Pamoja na misemo mingi kama hii iliyopo, hakika hakuna ubishi kuwa huwakirisha mtu aliyepitia
1. Misuko suko hatimae mafanikio
2. Shida, hujuma, na majaribu lakini hakukata tamaa.
Kibwagizo kikubwa huwa nikwamba, pamoja nayote hayo alipata mafanikio, nahuyo anaitwa mshindi
Ila kama asingeyapata mafanikio lkn alivuka yte hayo, ataitwa Mpambanaji.
JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI, eye ni MSHINDI.
Kwanini JPM ni mshindi
Mh Rais john p. Magufuri a.k.a brudoser. Mara tu baada yakuchaguliwa kuwa Rais wa JMT akakumbana na yafuatayo:
1. Account nyeupe, malipo hewa yaliyoandaliwa kukomba fedha, mzee akaziwahi na akapiga chini Gavana wa BOT
2. Darali wa mabeberu akatangaza ugonjwa wa dhika! Mzee akaiona akaipangua akampa za uso mwele malesera.
3. Ikatangazwa njaa kila kona ya nchi! Mzee akaikwepa akawakoswa koswa waliotangaza akawapa nyo. Ikawa shwari
4. wakataka kufungulia maji ya mabwawa ya umeme! Mzee akaisoma akawapiga bit ngoma ikatulia.
5. wakaanza kuhujum ndege, mzee akaisoma akalala nao mbele kwa mbele! Wakahama nchi na wakawa vilema
6. wakasitisha misaada ya Rea mzee akatoa fungu na umeme uko kila kona.
7. Kari ya mwaka sasa, WAKALETA COVID-19 aaaah!! Mze akashtuka akawaeudishia za mdomo, mpaka leo wanatema dam.
Rais magufuli haya yote kayafanya kwakuwa tu , mungu alimleta atuokoe watanzania, hata yesu aliwaambia wanafunzi wa yohana kuwa! Anauliza kama mimi ndie masiha?? Wakasema ndiyo.
Yesu akawaambia nendeni mkamwambie viwete wanatembea na vipofu wanaona!
Kwa asiye mkubari JPM mwambieni.. Barick wamelipa na kukubari kuunda nao kampuni
Mwambieni .. standard guage iko moro to mza , Bwawa la umeme la nyerere hydropower iko 75%
Mwambieni.. hospitali aliyoiacha mwl ile ya msoma na vituo vya afya , zahanati, hosp za rufaa zimejengwa.
.haki mahakamani iliyopotea sasa imerudi,
Habari ya unanijua mimi sasa haipo.
Lakini msisahau nayale mnayoyaona kwa macho yenu.
October 2020 tumpe kura kwa wingi atuingize kanaani.
Enzi na Enzi
Dar es salaam.