Mabraza wenye miaka 40+, mkiendelea kuwahubiri vijana wa 20+ na 30+ kupuuzia mambo haya kuhusu wanawake then they will be no hope for the future

Mabraza wenye miaka 40+, mkiendelea kuwahubiri vijana wa 20+ na 30+ kupuuzia mambo haya kuhusu wanawake then they will be no hope for the future

Ni
hilo la mwanamke kuwa hana tabia atazikuta kwako nmecheka had sio poa,, dogo utakuja kutana na wild woman ndo utajua hujui

hilo la mwanamke kuwa hana tabia atazikuta kwako nmecheka had sio poa,, dogo utakuja kutana na wild woman ndo utajua hujui
Wewe ndio utakae mfundisha jinsi ya kukutreat wewe whether she is wild or she is not wild
 
Nadhani the best ni kuacha kuchukua ushauri tu

Maana kama mnajua kila kitu kwanini mje Kwa wakubwa zenu?

Ujuaji umewafanya vijana wengi muishi fake life, mdharaulike na mgongwe na maisha

Wewe hujaelewa Mada mkuu. Hakuna alieomba ushauri hapa. Soma Tena uelewe vizuri.

Unaweza kuwa kaka angu kiumri lakini kiakili nikawa Sawa na babu yako. .

Kuwa na umri mkubwa sio kigezo cha kuwa Na busara Kwa Sababu hata wapuuzi huwa wanazeeka.
 
Asilimia kubwa ya Mabraza wenye miaka 40+ huwa Wana assume wanajua wanawake vizuri kuliko mtu yoyote.

Wakikaaga na vijana wa miaka 20+ na 30+ huwa wanawashauri na kuwafundisha kuvumilia/kustahimili na kupuuzia mambo ya hovyo na yasiyo faa yanayo fanywa na wanawake katika mahusiano au katika ndoa..

Na ukijifanya una busara ya kuwasikiliza mabraza mwisho wa siku watakushauri usamehe hata adultery .


Mfano Dogo wa miaka 26 kafyonzwa na mke wake plus kutukanwa matusi ya nguoni mbele ya watu, Dogo kaamua kwenda kuomba ushauri Kwa Mabraza wenye 40+ yrs.

Watakacho mwambia ni " hahahahaha Mdogo wetu hayo ni mambo ya kawaida sana Kwa wanawake hahahaha . Wanawake wote ndio Wako hivyo. Wewe potezea tu na kupuuzia"

Watamalizia Kwa kumpa story za uongo na Kweli jinsi walivyo wahi kuzinguliwa na wake zao lakini wamepuuzia ndio maana mpaka leo bado wapo pamoja"

Dogo atachukua ushauri huo Na mwisho ataishia kuwa bwege ndani ya nyumba yake mwenyewe.
Itafikia Mahali mke wake ataanza kuwaambia michepuko wake " pigeni simu Muda wowote jamaa Hana tatizo" ikifika hatua hii then u have failed as a husband. Huna sheria Yani, ndani ya nyumba yako Hakuna kiongozi, mkeo anaishi kama Wana WA Israel walivyo ishi kwenye WAAMUZI 21:25.

Kijana huyu na yeye akifika 40+ atawashauri vijana wa 20+ Na 30+ upuuzi huo huo na huu ujinga utaendelea kuwa recycled mpaka siku masiha atakapo rejea .

Acheni kuwashauri vijana ujinga

Vijana wenzangu wa 20+ na 30+ let me remind you one thing.

Mwanamke anapokuja kuanzisha mahusiano na wewe au anapoingia kwenye ndoa Na wewe huwa anakuja akiwa HANA TABIA.

Tabia atazikuta kwako.

I mean huwa anakuwa Hana tabia yoyote Ile kwako, tabia za jinsi ya kuishi Na wewe atazikuta kwako mwenyewe.

Wewe ndio utakae mfanya akuheshimu Na wewe ndio utakae fanya akudharau.

Wewe ndio utakae mfanya aishi kwenye fantasy life na wewe ndio utakae mfanya aishi maisha halisi.

Anapokuja kwenye Maisha yako kitu cha Kwanza ataku study ili ajue ur area of strength and ur areas of weakness and at the end of the day she will capitalize in ur areas of weakness and build her strength out of ur areas of weaknesses.

Mwanaume lazima uweke mipaka ambayo utaiheshimu Na utataka watu wengine waiheshimu akiwemo Na mke/mpenzi wako.

Kwamba yoyote atakae vuka mstari Huo basi kuwe na very expensive consequences.

HII inaitwa Self respect.
Usikubali kuvumulia au kupuuzia mambo ya hovyo hovyo( ya kukuvunjia heshima) utakayo fanyiwa na mwanamke.

Jiwekee utaratibu kwamba endapo mwanamke atakutamkia maneno Fulani ya kukuvunjia heshima wewe binafsi, au wazazi wako au watoto wako au kufanya Jambo lolote lile ambalo linagusa mzizi au mizizi ya ya uhusiano wenu basi reaction yako iwe ni kuachana Na mwanamke huyo papo hapo.
( Hili ni rahisi kama utakuwa Na mwanamke Zaidi ya mmoja. So jitaidi uwe Na atleast kuanzia wanawake wawili )

Kama nilivyo sema hapo awali mwanamke anapokuja kwako anakuja akiwa Hana tabia za jinsi ya kuishi na wewe, tabia atazikuta kwako..

Mwanamke huweza kuji tune jinsi ya kuishi na wewe kulingana na wewe mwenyewe ulivyo.

Ndio maana mwanamke anaweza akaachana na wewe Kwa Sababu eti ume mcheat halafu akaenda kuolewa mke wa tatu Na mwanaume mwingine na akaishi Kwa furaha kabisa..

Mwanamke anaweza kukununia Na kugoma kuja gheto Kwa Sababu hujampa Hela ya taxi kuja gheto kwako lakini at the same time aka enda kukopa Hela Kwa rafiki zake ili apate nauli kwenda Kwa kijamaa kingine . Wewe ndio umemfanya awe hivyo..


Mwanamke hujitune ili aendane Na tabia zako. Hata akisikia wewe ni bazazi atajitune hivyo hivyo... Utawasikia Wana ambiana " Fulani akikuchukua lazima akugeuze"

Achana kabisa na Huo upuuzi wa Ku vumilia mambo ya hovyo hovyo unayo fanyiwa na wanawake..

Mwanamke akikufanyia Jambo lolote linalo kuvunjia heshima yako kama mwanaume basi achana nae hapo hapo. " Wapenzi kugombana ni kawaida waachie mabwege"

Ukigombana Na mwanamke unatakiwa kuachana nae hapo hapo.

Akikujibu kunya muache hapo hapo Kisha m replace na
mwanamke mwingine.

Usikubali kuvumulia Jambo lolote la hovyo .

Usisahau duniani umeletwa kufurahia Maisha so usikubali mtu yoyote akukwaze .

Wewe sio mti ukiona sehemu haupati furaha basi ondoka mahali hapo haraka Sana ikimbilie furaha Mahali inako patikana.
We are the people our parents warned us about
 
Imeandikwa "Alichokiunganisha MUNGU, Mwanadamu asikitenganishe".
Acha kukariri. Umewahi kujiuliza kama Adam angekataa kula tunda aliloletewa na mkewe halafu Eva akamblackmail Adam kwamba "Kama huli mimi na wewe basi (kama walivyo wanawake wengi wakiona wanapendwa kwa dhati na Waume zao)" halafu Adam akaamua kuendelea kutii agizo la Mungu kwa uaminifu ,je,unadhani Mungu angefurahishwa au angesikitishwa na Adam kwa kuamua kujitenga na Eva mtoa roho?. Lililo jema ni lipi kumtii Mungu uachane na mkeo au kumtii mkeo ujitenge na Mungu. Jifunze kusoma alama za nyakati.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Unataka kuteleza tu solve hayo matatizo ndio uanaume ,sasa wapi utamkuta mtu aliyekamilika wote wana madhaifu suluhisho sio kukimbia
Wewe kuna Mwamba ameshakwambia unasolve vipi tatizo ambalo halipo? Tatizo la kutengenezwa Kwa makusudi?

Wewe endelea kusolve hayo matatizo mkuu labda ipo siku utavumbua kitu.

Mimi hoja yangu ni mwanaume hupaswi kuvumilia mambo ya hovyo hovyo unayo fanyiwa na mwanamke.

Mwanamke akikuzingua achana nae chukua mwanamke mwingine.

Matatizo tunayo solve ni kama vile anaumwa, anauguliwa, amepata msiba etc etc

Mwanamke kukufyonza mbele ZA watu hilo sio tatizo lako Na Wala halipaswi kuwa tatizo kwako, hiyo ni ground/ Sababu ya wewe kuachana nae na kuchukua mwanamke mwingine

Women always come to us with an expiry date.

Akishaanza kutokukuonyesha heshima Na utii tafsiri yake Ni kwamba hiyo Ni ishara kwamba ame expiry kuwa Na wewe so she has to be replaced with an immediate effect
 
Hakupendi

Tafuta pesa utawapata hadi wa chanikiwiti
Mkuu hela nampa sana hizi elfu sabasaba ten ten kibao lakini wapi, ikafika mahala akaniambia nisimpe hela kiasi hicho niwe nasubili akiniomba maana yeye aamini katika pesa bali anaamini katika upendo wa kweli na mpaka sasa anaomba pesa kidogo sana[emoji848] tena mara moja moja

Alishaumizwa sana kwenye mapenzi nazani ndio mana anakua mzito kuufungua moyo wake kwangu japo naona mabadiliko tofauti na tulivyo anza kwakweli ananikibali sana sijui tatizo ni nini[emoji3064]
 
Acha kukariri. Umewahi kujiuliza kama Adam angekataa kula tunda aliloletewa na mkewe halafu Eva akamblackmail Adam kwamba "Kama huli mimi na wewe basi (kama walivyo wanawake wengi wakiona wanapendwa kwa dhati na Waume zao)" halafu Adam akaamua kuendelea kutii agizo la Mungu kwa uaminifu ,je,unadhani Mungu angefurahishwa au angesikitishwa na Adam kwa kuamua kujitenga na Eva mtoa roho?. Lililo jema ni lipi kumtii Mungu uachane na mkeo au kumtii mkeo ujitenge na Mungu. Jifunze kusoma alama za nyakati.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Hicho kitu kisingeweza kutokea,sasa kinaweza kutokea kwasababu tayari tuna dhambi iliyochumwa na Wazazi hawa.
 
Mkuu hela nampa sana hizi elfu sabasaba ten ten kibao lakini wapi, ikafika mahala akaniambia nisimpe hela kiasi hicho niwe nasubili akiniomba maana yeye aamini katika pesa bali anaamini katika upendo wa kweli na mpaka sasa anaomba pesa kidogo sana[emoji848] tena mara moja moja

Alishaumizwa sana kwenye mapenzi nazani ndio mana anakua mzito kuufungua moyo wake kwangu japo naona mabadiliko tofauti na tulivyo anza kwakweli ananikibali sana sijui tatizo ni nini[emoji3064]
Daah bado huwajui wanawake aisee pole ukikua utawajua.
 
Kuna mtu aliwahi kuniambia

"Ukiona unaanza kuwaelewa wanawake ujue unakaribia kufa"

Issue ya msingi ni tuishi nao kwa akili kama maandiko yanavyo tuhasa.
 
Hawachelewi kwenda kusema etc Ushimen ndio alinishauri nifanye hivi[emoji23][emoji23]
Hahaha..

Umbea wa watu wawili wanaolala uchi na kujifunika shuka moja pamoja ni hatari sana.

Wavumilie tu, hakuna namna! Ndio maisha yako hivyo.
 
Back
Top Bottom