Madhara na Athari za Punyeto Zawaumbua na Kuwafedhehesha Vijana Wakiwa Ndani ya Ndoa Zao

Madhara na Athari za Punyeto Zawaumbua na Kuwafedhehesha Vijana Wakiwa Ndani ya Ndoa Zao

Mkuu, punyeto inasingiziwa tu.
Sidhani kama kuna mwanaume hajapitia hiyo kadhia maana wengi wakiwa mashuleni na vyuo huponea huko!

Tatizo la kukosa nguvu za kuchakata mbususu kikamilifu chanzo chake halisi ni vyakula na vinywaji visivyofaa
mie nadhani kulogwa ndio kuna singiziwa zaidi,

athari za matokeo ya nyeto ni bayana ziko wazi, umeo, una kazi na mshahara mzuri, mtanashati unawezaje kushindwa kumpelekea moto mkeo kwa zaidi ya miezi 3?

vyakula vimefanyaje tena gentleman, kwani wengine walikua wanakula nini kwa mfano mpaka wanafyatua familia ya zaid ya watoto 14,
wew una mbwelambwela mwaka wa 3 kwenye ndoa mshedede unasuasua hadi mkeo anaanza kukukatia tamaa 🐒
 
Punyeto inaongeza nguvu za kiume, not the contrary.

Upungufu wa nguvu za kiume kwa 98% ni psychological.
sasa hawa vijana wanakuja kushtakiwa na wake zao kwa kushindwa kupeleka moto, pamoja na mambo mengine huulizwa ikiwa wamefanya ponyeto na wengi wao wamekiri kuanzia wakiwa darasa la saba hadi pale walipooa na hapo hapo tatizo la mshedede kugoma kusimama likaanza...

misuli ya uume imesinyaa na source ya kuzalisha hizo nguvu za kijinsia imechakaa na kuzeeka kabla wewe hujazeeka, unazalisha vimaji tu kama kuku 🤣
 
Umeoa mfanyakazi wote mnarudi jioni mpo hoi , mara mna migogoro ya fedha , kero za makazini mnakuja nazo mpka nyumbuni hizo nguvu za kiume na kike mtazitolea wap gentleman ?🐒
mlikua kazini wote,
mwanamke yuko Hot fire anataka kupelekewa moto, wewe kijana mshedede umegoma kusimama dah 🤣

au wew kazi yako ni nyeto tu kazini?🐒
 
Aliyekuambia punyeto inahusiana upungufu wa nguvu za kiume kakudanganya
endelea tu na huo uchafu, na nimemshauri uache ache kabisa huo mchezo,

utasema yote ukifika kwenye ndoa tena hadharani kwa majuto sana 🐒
 
Kuwambua
Kuwafedhehesha

Yaan kivp maana hayo ni matatzo si ya kufedhehesha wala kuumbua bali ni changamoto kama changamoto zngne.
 
endelea tu na huo uchafu, na nimemshauri uache ache kabisa huo mchezo,

utasema yote ukifika kwenye ndoa tena hadharani kwa majuto sana 🐒
mwaka wa 28 huu ndoa ipo imara hadi najiogopa,moto ule ulee,hata kama wewe unataka nikupelekee moto ilete tu hiyo mbususu uje utoe ushuhuda humu humu
 
Pia na wanawake wanakosa ujuzi kwenye ndoa zao wamezubaa! tena wamejisahau Sana unajua kuna wanawake wanaamini tendo la ndoa lazima aanzishe mwanaume hapo unakuta anahamu lakini hasemi anakuja kuonesha dalili zake baada ya muda huku mwanaume ana stress za madeni machine haisimami basi
lawama zinaanza! wadada kuweni
watundu wategeni wanaume wenu muda wote ili kuwavutia
Ongea nao mkuu.
 
sasa hawa vijana wanakuja kushtakiwa na wake zao kwa kushindwa kupeleka moto, pamoja na mambo mengine huulizwa ikiwa wamefanya ponyeto na wengi wao wamekiri kuanzia wakiwa darasa la saba hadi pale walipooa na hapo hapo tatizo la mshedede kugoma kusimama likaanza...

misuli ya uume imesinyaa na source ya kuzalisha hizo nguvu za kijinsia imechakaa na kuzeeka kabla wewe hujazeeka, unazalisha vimaji tu kama kuku 🤣
Kwanza kinachohusisha uume kusimama kwa uimara ni mishipa ya damu, siyo misuli. Hao vijana mmewaharibu saikolojia kwa kuwaaminisha punyeto inasababisha hayo madhara.

Kwahiyo ni tatizo la saikolojia na kutokujiamini tu, mnaouza madawa fake ya kuongeza nguvu za kiume ndio mnawaharibu.

Punyeto kimsingi inaongeza nguvu za kiume.
 
Kwanza kinachohusisha uume kusimama kwa uimara ni mishipa ya damu, siyo misuli. Hao vijana mmewaharibu saikolojia kwa kuwaaminisha punyeto inasababisha hayo madhara.

Kwahiyo ni tatizo la saikolojia na kutokujiamini tu, mnaouza madawa fake ya kuongeza nguvu za kiume ndio mnawaharibu.

Punyeto kimsingi inaongeza nguvu za kiume.
nakubali sio misuli ni mishipa,

inakuaje sasa kijana anaona tu na mishipa ya damu inasinyaa..

kuna muujiza gani hapo athari za kisaikolojia zielekee kuathiri mshedede tu pekeyake 🤣
 
Unapigaje punyeto wakati bei ze shusha.

Na kuna hadi kifurushi cha kubeep mitandao yote
Mkuu utake usitake jambo hilo ni hela.

Wataka kusema waweza pigana na simba kwa mikono mitupu na watu wakakusifu kuwa ni shujaa?
Sidhani.
 
Punyeto inaokoa mahali pasipo kuwa na msaada wa karibu , maswala ya nguvu za kiume ni drama tu za wauza dawa , mwanamke mwenye afya nzuri dakika tano tu zinatosha kumrithisha kinyume na hapo jua haupwendwi😅
🤣🤣🤣🤣 Sikuhizi unam🥱....🙌
 
Back
Top Bottom