Madhara jumuishi kuwa na mahusiano sehemu za kazi.. Ofisi moja

Madhara jumuishi kuwa na mahusiano sehemu za kazi.. Ofisi moja

Mungu aniepushie mbali na ashindwe huyo shetani
Sina ofis ya maana ila siwez na nitajitahid nipambane huko mtaani kazini hapana
Wee bwana wanakutisha tuu hwawa mbona kuna raha sana kuwa na mpenzi kwa ofisi.
Ebu imagine lunch time anakupeleka lunch. Mara kale ka wivu mwanaume mwengine akikuangalia ukiwa umependeza.
Mara anakuja kasimama kwa desk lako kumahaba anakuuliza babe nimemaliza nakusubiria nje pale
Aunile mnajaribu ibia mpate ndenda kwa ofisi.
Changamka mrembo sasa unadhani mume utampata wapi kama sio mapenzi ofisini
 
Umewahi kumuona Bodaboda mwenye miaka 60?

Huna kipato, hiyo hela ya kulipa Kodi utapata wapi?

Wakati huu wa Ujana, ndiyo wakati wa kuandaa Uzee wako
Sasa bodaboda ndio kazi nzuri maana ata ukiwa nanmiaka 70 unaendesha tuu wake za watu. Muhimu zingatia mazoezi na sex kwa wingi
 
Mawazo potofu hayo
madam ni ufikiri tu, Tena sisi wenye natural powers (ushawishi, mvuto), una weza jikuta wewe ndo una Anza kuni sumbua.

Siji sifii, ila Nina personal style fulani huwa naishi, basi una shangaa mtu ana kwambia ila we mwema Sana, mpole!.

Ila yake ma semina yenu vipi??, na vile wanawake mna penda kwasababu ya traits za ajabu. Hapana aisee.
 
Ukitaka uharibu Ofisi, hasa kwa wewe ukiwa ni Mkuu wa hiyo Taasisi/kitengo basi anza kuwa na mahusiano ya kingono na wasaidizi wako.

Na hata kwenye biashara binafsi ukisha anza kutembea na wateja wako, ndiyo mwanzo wa kufirisika/kuitia najisi biashara.

Sijawahi kuanzisha mahusiano ofisini, japo zimewahi kuletwa PisiKali zinijaribu

Nashukuru Mungu sikuwahi kuanguka kwenye ile mitego 🙏
Aaah acha kutupiga za forti seven years banaa wazee wote wa zamani wanajifanya wana clean sheet 😂😂😂😂

Mzee wangu mwenyewe fail zake chafu tunazo halafu najifanya kutuweka vikao kila mwisho wa mwezi tunamchora tuu vijana wake tunacheeka kiutani 😂😂😂

Wazee wa 47 sionwa kuwaamini ila ishi nao
Ila mlikuwa smart sana hata kumbususua
 
Wee bwana wanakutisha tuu hwawa mbona kuna raha sana kuwa na mpenzi kwa ofisi.
Ebu imagine lunch time anakupeleka lunch. Mara kale ka wivu mwanaume mwengine akikuangalia ukiwa umependeza.
Mara anakuja kasimama kwa desk lako kumahaba anakuuliza babe nimemaliza nakusubiria nje pale
Aunile mnajaribu ibia mpate ndenda kwa ofisi.
Changamka mrembo sasa unadhani mume utampata wapi kama sio mapenzi ofisini
Siku uki umwa au kufukuzwa kazi, hiyo lunch ata pelekwa na kidume chenye midevu ka wewe😂😂
 
Sasa bodaboda ndio kazi nzuri maana ata ukiwa nanmiaka 70 unaendesha tuu wake za watu. Muhimu zingatia mazoezi na sex kwa wingi
Yaani sisi Wakulima tunastaafu na miaka 60 Kwa lazima

Halafu wewe Bodaboda unataka uwe unaendesha na miaka 70?

Sio rahisi kama unavyodhani

Kama ulikosea kujipanga, hujachelewa

Anza sasa kuandaa Uzee wako sasa, hadi ufike 50 utakuwa umefanikiwa pakubwa
 
Mimi alipojaa tu kwenye mfumo akaanza kuchelewa kazini na ku dogde bila sababu za msingi.. Na mimi ndio nilikuwa nasimamia nidhamu.. Hakuna rangi niliacha kuona🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Wewe ndo ukawa nidhamu huna sasa kumfatilia 😅😂😂😂
Wanaume sisi sometime wenge unaona hii shoti kabisa lakini tumo tu 😂😂😂
 
Una moyo sana.. Ila sidhani kama unanifikia au unanizidi😀
Anko mshana wewe na mzee Grahams, hamnifikii kwa kuwa ugumu😆.

Kuna kipindi tuli hitaji wasaidizi wa kike katika shughuli fulani, Sasa Baada ya tangazo zili kuja pisi zime fungasha, warefu kwa wafupi.

Kumbe watu Wana angalia reaction yangu, nilicho fanya ni ubabe tu, weka mtu mzima mmoja, wadogo 4.
Mara utumiwe sms, una pikiwa na nani 😂😂
 
Nilikuja kujua miaka minne baadaye kwamba wale mabinti nililetewa ili kunipima

Imagine ningewala, huenda ingekuwa ndiyo tiketi yangu ya kutofikia hatua fulani kwenye shughuli zangu za Kilimo huku Kijijini 😜
Sio imagine we Bwana uliwalaa nao walipeleka taarifa za uongo 😂😂😂
 
Aaah acha kutupiga za forti seven years banaa wazee wote wa zamani wanajifanya wana clean sheet 😂😂😂😂

Mzee wangu mwenyewe fail zake chafu tunazo halafu najifanya kutuweka vikao kila mwisho wa mwezi tunamchora tuu vijana wake tunacheeka kiutani 😂😂😂

Wazee wa 47 sionwa kuwaamini ila ishi nao
Ila mlikuwa smart sana hata kumbususua
Miaka ya 47 Wanawake zetu hawakuwa wanapenda show off kama ilivyo Wanawake wa miaka yenu

Ndiyo maana zamani, unaweza kuzaa na Mwanamke nje ya Ndoa

Na mtoto kuja kujulikana kwamba ni wako miaka 30 baadaye

Siku hizi, kitendo cha kumpa mimba tu, ndiyo siku hiyo hiyo Mke wako wa Ndoa atajua

Ataletewa hadi ushahidi wa hotel uliyoenda naye
 
Yaani sisi Wakulima tunastaafu na miaka 60 Kwa lazima

Halafu wewe Bodaboda unataka uwe unaendesha na miaka 70?

Sio rahisi kama unavyodhani

Kama ulikosea kujipanga, hujachelewa

Anza sasa kuandaa Uzee wako sasa, hadi ufike 50 utakuwa umefanikiwa pakubwa
50 sii keshokutwa tuu mzee am 46
 
Anko mshana wewe na mzee Grahams, hamnifikii kwa kuwa ugumu😆.

Kuna kipindi tuli hitaji wasaidizi wa kike katika shughuli fulani, Sasa Baada ya tangazo zili kuja pisi zime fungasha, warefu kwa wafupi.

Kumbe watu Wana angalia reaction yangu, nilicho fanya ni ubabe tu, weka mtu mzima mmoja, wadogo 4.
Mara utumiwe sms, una pikiwa na nani 😂😂
Ngoja nijaribu kukuletea Mjukuu wangu mmoja wa kike nione kama utatoboa

Uliiona ile PisiKali ya Lugumi, ndiyo sampuli ya Mjukuu wangu nitakayemleta 😜
 
Tatizo lenu ni kwamba mnataka kumiliki hizi mbususu na kuna na wivu nazo. Acha huo ujinga bwana.
Mimi mbususu za nini??, japo ni kijana ninaye chipukia ila huo ushamba Sina.

Nina mambo mengi ya msingi, sometimes silali napiga u jobless pro max.
Halafu Nita zila ngapi??, Nita zimaliza au ni kuji chosha tu.
 
Miaka ya 47 Wanawake zetu hawakuwa wanapenda show off kama ilivyo Wanawake wa miaka yenu

Ndiyo maana zamani, unaweza kuzaa na Mwanamke nje ya Ndoa

Na mtoto kuja kujulikana kwamba ni wako miaka 30 baadaye

Siku hizi, kitendo cha kumpa mimba tu, ndiyo siku hiyo hiyo Mke wako wa Ndoa atajua

Ataletewa hadi ushahidi wa hotel uliyoenda naye
Washenzi sana hawa kengewa siku hizi
 
Ukiwa na kamchepuko kako job raha sana at times, unamuona akijipitisha unajisemea waaaah, hii nyama nikiitaka hata baada ya kazi jioni naichapa. Na yenyewe inajipitisha ili uone makallio au kifua kilichotuna, kuna times mmekaa na staff unashangaa ka-sms ka kichokozi tu, raha sana...nasema tena raha sana hadi pale penzi linapoanza kuwa kitovu cha uzembe na ujinga 🤣
 
Back
Top Bottom