Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
💯🤝Ally star ni mkonhwe wa hiyo njia toka kitambo yamekuja makampuni mengi sana yamepotea ila mwarabu kaendelea kubaki palepale.
Katarama ni kama Sauli tu mbele ya chuma ya mwekezaji Golden Deer.
wanakula maisha aseemadereva wa izo mashine wanafaidi sana aisee
Kwani hapo kuna tatizo gani ?Hii ndio video iliyowapelekea LATRA kusitisha safari za mabasi tajwa kwa muda wa sa tisa usiku na badala yake kurejea kuondoka sa kumi nambili asubuhView attachment 2663425
Mapumbavu sanaMijitu inakaaa inafatilia ligi za mabasi
Ova
katarama haungozi kila siku mkuu kuna siku allys zotebili zinatanguliaUjio wa katarama unampa shida kubwa ally's ndiyo maana kila kukicha latra wamekuwa mstari wa mbele kumsaidia ally's na kipigo cha kuisoma namba....
Katarama ndiyo chaguo la watu wa mwanza inajulikana sasa iweje latra inawauma ?
Ligi ilikuwa tamu sana miaka ya tisini unakutana na Ngorika,Buffalo,Saibaba,Dar express n.kKaskazini ligi yao iko kuwa na wahudumu pisi kali kwenye mabasi
Mimi napendaga nipande gari ikimbie mpaka nione kizunguzungu.madereva wa izo mashine wanafaidi sana aisee
Hahaa si kweliAlly's mpika majungu tuu 🤠🤠🤠, katarama ni balaa ile 😂😂😂 ingekua kama sio vile vidubuasha vyao vya speed katarama saa 2:30 angekua amepaki nyegezi
Bora ligi hyo haina madhara lakini hizi ligi za kuwah kufika stendi ni kuweka hatarini maisha ya watuKaskazini ligi yao iko kuwa na wahudumu pisi kali kwenye mabasi
Watu ndio wanataka sasaBora ligi hyo haina madhara lakini hizi ligi za kuwah kufika stendi ni kuweka hatarini maisha ya watu
Bus huwa zinagongwa nyundo usiku! Mafundi wao mchana kutwa ni stori tu, ikifika usiku kazi kazi..Yule jamaa akiongeza akawa ma scania 6 anakuwa kamaliza kesi.
Ila service yanafanyiwa muda gani?
Hapo penyewe bado ana safari ndefu kurudisha pesa ya hizo alizo nazoYule jamaa akiongeza akawa ma scania 6 anakuwa kamaliza kesi.
Ila service yanafanyiwa muda gani?
Kwani yeye na wewe nani katoa hela?Hapo penyewe bado ana safari ndefu kurudisha pesa ya hizo alizo nazo
nitamrithi yule bibie aisee baada ya msiba 😅Mimi napendaga nipande gari ikimbie mpaka nione kizunguzungu.
Wewe badala uandamane bandari imechukuliwa unaongelea maswala ya scaniaHapo penyewe bado ana safari ndefu kurudisha pesa ya hizo alizo nazo