Madhara na Athari za Punyeto Zawaumbua na Kuwafedhehesha Vijana Wakiwa Ndani ya Ndoa Zao

Madhara na Athari za Punyeto Zawaumbua na Kuwafedhehesha Vijana Wakiwa Ndani ya Ndoa Zao

ndiyo wana shida,
sasa miezi mi3 hujaguswa na mumewe afanyeje sasa...

kwenda kuomba msaada kwenye baraza la usuluhishi au kule madhabahuni ndiyo shida yake right?

achaneni na sabuni ndrugu zango majuto ni mjukuu ndrugu zango wapiga nyetro 🐒
Nguvu za kiume Haina uhusiano na nyeto kabisa kisayansi labda kinadharia tu
 
nakubali sio misuli ni mishipa,

inakuaje sasa kijana anaona tu na mishipa ya damu inasinyaa..

kuna muujiza gani hapo athari za kisaikolojia zielekee kuathiri mshedede tu pekeyake 🤣
Achana na upungufu wa nguvu za kiume, psychology inaweza kukufanya uwe na dalili zote za UKIMWI hata kama hauna ila unajiaminisha unao.
 
Achana na upungufu wa nguvu za kiume, psychology inaweza kukufanya uwe na dalili zote za UKIMWI hata kama hauna ila unajiaminisha unao.
kwahiyo ndrugo zango,
vijana kabla ya ndoa mnajimwambafai ohh nyeto haina madhara, mkisha oa tu mnasingizia psychology mnakimbilia kwenye maombi na maombezi au kwenye mabaraza ya usuluhishi ya ndoa dah 🤣

unajiuliza hii dunia ni mviringo au duara?

acha nyeto yanini ujiandae kusingizia psychology wakati unaweza kuepuka nyeto kirahisi tu 🐒
 
Kuwambua
Kuwafedhehesha

Yaan kivp maana hayo ni matatzo si ya kufedhehesha wala kuumbua bali ni changamoto kama changamoto zngne.
sasa vijana kwanini mnaona aibu na wakati mwingine kuangua vilio vya majuto na uchungu mkubwa mnapokua mnashtakiwa na wake zenu kwenye mabaraza 🤣

sio fedheha hiyo kijana mtanashati kumbe mpiga nyeto tu na huna maajabu 🤣
 
sasa vijana kwanini mnaona aibu na wakati mwingine kuangua vilio vya majuto na uchungu mkubwa mnapokua mnashtakiwa na wake zenu kwenye mabaraza 🤣

sio fedheha hiyo kijana mtanashati kumbe mpiga nyeto tu na huna maajabu 🤣
Mada zako nyingi ni za nyeto, unamatatizo gani? Au ulipiga sana mpaka kidudu chako hakidindi?
 
sasa vijana kwanini mnaona aibu na wakati mwingine kuangua vilio vya majuto na uchungu mkubwa mnapokua mnashtakiwa na wake zenu kwenye mabaraza 🤣

sio fedheha hiyo kijana mtanashati kumbe mpiga nyeto tu na huna maajabu 🤣
Tafuta hela , hao viumbe hawarizishwi na mboo peke yake
 
Tafuta hela , hao viumbe hawarizishwi na mboo peke yake
hakuna haja kusingizia psychology kwenye uwajibikaji ndani ya ndoa gentleman, nyeto ni mbaya sana kwa afya 🐒
 
Mada zako nyingi ni za nyeto, unamatatizo gani? Au ulipiga sana mpaka kidudu chako hakidindi?
jamaa lina mali na mipesa kibao, lakini athari za nyeto ujanani jamaa halina nguvu za kijinsia 🤣

eti psychology 🤣
 
kwahiyo ndrugo zango,
vijana kabla ya ndoa mnajimwambafai ohh nyeto haina madhara, mkisha oa tu mnasingizia psychology mnakimbilia kwenye maombi na maombezi au kwenye mabaraza ya usuluhishi ya ndoa dah 🤣

unajiuliza hii dunia ni mviringo au duara?

acha nyeto yanini ujiandae kusingizia psychology wakati unaweza kuepuka nyeto kirahisi tu 🐒
Achana na nyeto, tatizo la upungufu wa nguvu za kiume siyo kubwa kama linavyohubiliwa na wauza dawa fake za kuongeza nguvu za kiume. Inasikitisha kama hadi wewe umekamatwa na hizi hearsay!
 
Mmi huu mwaka wa 23 najilipua na kupeleka moto napeleka vizuri tu acha nongwa wee jamaa
tatizo litaanza pale tu utakapovuta chombo, pisi kali ndani, mke wa maisha, wakati huo ndio kwanza una 31 years tu, mshedede imesinyaa kama vile una 89yrs , hautaki tena mbususu wala hata haustuki..

bi dada wife material ndio anahitaji kupelekewa moto, ndio utakumbuka uzi huu sasa 🤣
 
Achana na nyeto, tatizo la upungufu wa nguvu za kiume siyo kubwa kama linavyohubiliwa na wauza dawa fake za kuongeza nguvu za kiume. Inasikitisha kama hadi wewe umekamatwa na hizi hearsay!
na vijanaa wana zichangamkia kweli kweli hizo dawa, halafu eti ndio unakuja kuwatia moyo ati tatizo sio kubwa, wakati wenzio hawawezi kazi na wanashtakiwa na wake zao mabarazani na vijana wengine wako kwenye maombi 🤣
 
Nguvu za kiume Haina uhusiano na nyeto kabisa kisayansi labda kinadharia tu
ewe mtetezu na mpuga nyetro..

kupiga nyeto ni matumizi mabaya ya mikono na nguvu za kiume,

lazoma zikutokee puani baadae ndani ya ndoa yako kisha ndio ukumbuke bandiko hili utakapokua unafedheheka :pedroP:
 
ewe mtetezu na mpuga nyetro..

kupiga nyeto ni matumizi mabaya ya mikono na nguvu za kiume,

lazoma zikutokee puani baadae ndani ya ndoa yako kisha ndio ukumbuke bandiko hili utakapokua unafedheheka :pedroP:
Thibitisha kisayansi
 
Anavyotukataza wakati yeye katoka kujipukuchua anajutia kwetu kila mtu afe na zake
 
Back
Top Bottom