Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021
Katika pita pita zangu, nakutana na watu mbalimbali wenye mitazamo tofauti kuhusu utendaji wa serikali iliyopo madarakani.

Wengine wamekuwa wakisema serikali hii imefanya mambo mengi mazuri ambayo serikali zilizopita zilishindwa kuyafanya.

Wakati kuna kundi lingine linadai serikali hii haijafanya chochote cha maana zaidi ya kuharibu mambo maZuri yaliyofanywa na serikali zilizopita.

Sasa basi naomba nichukue nafasi hii, kuwaomba wale wote wanaosema serikali hii ni ya kipekee kwa kufanya mambo makubwa ambayo yalishindikana kwa serikali zilizopita watuorodheshee mazuri hayo.
Ili wale ambao hawana imani nayo, waanze kubadilisha mitazamo yao.

Karibuni sana.

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app

mtoa uzi naona una iomba ya mchana ili uijue ukubwa wake au uijue imenyolewa au bado ina pori-vizuri vinaonekana na kumbuka binadamu awakosi mitizamo tofauti-mtu anaweza fanya mazuri mia mmoja akakosea sehmu nyeti ambayo ni nguzo aka harbu yoteee,Nia bila utekelezaji ni sawa na zero ila utekelezaji bila mataarisho na mipango iilio mazuri pia ni zero- inchi hii kikubwa ni ushabiki ulio na umimi-
 
..kuwaandama wanachama wa CDM.

..kuwafungulia viongozi wa CDM nchi nzima kesi 301 za uchochezi.
 
Kujenga reli ya kisasa ya umeme ya mwendokasi kutoka dar hd moro
Hilo suala si bado lipo kwenye maandishi. Sidhani kama limeanza kutekelezwa kwa vitendo

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Eshima imekuwepo kat ya Mwenye nacho na asiekua nacho ile kauli chafu ya ntakupiga nikulipe imefutika.vile vile kumekuwepo na haki Sawa ya ulipaji kod uwe chama tawala au mpinzan kodi utalipa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika pita pita zangu, nakutana na watu mbalimbali wenye mitazamo tofauti kuhusu utendaji wa serikali iliyopo madarakani.

Wengine wamekuwa wakisema serikali hii imefanya mambo mengi mazuri ambayo serikali zilizopita zilishindwa kuyafanya.

Wakati kuna kundi lingine linadai serikali hii haijafanya chochote cha maana zaidi ya kuharibu mambo maZuri yaliyofanywa na serikali zilizopita.

Sasa basi naomba nichukue nafasi hii, kuwaomba wale wote wanaosema serikali hii ni ya kipekee kwa kufanya mambo makubwa ambayo yalishindikana kwa serikali zilizopita watuorodheshee mazuri hayo.
Ili wale ambao hawana imani nayo, waanze kubadilisha mitazamo yao.

Karibuni sana.

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Awamu ya mkwele nilisota sana ila wamu hii mungu ampe maisha marefu jpm ikiwezekana tumuongeze muda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom