tamsana
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 3,739
- 8,044
Basi anastahili kuwa Rais, baba apumzike inatosha.Katika hili ndiyo!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi anastahili kuwa Rais, baba apumzike inatosha.Katika hili ndiyo!!
Si unaona ulivyo na akili FUPI. Kuwajua watu kama nyinyi ni sekunde tu.Kazikwe Chato mnyonge wa Jiwe
Hiki ulichoandika una uhakika nacho mkuu! Maana 100.01% kinachozidi sio 0.1% bali ni 0.01%. Pia hiyo 0.01 inayozidi inatokana na round off ya decimals. Ukijumlisha bila kufanya round off ya decimals unapata 100%Ukijumlisha percentage ya wagombea wote wa Urais unapata 100.01%; hiyo 0.1% inatoka wapi?
0.1% value yake ni kura zaidi ya 140,130; na mshindi katoboa kwa kura 200,000 na ushee zaidi ya mwenzake.
Hakuna hata kura moja iliyoharibika ambayo imekuwa declared. Hakuna idadi kamili ya wapiga kura wote wa kura za Urais.....
Hapa unasemaje ndugu mtoa hoja ?? Mbaya zaidi zaidi kwa nini ma kamishina 4 kati ya 7 wajiengue??
View attachment 2326199
Kazikwe chato msukuleSi unaona ulivyo na akili FUPI. Kuwajua watu kama nyinyi ni sekunde tu.
Kapigwe nyuma chato msukuleKazikwe chato msukule
Msukule wa jiwe kajizike ChatoKapigwe nyuma chato msukule
Nyuma Chato ulipigwa Mzee na waMsukule wa jiwe kajizike Chato
Bado tume sio huru kama kuna appointees ambao wanateuliwa na Rais.Hawa waliteuliwa ba Uhuru mwaka 2021 kumzuia Ruto , ila ndio imetoka mzee
Ushawahi kuona wapi Serikali inaibiwa kura?
View attachment 2324744
Haitakuwa 0.1 % bali ni 0.01%.Ukijumlisha percentage ya wagombea wote wa Urais unapata 100.01%; hiyo 0.1% inatoka wapi?
0.1% value yake ni kura zaidi ya 140,130; na mshindi katoboa kwa kura 200,000 na ushee zaidi ya mwenzake.
Hakuna hata kura moja iliyoharibika ambayo imekuwa declared. Hakuna idadi kamili ya wapiga kura wote wa kura za Urais.....
Hapa unasemaje ndugu mtoa hoja ?? Mbaya zaidi zaidi kwa nini ma kamishina 4 kati ya 7 wajiengue??
View attachment 2326199
Kama ni uongo chekubati kwanini aliwanyima wajumbe wenzake kupitia kwa uhakiki?Hawa jamaa wa Raila ni wajinga kwelikweli, eti team ya Ruto wali hack matokeo?
Ni uongo kwa sababu hizi
Matokeo yote kutoka vituo vya kupigia kura ambayo yanajazwa kwenye fomu ziitwazo fomu 34A yote yalisainiwa na mawakala wa kila upande kabla ya kuwekwa kwenye mtandao wa IEBC
Kisha hizo fomu original za vituoni yaani hizo 34A zilijumliswa kupata matokeo ya jumla ya jimboni, na mawakala wa pande zote wakiwepo pia, matokeo ya jumla ya vituoni yanajazwa kwenye fomu nyingine inayoitwa 34B na kusainiwa na mawakala wa pande zote
Hizo fomu 34B zinapelekwa makao makuu ya kuhesabu, yaani Bomas na kuhakikiwa na Tume na mawakala wa pande zote pia
Katika kuhakiki fomu za 34B ni lazima majumuisho yake yafanane na matokeo yaliyoandikwa kwenye fomu 34A ambazo zilipakiwa mtandaoni na kila mtu kuziona na pia lazima zifanane na fomu original za 34A ambazo maafisa wa tume kutoka majimboni wanakua nazo
Baada ya uhakiki huu ambao ndio umechukua muda mrefu, fomu zilizohakikiwa za 34B nazo huwekwa mtandaoni
Sasa ili mtu achakachue matokeo inabidi a hack mtandao wa IEBC na kubadilisha zile fomu za 34A zilizopo na public ilishaziona na kisha kubadili pia zile fomu original za 34A ambazo maafisa wa tume wapo nazo na kubadili pia zile hesabu za kwenye fomu 34B ambazo zni mjumuisho wa matokeo ya kwenye fomu 34A na zilishainiwa na mawakala wa pande zote
Sasa mpinzani atakuwa vipi na nguvu za kufanya hayo yote?
Hata serikali yenyewe haiwezi kuchakachua sababu waki hack server na kubadilisha matokeo ya fomu 34A tayari wapinzani watajua sababu matokeo wanayo, yaliwekwa public mara tu zoezi la kupiga kura lilipo isha
Mkuu unaamini wajumbe? Au sababu Chebukati hajaamua kupngea na media kueleza ukweli kamili?Kama ni uongo chekubati kwanini aliwanyima wajumbe wenzake kupitia kwa uhakiki?
Msukuleee, kazikwe ChatoNyuma Chato ulipigwa Mzee na wa
Ulishaliwa huna maanaMsukuleee, kazikwe Chato
MsukuleeeeUlishaliwa huna maana