Mafanikio :
Pigeni mbizi
Sipangiwi
Wanajamiiana jela
Nitapiga mashangazi
Hahahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
baba huwa hasifiwi kwa wajibu!!!! imekuwa issue siku hizi....... aliyoharibu ni mengi kuliko hayo uyasemayo....
 
Yule aliyezoea utapeli, wizi wa mali ya umma serikalini, Zitto Kabwe, Lissu, Lema, wanafiki wa TLS, Wafanyakazi waliotumia majina ya watu kupata ajira, wababaishaji, hawatopenda habari hizi.
 
John Maxwell ktk kitabu Developing the Leader Within You, 1993, uk 5&6, anatofautisha bosi na kiongozi: Bosi huwapelekesha wafanyakazi, bali kiongozi huwaelekeza. Bosi hutegemea mamlaka aliyonayo, bali kiongozi huongoza kwa mapenzi mema. Bosi huwajengea hofu wafanyakazi, bali kiongozi hujenga hamasa. Bosi hutamka "mimi" wakati kiongozi anatamka "sisi." Bosi anawalaumu wafanyakazi kwa kasoro zilizojitokeza, wakati kiongozi anarekebisha kasoro. Bosi anajua kazi inavyofanyika, bali kiongozi anaonesha inavyofanyika. Bosi anasema, "nendeni" wakati kiongozi anasema " twendeni."
 
Mkuu umesahau Ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa chato
 
Hostel za Chuo cha UDSM.
HII SI UNAKUMBUKA EXPANSION JOINT?

Ununuzi wa Ndege 2 (Nyingine 3 ziko mbioni kuja).
HILI LA NDEGE SI UNAJUWA TUMESHAPATA HASARA MFULULIZO?

Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo....
KWENYE HII NAKUBALIANA NA WEWE

Upanuzi wa Airport Mwanza
SINA UHAKIKA

Upanuzi barabara ya Moroco Dsm
KWENYE HII NAKUBALIANA NA WEWE INGAWA SI JAMBO LA RAISI KUSIFIWA, WAZIRI WA UJENZI ANGEHUSIKA

Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
HII HAKUIKUTA?

Kukomesha Rushwa
HAPA NAPINGA...... IPO BADO WALA HAJAKOMESHA... NA WIZI UPO, SI UNAKUMBUKA 1.5T?

Kurejesha nidhamu Makazini.
HAKUNA NIDHAMU ILA NI WOGA TU UMETAMALAKI
 
BEI NZURI ZA MAZAO KAMA KOROSHO, PAMBA N.K na kuwawezesha wakulima sehemu mbalimbali hapa nchini kuboresha maisha yao Wakulima hao ni pamoja na sisi wa huku Tandahimba. Unasemaje?
 
Pia pyu pyu pyu!
Na roho mbaya ya kufa people.
Rambi rambi kulambwa.
Bomoa bomoa kwa wasiompigia kura.
Wafanyakazi kuula wa chuya.
Mfumuko wa bei kupaa.
Makinikia kuyeyuka.
MBWEMBWE ZINAPUNGUA .
 
kwasasa watu hawawezi kumuelewa huyu Mzee ila akiachia ngazi ndo watajua kazi aliyokuwa anafanya
 
Tangu aingie madarakani zile Statutory annual increment kwa watumishi wa umma kaziondoa, haya ni maendeleo makubwa kwa mjibu wa mleta uzi?
Mabenki takribani matano yamefungwa haya ni maendeleo?
 
Wapo wanaokula mlo mmoja ...

Wapo waliofilisika ...

Wasiojua kesho yao itakuwaje ...
 
Kafanya mambo mengi sana zaidi ya hayo uliyoyataja,kikubwa tukifikia swala la Maendeleo tuweke mbali,tofauti za vyama ili nnchi ifaidike kwetu wote,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…