Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Ila wote hao hawaingii ndani ya Chuma linaloitwa Asante rabbi linalopiga route ya Mwanza-Arusha. Chuma inatembea kama ndege ya ardhini kila siku ndio inafungua geti pale singida kwa gari zinazotoka mwanza.