Mabenki yaanza kukusanya Tozo za Serikali kwenye miamala wanayofanya wateja

Ni kweli ilikua bure nmb to nmb before hii tozo haijaletwa. Hata sasa nmb bado pia hawana commission wanayopata kwenye hii miamala. Hayo makato yote yanaenda serikalini.
 
Na bado mna sema mama anaupinga mwingi mitano tena.
Magu alikusanya pesa toka kwa matajiri, tulimsema sana. Mama amewaacha matajiri wanakula ubwabwa kwa mrija, masikini ishakuwa zamu yetu.

Futseke zao hovyo kabisa.
 
Huyu bibi ni kumpiga chini 2025.. leo ametumia kiribia mil 500 kwa usafiri tuu toka kilimanjaro hadi arusha.. ndege, magari kama 50, helkppter etc..

Kumbe fedha zote hizi ni tozo za kuviziana[emoji1787][emoji28]
CCM ni mashetani Mkuu
 
hapa tutaibiwa sana na mabenki maana hata hawajasema wanakata shilingi ngapi kwa kiasi gani, mameneja na watumishi wao watatuna mashavu maanaa ni full kujimegemea mabulungutu tu ……..
 
Mwigulu amekuja na kwenye akaunti zetu za ada za watoto... lengo lao ni nini hawa kima
 
Tudai pesa kama mishahara itolewe cash.. siku ya mshahara kila mtu aende na kamfuko kake kulingana na mshahara wake[emoji1787][emoji1787]
hapa tutaibiwa sana na mabenki maana hata hawajasema wanakata shilingi ngapi kwa kiasi gani, mameneja na watumishi wao watatuna mashavu maanaa ni full kujimegemea mabulungutu tu ……..
 
Naplan kuweka akiba huko bank kesho, saa itakuaje wajumbe!!!..
 
Huu ni upumbavu uliopitiliza...kwanini Kama ni tozo wasitoe taarifa kwanza ndio waanze kukata? Hyo miamala nisingeifanya Kama ningejua Kuna hayo matozo yenu otherwise kwanini msingebeba huo mzigo wa hayo makato ninyi mnahamisha kwa wateja ambao hamkuwaambia? Huu mi ushenzi sana. Nimeangalia akaunti yangu nimekatwa zaidi ya elfu 50...
 
2025 maamuzi ni yenu twende na serikali ya Tozo au mabadiliko... Tatizo hatujawahi kujitambua wala kuijua nguvu ya umma kila mtu anaiogopa serikali jeshi na mamlaka ilihali wao ndio wanaotutegemea kwa kulipa kodi na Tozo fungukeni acheni uzuzu
 
Kesho nawafata rasmi wanitolee app zote kwenye simu yangu pamoja na simbanking tuone hizo tozo watamkata Nani..pumbavu sana
 
Ninachoshindwa kuelewa hii miamala inawiana vipi kwa mtu yuleyule ambaye amekatwa muamala wake kwenye simu, kwenye luku na kwenye akaunti ya benki, siamini kama Tanzania tuna data base ya utambulisho wa kama wenzetu wa huko Ulaya au Marekani ambayo inaweza kumtambulisha mtu kila sehemu iwe kwenye mabenki,ajira n.k, sasa kila sehemu unakatwa wakati tayari hayo makato umeshakatwa sehemu nyingine kama vile kwenye miamala ya simu,je wanajuaje kuwa huyu akakatwe au asikatwe sababu tayari ama umeshakatwa kwenye miamala ya kwenye simu. Mimi nadahani serikali ingekamilisha kwanza zoezi la kutoa namba za utambulisho kwa raia wote na namba hiyo ya utambulisho iwe kwenye data ambayo taasisi zozote zinaweza access kwa pamoja. Hivi sasa pamoja na kuwa na vitambulisho vya uraia ,mtu wa benki hawezi access data zako au hata uhamiaji nao hawawezi access hizo data zako hadi unaambiwa kajaze tena form wakati tayari una pasipoti iliyoisha na taarifa zako zipo kwenye faili lako!
 
Kesho nawafata rasmi wanitolee app zote kwenye simu yangu pamoja na simbanking tuone hizo tozo watamkata Nani..pumbavu sana
Pamoja na kutowapenda mabeberu hapo ndio nawaona angalau wanajali sababu haya makato ingekuwa ni majuu tayari benki zingeshtakiwa na hata serikali ingeshtakiwa, pia sielewi hii miamala wanaidhibiti vipi na sisi ''tuliokubali'' hiyo miamala tutajuaje kuwa hiki ndio kiasi kamili kilichotokana na tozo, sababu hizi tozo hazina base ya kuweza kujua kuwa A,B na Z wanatakiwa au wamelipa kiasi gani ni kama vile tunabahatisha tu, nasema tunabahatisha tu kwani serikali haijafanya makadirio sahihi kwa kila anayetumia hii miamala.
 
Hivi hatuna wazalendo kuishtaki serikali kwa.huu uhalifu? Mimi hata sielewi tozo ina misingi ipi ya kisheria na kimaadili. Fikiria mfanyakazi ambaye amekwisha kulipa kodi, msingi wa tozo kwenye miamala anayofanya ni upi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…