Kufuta mikutano ya kisiasa hadi kipindi cha kampeni ya uchaguzi ujao.
 
Kwel nmeamn wanadam huangalia mabaya tu,, kiukwel bila huyu jamaaa nchi cjui ingekuwa wap now,, amejitahd kwa kiasi kikubwa sana na kiukwel m namuunga mkono Rais Magufuli kwa juhud zake hapa kaz tuuuu,,
 
Hakuna kipindi rushwa imekomaa kama wakati huu, tumewazidi hata Kenya kwa rushwa, kaamua kuendesha nchi kama bar yake mambo anajiamulia tu anayoona yeye, ukweli kufeli kuna kiwango huyu kafeli kwa kiwango cha mwisho,
We umeamua kuwa mwongo sana.
 
Unavyosema ubungo ni msaada wa worldbank
Unamaanisha hatuwalipi

Kama tunawalipa usisema msaada
Na unanena hayo maana unachuki na serikali ya awam hii
Apo isiokuwepo ni ya terminal3 tu maana nayo imejengwa kwa mda wa JK
zilizoanza chini ya magufuli ni zake maana yeye ndo kapitisha pesa
 
Ongeza na bashite hapa, au huoni kama ni mafanikio kuwa na RC kama huyu.? Una hamu ya kusikia gwajima atarudije
 
Mafanikio ni pamoja na kuleta elementi za chuki katika Jamii iliyozoea upendo
 
Magufulu amefanikiwa kurudisha kujiamini kwa wakristo wa Tanzania, ilifikia hatua sote tulitaka kusilimu so that we can get the share of national cake.
 
Marais wawili waislamu walikuwa na udini wa hali ya juu. Yaani Mwinyi na Kikwete walifikisha pahala hata wakristo tunaona aibu kwa majina yetu. Mkapa hajasaidia kwa sababu alikuwa na miondoko ya kizalendo zaidi.
 
Natamani Magufuli awakumbuke na Watanzania wa Visiwani wenye asili ya Bara, wanazuiwa wasipige hatua kwa makusudi. Mambo ya kuzushia ndio mtindo mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…