Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,763
- 3,955
uwanja wa ndege CHATO1. Mabweni ya Chuo Kikuu Cha DAR ES SALAAM
2. Tazara flyover
3. Ubungo flyover
4. Mv. Hapa Kazi TU
5. Mv Mbeya
6. Daraja la Mkupita
Jamani leo ikiwa ni siku ya mazishi yake haki yake tumpeni kila mradi alioukamilisha tuutaje
Kumbe✔️Tazara flyover si wa Magufuli yeye alimalizia tu
Kile cha Msamvu Moro kilianza kujengwa mwaka 2014 enzi za JK! Kwa hiyo miradi mingine alikuwa anamalizia waliyoanza wenzake!Mikoani huko vimejengwa vituo vingi tu vya mabasi...
Hapa mzee alichemka, kwani zoezi la vyeti feki lilijaa ulaghai na upendeleo wa hali ya juu. Kuna Taasisi hazikuguswa na kuna kanda flani hawakuguswa.Wafanyakazi hewa kawamaliza
Cheti feki kafagia
kununua wabunge wa upinzani1. Mabweni ya Chuo Kikuu Cha DAR ES SALAAM
2. Tazara flyover
3. Ubungo flyover
4. Mv. Hapa Kazi TU
5. Mv Mbeya
6. Daraja la Mkupita
Jamani leo ikiwa ni siku ya mazishi yake haki yake tumpeni kila mradi alioukamilisha tuutaje
Vyeti feki bado wapo kuna idara hajagusaWafanyakazi hewa kawamaliza
Cheti feki kafagia
Sawa nakusema mradi wa ujenzi wa uwanja wa taifa ulikuwa wa Jk wakati aliukutaKumbe[emoji3581]
Safi sanaTazara flyover siyo mradi wa awamu ya tano ulikuwa wa awamu ya nne kwa hiyo uundolewe
Jambo jingine ni elimu bure
Malipo kwa control no
Ununuzi wa ndege mpya
Stendi ya Morogoro umeongeza chumvi.Kufufua reli ya kutoka Dar es salaam-Tanga-Kilimanjaro-Arusha
Upanuzi wa Bandari ya Dar, Tanga, Mtwara
Ujenzi wa gati Mafia
Mradi wa rada airport ya Dar, Mwanza, Songwe,....
Elimu bila ada
Vituo vya afya vya kila halmashauri
Hospitali za wilaya, mikoa, na kanda
Barabara za mitaa Dar na katika majiji mengine, na miji
Ujenzi wa kota za gorofa Magomeni
Ujenzi wa masoko makubwa (Soko la Job Ndugai Dodoma, Morogoro, soko la Kisutu, soko la Magomeni, soko la Mbagala, na miko mengine)
Ujenzi wa standi za kisasa (Mbezi, Dodoma, Morogoro, Korogwe, na nk.)
Ujenzi wa majengo ya makao makuu ya Halmashauri
Daraja la mto Kilombero, na mengine mengi
Madaraja ya waenda kwa miguu (Dar na Mwanza)
Ukarabati shule kongwe na vyuo (Pugu, Galanos, na nk.)
alafu unaweza kuta hujui umesimliwa tu,nawe unashupaza shingo kuwa ndivo,jamaa kafanya mpeni stahili yakeNamba 2 hapo hakuuanza yeye. JK alishauanza na ulikuwa almost done.
Hivi hii chato mbona kwenye tv inaonekana kama bushi bado au kuna eneo maalum lilikua linaendelezwa?
Walikuwa wanasema "Miradi ya Kimkakati".Hii miradi mingine ilimalizwa haraka ili iwe promotion ya mitano ya nyongeza. Alishajiona anaweza kupata miaka 10 mingine ya nyongeza.
Mkuu ukipewa nafasi fanya kwa sehemu yako bila kufikiria kuwa Kuna mwingine atakuja. Otherwise wewe una itilafu kichwani Kuna fyuzi imelegea.
Kwa hiyo ulijengwa awamu ya nne si ndioTazara flyover siyo mradi wa awamu ya tano ulikuwa wa awamu ya nne kwa hiyo uundolewe
Jambo jingine ni elimu bure
Malipo kwa control no
Ununuzi wa ndege mpya
Sky Eclat leo nikwambie tu ukweli. Nakupenda sana, najua wewe ni mdada. Jua tu nakupenda. Huwa najiskia vibaya sana ukimpondea magufuli. Kwa sababu the man is my hero.Kwakweli vituo vya afya kila kata ni msingi mzuri wa community health. Vikipata maji ya uhakika na umeme, mafridge ya kuhifadhia dawa na wataalamu wenye sifa. Mzigo mkubwa kwenye hospitali za rufaa utapungua.
RIP Magufuli.
Yes ukifadhiliwa na serikali ya JapanKwa hiyo ulijengwa awamu ya nne si ndio
Kila mwaka nakuja likizo bongo na najua kabisa kwamba sumitomo company na TANROADS walishamaliza kila kitu kabla hata uchaguzi wa 2015. Kilichobaki ilikuwa ni kuangalia watu wakisimamisha kitu baas.alafu unaweza kuta hujui umesimliwa tu,nawe unashupaza shingo kuwa ndivo,jamaa kafanya mpeni stahili yake
Mradi wa kuuwa vyama vya upizani (lengo ilikua ukamilike kabla ya 2020) umefikia hatua gani?1. Mabweni ya Chuo Kikuu Cha DAR ES SALAAM
2. Tazara flyover
3. Ubungo flyover
4. Mv. Hapa Kazi TU
5. Mv Mbeya
6. Daraja la Mkupita
Jamani leo ikiwa ni siku ya mazishi yake haki yake tumpeni kila mradi alioukamilisha tuutaje
Utawala wa Magu haukua na waziri ? Mbona unamtaja Magu na sio waziri ?Waziri alikuwa nani au Mdude wa Chadema