Madhara na Athari za Punyeto Zawaumbua na Kuwafedhehesha Vijana Wakiwa Ndani ya Ndoa Zao

Madhara na Athari za Punyeto Zawaumbua na Kuwafedhehesha Vijana Wakiwa Ndani ya Ndoa Zao

Thibitisha kisayansi
endelea kujikamua vizuri tu gentleman, ili ukifika kwenye ndoa uwe nyang"anyang"a kwenye sayansi ya tendo la kibayolojia ili kuthibitisha ukweli juu ya ushauri huu muhimu sana wa kuacha nyeto šŸ’
 
Anavyotukataza wakati yeye katoka kujipukuchua anajutia kwetu kila mtu afe na zake
unajimaliza huku unajiona sio..

acha hiyo kitu mara moja ama tukusubirie madhabahuni kwenye maombezi au kwenye mabaraza ya usuluhishi wa ndoa ukishtakiwa kutokupeleka moto na mkeo 🤣
 
endelea kujikamua vizuri tu gentleman, ili ukifika kwenye ndoa uwe nyang"anyang"a kwenye sayansi ya tendo la kibayolojia ili kuthibitisha ukweli juu ya ushauri huu muhimu sana wa kuacha nyeto šŸ’
Acha tantalila na hisia binafsi unahakika gani Mimi nafanya hayo mambo?

Mimi sipigi nyeto ila thibitisha kisayansi acha na blabla
 
Kwanza tumshukuru Mama anaupiga mwingi.
Je, Ni wapi huko yamejiri hayo ndugu Chawa?
 
Back
Top Bottom