Watu wameanza kuletewa meseji kwenye simu kuhusu tozo wanazotozwa pindi wakifanya miamala ya kibenki.
Naona serikali imeamua sasa kutwaa fedha za wananchi kupitia tozo.
Sasa kinachofanyika, wananchi wanailipa serikali kodi za kawaida kama vile VAT n.k, halafu inakuja on top of that inakwangua pesa za watu kwa jina la tozo
Kwa kwenli tozo ni kama unyang'anyi wa wazi.
Mfano wa meseji ambao watu wanapata ni
Ndugu Mteja, tunakusanya tozo ya serikali kwenye akaunti yako kwa miamala ya tarehe 8 Sep 2021 mpaka 6 Oct 2021. Unaweza hakiki kupitia taarifa ya akaunti.
Hizi 'tozo' limekuwa jambo.Watu wameanza kuletewa meseji kwenye simu kuhusu tozo wanazotozwa pindi wakifanya miamala ya kibenki.
Naona serikali imeamua sasa kutwaa fedha za wananchi kupitia tozo.
Sasa kinachofanyika, wananchi wanailipa serikali kodi za kawaida kama vile VAT n.k, halafu inakuja on top of that inakwangua pesa za watu kwa jina la tozo
Kwa kwenli tozo ni kama unyang'anyi wa wazi.
Mfano wa meseji ambao watu wanapata ni
Ndugu Mteja, tunakusanya tozo ya serikali kwenye akaunti yako kwa miamala ya tarehe 8 Sep 2021 mpaka 6 Oct 2021. Unaweza hakiki kupitia taarifa ya akaunti.
Mwishowe hata hewa unayovuta utaambiwa utoe tozo kwa ajiri ya mazingira, hukusikia habari za mlima Kilimanjaro mazingira yake kuathirika?Kamshahara ninakolipwa na mhindi kanakatwa kodi, benki kanakutana na tozo, nikituma kwa wazazi kijijini nakutana na tozo, nikinunua umeme tozo, kila kona tozo, sasa nasikia kuna tozo mpya inakuja kila tulalapo na wake zetu.
Ujinga ni mzigo. Kodi tunalipa. Tunachopinga ni huu uporajiTulipe kodi kwa maendeleo ya Taifa.
Ni unyang'anyi uleule......kwa sheria kandamiziWatu wameanza kuletewa meseji kwenye simu kuhusu tozo wanazotozwa pindi wakifanya miamala ya kibenki.
Naona serikali imeamua sasa kutwaa fedha za wananchi kupitia tozo.
Sasa kinachofanyika, wananchi wanailipa serikali kodi za kawaida kama vile VAT n.k, halafu inakuja on top of that inakwangua pesa za watu kwa jina la tozo
Kwa kwenli tozo ni kama unyang'anyi wa wazi.
Mfano wa meseji ambao watu wanapata ni
Ndugu Mteja, tunakusanya tozo ya serikali kwenye akaunti yako kwa miamala ya tarehe 8 Sep 2021 mpaka 6 Oct 2021. Unaweza hakiki kupitia taarifa ya akaunti.
Kodi ya mshikamano
Ujerumani wao wamelipa miaka mingi huko nyuma
Kodi ya mshikamano kusaidia ukarabati katika majimbo mapya – DW – 26.10.2009
Baada ya kuangushwa kwa ukuta wa Berlin, Helmut Kohl ambae wakati huo alikuwa kansela wa Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani alitoa ahadi kuwa majimbo mapya yatafanyiwa ukarabati na kupewa sura mpya.www.dw.com
Sisi tunaona mambo haya ni mapya, ndio mshikamano huo, hakuna namna tulipe tuu..
Siyo kwa maiti hizi zinazojiita watanzania.Any further push kwa kweli itabidi wajiandae kwa consequences.
Cha ajabu hizo pesa zilizoko benki zimelipiwa kodi tayari wakati zinapatikana....VAT etc...lakini inaongezwa kodi ya tozoUjinga ni mzigo. Kodi tunalipa. Tunachopinga ni huu uporaji
Nchi ya mazwazwa hii mpk siku yakazinduke yatakuwa yashakamuliwa vya kutoshaBullshit! Mshikamano wa kumkamua mtu asiye na uhakika wa milo miwili kwa siku huku mkuu wa nchi anazunguka na misafara ya ma VX zaidi ya 50 na helikopta 2 juu? Serikali iongoze kwa kuonyesha uzalendo wa kupunguza matumizi yasiyo ya lazima.
Bado njaa haijang'ata sawasawa, ila inaelekea utawala wa CCM unatulazimisha tufe njaa. Hili halitowaacha nao salamaSiyo kwa maiti hizi zinazojiita watanzania.
Acha watunyooshe. Tumezidi uzandiki na ujuhaCha ajabu hizo pesa zilizoko benki zimelipiwa kodi tayari wakati zinapatikana....VAT etc...lakini inaongezwa kodi ya tozo
Kwani we hiyo tozo hukatwi ,kama bado unawaza genge la chato nenda kalinde kaburi lakeCHADEMA mlisema JPM akifa mtapata Uhuru nadhani hapa Mungu anawajibu kupitia Samia ,wanasema ukiomba mama wa kambo afe anakufa mamako na ndio unaipata fresh
Tulieni dawa iingie so mlitaka demokrasia ndio hii Sasa tena ya kiuchumi kizalendo
USSR
Watu wameanza kuletewa meseji kwenye simu kuhusu tozo wanazotozwa pindi wakifanya miamala ya kibenki.
Naona serikali imeamua sasa kutwaa fedha za wananchi kupitia tozo.
Sasa kinachofanyika, wananchi wanailipa serikali kodi za kawaida kama vile VAT n.k, halafu inakuja on top of that inakwangua pesa za watu kwa jina la tozo
Kwa kwenli tozo ni kama unyang'anyi wa wazi.
Mfano wa meseji ambao watu wanapata ni
Ndugu Mteja, tunakusanya tozo ya serikali kwenye akaunti yako kwa miamala ya tarehe 8 Sep 2021 mpaka 6 Oct 2021. Unaweza hakiki kupitia taarifa ya akaunti.
Wanasiasa ndo wazandiki, raia hawana cha kujitetea maana sheria zimepitishwa na walisiojali wananchi waoAcha watunyooshe. Tumezidi uzandiki na ujuha
Cha ajabu hizo pesa zilizoko benki zimelipiwa kodi tayari wakati zinapatikana....VAT etc...lakini inaongezwa kodi ya tozo
Hizi kodi za mshikamano mimi nataka mama aziongeze kila sehemu, hawa watu wakikamuliwa vizuri kwenye chaguzi akili zitaanza kuamka!Bullshit! Mshikamano wa kumkamua mtu asiye na uhakika wa milo miwili kwa siku huku mkuu wa nchi anazunguka na misafara ya ma VX zaidi ya 50 na helikopta 2 juu? Serikali iongoze kwa kuonyesha uzalendo wa kupunguza matumizi yasiyo ya lazima.