Madhara na Athari za Punyeto Zawaumbua na Kuwafedhehesha Vijana Wakiwa Ndani ya Ndoa Zao

Madhara na Athari za Punyeto Zawaumbua na Kuwafedhehesha Vijana Wakiwa Ndani ya Ndoa Zao

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Unaweza kuhitimisha kwa kusema,
Inafedhehesha sana,
Inasikitisha sana,
Inasononesha sana kwakeli.
Uzuri wanakiri wenyewe kupiga nyeto kwa muda mrefu sana.
Ni aibu mno ndrugu zango..

Hivi sasa wanajutia nguvu imara sana za kijinsia, walizopoteza bafuni kwa nyeto kwa uhodari sana, lakini pia madhara ya afya hususan ya kisaikolojia na ulegevu wa mshedede wanayokumbana nayo hivi sasa yanawongezea msongo wa mawazo zaidi. Hawana uhodari wa tendo la ndoa kama walivyokua wakipiga nyeto.
Ama kweli majuto ni mjukuu..

Eti kijana wa miaka 40 au chini ya hapo, anahangaika na mizizi utadhani mganga wa kienyeji, ana bugia na kumeza kila anachoambiwa ni dawa ya kuongeza nguvu za kijinsia, kumbe maskini ya Mungu, aliathiri misuli ya mshedede wake kwa kuusugua na deto kwa mkono wake mgumu kama spana vile, matokeo yake akaathiri na kuuchosha misuli na mfumo wa afya ya uzazi wake, maskini kijana wa watu, mtanashati, unamuona mwenye afya, lakini kumbe ni suruali na shati tu lakini hamna maajabu ndani yake..

Leo kaoa pisi kali,
binti laini, anapewa mbususu, mshedede hausimami na umepoa kama barafu, na wala hauna dalili hata ya kustuka tu. Na mkeo ndiyo yuko tayari hot anahitaji kupelekewa moto...

Inasikitisha sana,
Inasononesha sana,
Inafedhehesha sana wajemeni..

Leo hii kila kona ya nchi, mabaraza ya usuluhishi wa masuala ya ndoa mitaani, na kwenye madhehebu ya dini, yanahangaika sana usiku na mchana kusuluhisha kesi za vijana wadogo tu wa kiume kutowapatia haki ya tendo la ndoa wake zao kwa zaidi ya miezi mi3 au zaidi. Mshedede is no more. Kisingizio eti labda kalogwa. hakuna kulogwa ni madhara ya nyeto hayo.
Inaumiza sana mtima.

Ushauri wa jumla,
wewe kijana unaepanga kwenda kupiga nyeto sasa hivi na umeshaandaa na sabuni kabisaa naskia siku hizi mmeadvance kidogo mnatumia mafuta, nakushauri acha hiyo ujinga mara moja sawa! alaaa!

Na wewe ambae ndio umemaliza kupiga punyeto sasahivi. leo iwe ndiyo mwanzo na mwisho wa kufanya huo uchafu, lione kwanza.
Usinichekee kabisaa utakuja kujuta baadae kama hawa ambao sasa hivi wanatia hurumu..

Na wew ambae hujui nyeto ni nini, don't try even to know it or to learn it. Don't do it at home or at school.

Tunza afya yako ufurahie maisha yako.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Kaka Mimi ni mkogwe katika sectar hio ya chaputa BAO la kwanza kwangu Mimi limetokana na nyeto hio ishu Haina madhara yoyote piga kula vizuri. Mademu wote ninao kutana napiga sana mbaka wengine wanagombana kunitaka
 

Attachments

  • FB_IMG_1729067955774.jpg
    FB_IMG_1729067955774.jpg
    33.4 KB · Views: 9
Nadhani ni madhaifu ya mtu binafsi tu, ni wapi kibaiolojia imeandikwa kuwa punyeto ina madhara kiafya? Watu wamefanya miaka nenda na hakuna mahali shida imeonekana.
hata Prof. janabi aliwahi kusema pale hospital ya Taifa, wameanzisha kitengo cha kupandikiza misuli ya mshedede iliyolegea au kuvunjika kwa sababu ya punyento au sababu zinginezo, na gharama yake alisema ni milioni 40 tu kama skosei 🐒
 
Punyeto inaokoa mahali pasipo kuwa na msaada wa karibu , maswala ya nguvu za kiume ni drama tu za wauza dawa , mwanamke mwenye afya nzuri dakika tano tu zinatosha kumrithisha kinyume na hapo jua haupwendwi😅
wakati kijana wa 40 haisimami kabisa hizo dk 5 atazitoa wap? alaaa🐒

na hizo dawa unazosema ni drama mbona vijana wanazibugia sana 🤣
 
Hahahahhaha nimecheka na uandishi wako ingawa umeandika uongo mtupu...
Nyeto Haina hayo madhara uliyoyataja hilo ni tatizo tofauti sana..

Mi najua madhara makubwa ya nyeto ni kutokupenda sana mademu coz utakua unaona unaweza kujiridhisha lakini kupiga show ni afya yako tu
 
Kaka Mimi ni mkogwe katika sectar hio ya chaputa BAO la kwanza kwangu Mimi limetokana na nyeto hio ishu Haina madhara yoyote piga kula vizuri. Mademu wote ninao kutana napiga sana mbaka wengine wanagombana kunitaka
oa basi nawe ili uingie na kuungana na vijana wazee wenzako kwenye kundi hili maalumu ambalo lilijigamba sana namna hiyo na sasa wanakuja kujieleza majuto yao mbele za wazee kwenye mabaraza 🐒
 
wakati kijana wa 40 haisimami kabisa hizo dk 5 atazitoa wap? alaaa🐒

na hizo dawa unazosema ni drama mbona vijana wanazibugia sana 🤣
Umejuaje hawasimamishi kisa punyeto? Punyeto ukiifanya kupita kiasi inakuletea shida ya kisaikolojia tu kama ilivyo ngono ya kawaida ukiifanya kupita kiasi .

Hizo dawa kwa sababu tatizo ni la kisaikolojia hata ukisaga paracetamol tu mtu akitumia akili yake inakaa sawa tu.

Punyeto ya kuvunja uume mtu anaipiga huku kavaa gloves za chuma au?
 
Punyeto inaokoa mahali pasipo kuwa na msaada wa karibu , maswala ya nguvu za kiume ni drama tu za wauza dawa , mwanamke mwenye afya nzuri dakika tano tu zinatosha kumrithisha kinyume na hapo jua haupwendwi😅
Wanataka kuuza madawa kwa vijana wawaue figo tu wajinga wajinga hao kumbe?
 
Hahahahhaha nimecheka na uandishi wako ingawa umeandika uongo mtupu...
Nyeto Haina hayo madhara uliyoyataja hilo ni tatizo tofauti sana..

Mi najua madhara makubwa ya nyeto ni kutokupenda sana mademu coz utakua unaona unaweza kujiridhisha lakini kupiga show ni afya yako tu
vijanaa mlioa sabuni mna tabu sana aise 🤣
 
Umejuaje hawasimamishi kisa punyeto? Punyeto ukiifanya kupita kiasi inakuletea shida ya kisaikolojia tu kama ilivyo ngono ya kawaida ukiifanya kupita kiasi .

Hizo dawa kwa sababu tatizo ni la kisaikolojia hata ukisaga paracetamol tu mtu akitumia akili yake inakaa sawa tu.

Punyeto ya kuvunja uume mtu anaipiga huku kavaa gloves za chuma au?
si mnakuja mabarazani na huku kwenye maombi na maombezi mnashuhudia wenyewe alaaa 🤣

ushauri wangu utakua na maana ukiachana na hiyo deto halafu ukaweka mke ndani 🐒
 
Hyo CHAPUTA haifai naunga mkono hoja..sema mtoa mada kataja sabuni na mafuta kasahau kuna mdudu mende anatumika kwenye nyeto...vijana acheni kabixa hayo mambo yanamadhara makubwa hakuna aliyekuwa mtaalam wa nyeto kama mimi lakini niliacha na sahv nipo vizuri sana..kauli mbiu kuishi bila kupiga punyeto inawezekana.
 
Back
Top Bottom