Asante kwa kuiba post yangu instagram account yenye jina la @kelvinkibenje hata hivyo si mbaya kwani lengo ni kusaidiana. Aya wanaotaka machimbo zaidi na elimu ya biashara mnaweza kwenda instagram kuna post nyingi mtapata kitu. Serch @kelvinkibenje
Ni nani anakushonea suit jacket linakuwa linaning'inia kama la mtoto? Ungepata fundi mzuri ungeshona jacket la heshima siyo linalobembea juu juu utadhani umechukua la mdogo wako (jacket namaanisha nyie mnaloita koti) huwa lina vipimo vyake siyo mnavyo vaa siku hizi inakuwa kama umevaa kitop.
 
Nipe chimbo la mashati original au t shrts ,mfano wa heat gear fabrics au nike dri fit.
Sitaki midosho ambayo ukifua mara moja inapauka
Na mtaa wenye machimbo ya nguo za watoto
Ndugu wakati nataka kuanza likizo; nipo tayari kujitolea jambo hili kwa kushirikiana na mleta hoja na wengine wote wanaojua machimbo na wenye majitaji.

Kwa mwenye uhitajiwa wa bidhaa weka bei unayotaka kununulia. Weka picha ya bidhaa hiyo.

Mimi nitakwenda kulitafuta chimbo na nitawawekea hapa namba ya muuzaji moja kwa moja. No udalali
 
Asante mkuu ,Sasa Mimi nataka vitambaa vya vijora vile plain natengeneza mwenyewe vijora vya batiki Ila sipo dar natamani kujua Bei yake wanauzaje lile jora zima?
 
Asante kwa kuiba post yangu instagram account yenye jina la @kelvinkibenje hata hivyo si mbaya kwani lengo ni kusaidiana. Aya wanaotaka machimbo zaidi na elimu ya biashara mnaweza kwenda instagram kuna post nyingi mtapata kitu. Serch @kelvinkibenje

Post yako instagram imeandikwa 2days ago

Hii post nayo 11/11


Hapo nani kamwibia mwenzake? Au mnashare mawazo? Au ni ID Mbili mtu mmoja!?
 

Ila weee jamaa [emoji119][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naomba kufahamu maduka ya jumla ya maziwa, pampers na vifaa/ vyombo vya watoto
 
Umeupiga mwingi sana,hongera mkuu maana huu uzi utatusaidia wengi mno[emoji120]
 
Post yako instagram imeandikwa 2days ago

Hii post nayo 11/11


Hapo nani kamwibia mwenzake? Au mnashare mawazo? Au ni ID Mbili mtu mmoja!?
Angalia muda nani kaanza. Pia insta yangu kuonyesha machimbo ni zaidi ya mara moja, ni kawaida kushare ujumbe.

Hata hivyo hajafanya vibaya. Lengo ni kusaidiana
Kweli. Hiyo ni kutokana na kipato. Suti unapata mzuri kulingana na bei.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…