Wafanyakazi hewa kawamaliza
Cheti feki kafagia
Hapa mzee alichemka, kwani zoezi la vyeti feki lilijaa ulaghai na upendeleo wa hali ya juu. Kuna Taasisi hazikuguswa na kuna kanda flani hawakuguswa.

Hii inanikumbusha ajira 13000 za walimu, ni walimu wa kanda ya Ziwa, Pwani na Mkoa wa Lindi hasa Ruangwa ndio walifanikiwa wengi wao kuajiriwa.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Stendi ya Morogoro umeongeza chumvi.
 
Kwakweli vituo vya afya kila kata ni msingi mzuri wa community health. Vikipata maji ya uhakika na umeme, mafridge ya kuhifadhia dawa na wataalamu wenye sifa. Mzigo mkubwa kwenye hospitali za rufaa utapungua.
RIP Magufuli.
Sky Eclat leo nikwambie tu ukweli. Nakupenda sana, najua wewe ni mdada. Jua tu nakupenda. Huwa najiskia vibaya sana ukimpondea magufuli. Kwa sababu the man is my hero.
 
alafu unaweza kuta hujui umesimliwa tu,nawe unashupaza shingo kuwa ndivo,jamaa kafanya mpeni stahili yake
Kila mwaka nakuja likizo bongo na najua kabisa kwamba sumitomo company na TANROADS walishamaliza kila kitu kabla hata uchaguzi wa 2015. Kilichobaki ilikuwa ni kuangalia watu wakisimamisha kitu baas.
 
1. Mabweni ya Chuo Kikuu Cha DAR ES SALAAM
2. Tazara flyover
3. Ubungo flyover
4. Mv. Hapa Kazi TU
5. Mv Mbeya
6. Daraja la Mkupita
Jamani leo ikiwa ni siku ya mazishi yake haki yake tumpeni kila mradi alioukamilisha tuutaje
Mradi wa kuuwa vyama vya upizani (lengo ilikua ukamilike kabla ya 2020) umefikia hatua gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…