Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021
Tutazungumzia maendeleo pale ambapo wananchi wa kawaida wana haki na utawala bora. Leo haki za binadamu zinavunjwa . wananchi wa kawaida wana lalamika maisha yamezidi kuwa magumu. bei za bidhaa zimepanda.

Ukiongea unapotezwa. Upinzani na demokrasia katika nchi zimelala chali, Vipi tutamsifia Magufuli?. Biashara ndogo ndogo zimepigwa na chini. TRA inakufuata hata njugu karanga zinatushinda kuuza. Vipi tumsifie Magufuli?.
 
Pamoja na misemo mingi kama hii iliyopo, hakika hakuna ubishi kuwa huwakirisha mtu aliyepitia

1. Misuko suko hatimae mafanikio
2. Shida, hujuma, na majaribu lakini hakukata tamaa.

Kibwagizo kikubwa huwa nikwamba, pamoja nayote hayo alipata mafanikio, nahuyo anaitwa mshindi

Ila kama asingeyapata mafanikio lkn alivuka yte hayo, ataitwa Mpambanaji.

JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI, eye ni MSHINDI.

Kwanini JPM ni mshindi

Mh Rais john p. Magufuri a.k.a brudoser. Mara tu baada yakuchaguliwa kuwa Rais wa JMT akakumbana na yafuatayo:

1. Account nyeupe, malipo hewa yaliyoandaliwa kukomba fedha, mzee akaziwahi na akapiga chini Gavana wa BOT
2. Darali wa mabeberu akatangaza ugonjwa wa dhika! Mzee akaiona akaipangua akampa za uso mwele malesera.
3. Ikatangazwa njaa kila kona ya nchi! Mzee akaikwepa akawakoswa koswa waliotangaza akawapa nyo. Ikawa shwari
4. wakataka kufungulia maji ya mabwawa ya umeme! Mzee akaisoma akawapiga bit ngoma ikatulia.
5. wakaanza kuhujum ndege, mzee akaisoma akalala nao mbele kwa mbele! Wakahama nchi na wakawa vilema
6. wakasitisha misaada ya Rea mzee akatoa fungu na umeme uko kila kona.
7. Kari ya mwaka sasa, WAKALETA COVID-19 aaaah!! Mze akashtuka akawaeudishia za mdomo, mpaka leo wanatema dam.
Rais magufuli haya yote kayafanya kwakuwa tu , mungu alimleta atuokoe watanzania, hata yesu aliwaambia wanafunzi wa yohana kuwa! Anauliza kama mimi ndie masiha?? Wakasema ndiyo.

Yesu akawaambia nendeni mkamwambie viwete wanatembea na vipofu wanaona!

Kwa asiye mkubari JPM mwambieni.. Barick wamelipa na kukubari kuunda nao kampuni

Mwambieni .. standard guage iko moro to mza , Bwawa la umeme la nyerere hydropower iko 75%
Mwambieni.. hospitali aliyoiacha mwl ile ya msoma na vituo vya afya , zahanati, hosp za rufaa zimejengwa.

.haki mahakamani iliyopotea sasa imerudi,
Habari ya unanijua mimi sasa haipo.
Lakini msisahau nayale mnayoyaona kwa macho yenu.

October 2020 tumpe kura kwa wingi atuingize kanaani.
Enzi na Enzi
Dar es salaam.
 
Miradi ya magufuli ni upotevu tu wa pesa za walipaa kodi maana haitakamilika.. unaua biashara na vyanzo vya mapato , alafu ndio unaanzisha miradi mikubwa,!
 
Ameifanya Chato ifanane na Gbadolite ya mobutu sese seko kwa maana anajenga/ amejenga
Taaa za kuongoza magari( bila magari?
Uwanja wa ndege wa kimataifa (bila ndege za kimataifa kutua) sana Sana popo na bundi wanakaa
Amejenga uwanja wa michezo wa watu nusu lakin bila kuwa na team league kuu au hata iwezekano wa uwanja kujaa kwa miaka50 ijayo
Hospital ya rufaa
Haya Mambo aliefanya Mobutu kule Gbadolite
 
Nina mkubali Magufuli lakini watendaji wake wanamuogopa ndio maana hadi leo wastaafu wa ATCL bado wanahangaikia mapunjo ya PPF/PSSSF zao bila kulipwa japo mahakama iliagiza walipwe. Wizara UUM inasema mlipaji ni Wizara ya Fedha Katibi Mkuu Kiongozi kaelekeza wizara ya UUM kuwalipa wastaafu hapo ndio unapo ona danganya kwa wazee. Raisi anasema kalipa madai yote ya PSSSF ya wastaafu.PSSSF wanasema hawaja pokea malipo kwa ajili ya wastaafu wa ATCL. Inshaallah ipo siku Mungu atamuelekeza Magufuli awalipe wastaafu wa ATCL kama alivyoagiza walimu walipwe.
 
1592729752335.png


1592729819095.png

1592729851839.png


Hapa Kazi Tu!

 
Back
Top Bottom