Kenya 2022 Madai ya Odinga kuhusu Ruto kuchakachua matokeo ni ya kijinga sana kwa sababu hizi

Kenya 2022 Madai ya Odinga kuhusu Ruto kuchakachua matokeo ni ya kijinga sana kwa sababu hizi

Kenya 2022 General Election
Hujui chochote, hujui hesabu,
IMG-20220817-WA0007.jpg

My last post kwa hii thread
 
Hawa jamaa wa Raila ni wajinga kwelikweli, eti team ya Ruto wali hack matokeo?

Ni uongo kwa sababu hizi

Matokeo yote kutoka vituo vya kupigia kura ambayo yanajazwa kwenye fomu ziitwazo fomu 34A yote yalisainiwa na mawakala wa kila upande kabla ya kuwekwa kwenye mtandao wa IEBC

Kisha hizo fomu original za vituoni yaani hizo 34A zilijumliswa kupata matokeo ya jumla ya jimboni, na mawakala wa pande zote wakiwepo pia, matokeo ya jumla ya vituoni yanajazwa kwenye fomu nyingine inayoitwa 34B na kusainiwa na mawakala wa pande zote

Hizo fomu 34B zinapelekwa makao makuu ya kuhesabu, yaani Bomas na kuhakikiwa na Tume na mawakala wa pande zote pia

Katika kuhakiki fomu za 34B ni lazima majumuisho yake yafanane na matokeo yaliyoandikwa kwenye fomu 34A ambazo zilipakiwa mtandaoni na kila mtu kuziona na pia lazima zifanane na fomu original za 34A ambazo maafisa wa tume kutoka majimboni wanakua nazo

Baada ya uhakiki huu ambao ndio umechukua muda mrefu, fomu zilizohakikiwa za 34B nazo huwekwa mtandaoni

Sasa ili mtu achakachue matokeo inabidi a hack mtandao wa IEBC na kubadilisha zile fomu za 34A zilizopo na public ilishaziona na kisha kubadili pia zile fomu original za 34A ambazo maafisa wa tume wapo nazo na kubadili pia zile hesabu za kwenye fomu 34B ambazo zni mjumuisho wa matokeo ya kwenye fomu 34A na zilishainiwa na mawakala wa pande zote

Sasa mpinzani atakuwa vipi na nguvu za kufanya hayo yote?

Hata serikali yenyewe haiwezi kuchakachua sababu waki hack server na kubadilisha matokeo ya fomu 34A tayari wapinzani watajua sababu matokeo wanayo, yaliwekwa public mara tu zoezi la kupiga kura lilipo isha
Eti mtu mjinga kama huyu ambae siajabu HATA kula yake ni TABU anaita madai ya Raila ni ya kijinga hichi si KITUKO jameni hahahaa!
 
Naamini IQ za watanzania ni ndogo sana. No reasoning no extra mile thinking. Yaani majitu yamekaa Kwenye Kenya Kenya. Wao wenyewe hata hawaijali Tanzania wala hukuti wanajadili mambo yetu ya siasa. Ila sisi hovyo kabisa.
Tujadili maendeleo yetu acha mambo ya Jirani. Wajinga wakubwa.
 
Mawakala wa Odinga wanasema hawakupata access ya form za matokeo.

Wewe umepata access na kujithibitishia kuwa wao ni waongo. Maana yake IEBC walicompromise some data kinyume na utaratibu. Au inawezekana wewe ni manipulator wa hizo claims kwa kuhack mtandao wa Tumr ili kujaza kura hewa...

Jitahidi kufanya uchunguzi claims kabla haujajitia aibu kwenye kadamnsi
Hao mawakala wanadanganya mchana kweupe na macho makavu! Ingekuwa hivyo vurugu zingetokea mapema sana na isingesubiri hadi siku ya mwisho na dakika za mwisho! Kilichotokea ni kuwa ngome ya Kenyatta mlima kenya walimgomea Uhuru Kenyatta kutaka wampigie Odinga!! Biashara ya Uhuru na Odinga ikawa imeishia hapo!! Ukiona mtu mzima anatoa mahesabu ya asilimia kuwa kigezo cha kugomea matokeo as if hawajui kanuni ya round off figures ujue maji yamezidi unga! Hiyo round off ilifanywa kwa wote!
 
Wanasema kuwa kabla hazijawekwa mtandaonj kuna manouver imefanyika.

Mbona hhelewi?

Mmeiba kura

Matokeo kabla hayajatumwa kila chama kilikuwa na wakala kila kituo na wamesign kuwa uchaguzi ulikuwa salama ndio maana hakuna wakala wa timu ya Odinga waliolalamika maaajabu wanaolalamika ni makamishna wa tume
 
Ukijumlisha percentage ya wagombea wote wa Urais unapata 100.01%; hiyo 0.1% inatoka wapi?

0.1% value yake ni kura zaidi ya 140,130; na mshindi katoboa kwa kura 200,000 na ushee zaidi ya mwenzake.

Hakuna hata kura moja iliyoharibika ambayo imekuwa declared. Hakuna idadi kamili ya wapiga kura wote wa kura za Urais.....

Hapa unasemaje ndugu mtoa hoja ?? Mbaya zaidi zaidi kwa nini ma kamishina 4 kati ya 7 wajiengue??


1660720974406.png
 
Hawa jamaa wa Raila ni wajinga kwelikweli, eti team ya Ruto wali hack matokeo?

Ni uongo kwa sababu hizi

Matokeo yote kutoka vituo vya kupigia kura ambayo yanajazwa kwenye fomu ziitwazo fomu 34A yote yalisainiwa na mawakala wa kila upande kabla ya kuwekwa kwenye mtandao wa IEBC

Kisha hizo fomu original za vituoni yaani hizo 34A zilijumliswa kupata matokeo ya jumla ya jimboni, na mawakala wa pande zote wakiwepo pia, matokeo ya jumla ya vituoni yanajazwa kwenye fomu nyingine inayoitwa 34B na kusainiwa na mawakala wa pande zote

Hizo fomu 34B zinapelekwa makao makuu ya kuhesabu, yaani Bomas na kuhakikiwa na Tume na mawakala wa pande zote pia

Katika kuhakiki fomu za 34B ni lazima majumuisho yake yafanane na matokeo yaliyoandikwa kwenye fomu 34A ambazo zilipakiwa mtandaoni na kila mtu kuziona na pia lazima zifanane na fomu original za 34A ambazo maafisa wa tume kutoka majimboni wanakua nazo

Baada ya uhakiki huu ambao ndio umechukua muda mrefu, fomu zilizohakikiwa za 34B nazo huwekwa mtandaoni

Sasa ili mtu achakachue matokeo inabidi a hack mtandao wa IEBC na kubadilisha zile fomu za 34A zilizopo na public ilishaziona na kisha kubadili pia zile fomu original za 34A ambazo maafisa wa tume wapo nazo na kubadili pia zile hesabu za kwenye fomu 34B ambazo zni mjumuisho wa matokeo ya kwenye fomu 34A na zilishainiwa na mawakala wa pande zote

Sasa mpinzani atakuwa vipi na nguvu za kufanya hayo yote?

Hata serikali yenyewe haiwezi kuchakachua sababu waki hack server na kubadilisha matokeo ya fomu 34A tayari wapinzani watajua sababu matokeo wanayo, yaliwekwa public mara tu zoezi la kupiga kura lilipo isha
sawa Mwenyekiti wa IEBC.

Ila JIULIZE kwa nini wajumbe 4 wamejiondoa na wanakupinga? yaani umebaki na member 2 tu huoni aibu ndugu? au ndiyo unafanya mambo za Zecha ???
 
Hawa jamaa wa Raila ni wajinga kwelikweli, eti team ya Ruto wali hack matokeo?

Ni uongo kwa sababu hizi

Matokeo yote kutoka vituo vya kupigia kura ambayo yanajazwa kwenye fomu ziitwazo fomu 34A yote yalisainiwa na mawakala wa kila upande kabla ya kuwekwa kwenye mtandao wa IEBC

Kisha hizo fomu original za vituoni yaani hizo 34A zilijumliswa kupata matokeo ya jumla ya jimboni, na mawakala wa pande zote wakiwepo pia, matokeo ya jumla ya vituoni yanajazwa kwenye fomu nyingine inayoitwa 34B na kusainiwa na mawakala wa pande zote

Hizo fomu 34B zinapelekwa makao makuu ya kuhesabu, yaani Bomas na kuhakikiwa na Tume na mawakala wa pande zote pia

Katika kuhakiki fomu za 34B ni lazima majumuisho yake yafanane na matokeo yaliyoandikwa kwenye fomu 34A ambazo zilipakiwa mtandaoni na kila mtu kuziona na pia lazima zifanane na fomu original za 34A ambazo maafisa wa tume kutoka majimboni wanakua nazo

Baada ya uhakiki huu ambao ndio umechukua muda mrefu, fomu zilizohakikiwa za 34B nazo huwekwa mtandaoni

Sasa ili mtu achakachue matokeo inabidi a hack mtandao wa IEBC na kubadilisha zile fomu za 34A zilizopo na public ilishaziona na kisha kubadili pia zile fomu original za 34A ambazo maafisa wa tume wapo nazo na kubadili pia zile hesabu za kwenye fomu 34B ambazo zni mjumuisho wa matokeo ya kwenye fomu 34A na zilishainiwa na mawakala wa pande zote

Sasa mpinzani atakuwa vipi na nguvu za kufanya hayo yote?

Hata serikali yenyewe haiwezi kuchakachua sababu waki hack server na kubadilisha matokeo ya fomu 34A tayari wapinzani watajua sababu matokeo wanayo, yaliwekwa public mara tu zoezi la kupiga kura lilipo isha
Ndio ndio mkikuyu.
John Sack OLANYA OCHENG.

Mke halali wa william RUTO
 
sawa Mwenyekiti wa IEBC.

Ila JIULIZE kwa nini wajumbe 4 wamejiondoa na wanakupinga? yaani umebaki na member 2 tu huoni aibu ndugu? au ndiyo unafanya mambo za Zecha ???

Hao 4 waliteuliwa kwa Kazi maalum na Kenyatta na wote ni wafuasi wa team Odinga ndio option pekee iliyobakia baada ya nyingine zote kufeli
 
Ndio ndio mkikuyu.
John Sack OLANYA OCHENG.

Mke halali wa william RUTO
wakikuyu washaapa hawakataa wampe Mjaluo nchi ije nvua lije jua.

Wajaluo kumepitia matatizo mengi na makubwa kkuanzia Marehemu DR. Auko, Tomboya na wengi wengi ambao waliishia shimo la tewa...kuhakikisha hawapenyi kuchukua dola.
 
Hao 4 waliteuliwa kwa Kazi maalum na Kenyatta na wote ni wafuasi wa team Odinga ndio option pekee iliyobakia baada ya nyingine zote kufeli
zoezi la kuhakiki limefanyika kihuni, zitarudiwa zote mahakamani tujue mbichi na mbivu.

Atleast wakenya wana pa kulalamikia matokeo ya Urais, sisi kwetu hapa Matokeo yakishatangazwa na Mwenyekiti basi inageuka Biblia.
 
zoezi la kuhakiki limefanyika kihuni, zitarudiwa zote mahakamani tujue mbichi na mbivu.

Atleast wakenya wana pa kulalamikia matokeo ya Urais, sisi kwetu hapa Matokeo yakishatangazwa na Mwenyekiti basi inageuka Biblia.

It’s formality tu but form za kura ambazo mawakala wa Odinga wamesign uchaguzi ulikuwa halali ziko online hata wewe unaweza jumlisha ujue nani mshindi na Makamishna wanajumlisha tu kura zilizoleta toka vituoni
 
Hawa jamaa wa Raila ni wajinga kwelikweli, eti team ya Ruto wali hack matokeo?

Ni uongo kwa sababu hizi

Matokeo yote kutoka vituo vya kupigia kura ambayo yanajazwa kwenye fomu ziitwazo fomu 34A yote yalisainiwa na mawakala wa kila upande kabla ya kuwekwa kwenye mtandao wa IEBC

Kisha hizo fomu original za vituoni yaani hizo 34A zilijumliswa kupata matokeo ya jumla ya jimboni, na mawakala wa pande zote wakiwepo pia, matokeo ya jumla ya vituoni yanajazwa kwenye fomu nyingine inayoitwa 34B na kusainiwa na mawakala wa pande zote

Hizo fomu 34B zinapelekwa makao makuu ya kuhesabu, yaani Bomas na kuhakikiwa na Tume na mawakala wa pande zote pia

Katika kuhakiki fomu za 34B ni lazima majumuisho yake yafanane na matokeo yaliyoandikwa kwenye fomu 34A ambazo zilipakiwa mtandaoni na kila mtu kuziona na pia lazima zifanane na fomu original za 34A ambazo maafisa wa tume kutoka majimboni wanakua nazo

Baada ya uhakiki huu ambao ndio umechukua muda mrefu, fomu zilizohakikiwa za 34B nazo huwekwa mtandaoni

Sasa ili mtu achakachue matokeo inabidi a hack mtandao wa IEBC na kubadilisha zile fomu za 34A zilizopo na public ilishaziona na kisha kubadili pia zile fomu original za 34A ambazo maafisa wa tume wapo nazo na kubadili pia zile hesabu za kwenye fomu 34B ambazo zni mjumuisho wa matokeo ya kwenye fomu 34A na zilishainiwa na mawakala wa pande zote

Sasa mpinzani atakuwa vipi na nguvu za kufanya hayo yote?

Hata serikali yenyewe haiwezi kuchakachua sababu waki hack server na kubadilisha matokeo ya fomu 34A tayari wapinzani watajua sababu matokeo wanayo, yaliwekwa public mara tu zoezi la kupiga kura lilipo isha
Mfamaji anatapatapa hapo!
 
Wewe nae hujasikia makamishina wa IEBC waliojitenga na mchakato kutokana na giza linaloghubikwa matokeo hayo?
Hao Makamishna wa Mchongo kabisa, wanaonekana kabisa wako upande gani utadhani kuwa wao ni mawakala wa chama. Nani alilipia gharama za wao kufanya press conference Serena Hotel?
 
Back
Top Bottom