosi 2024 utaanza kuitumia machi mosi 2025 na mwisho wa matumizi ya kadi yako ya nhif utakuwa februari 28 mwaka 2026.
 
Okay, kwan hizo zinawahusu wafanyakaz au sis tu wengine?

Ujui hata hiyo NHIF inajiendeshaje kwa mapato kutoka wapi

Kwa kifupi hakuna mfuko una hoja za mkaguzi wa mahesabu CAG kama huo unaitia tu hasara serikali na kuwaibia wanachama wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…