Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021
-Jk kaasisi flyover mwenzangu na mimi ukazindua.
-Jk kamalizia ujenzi wa shule za kata wewe umeshindwa hata kupeleka walimu wa chekechea.
-Jk kaanzisha ujenzi wa barabara na usafiri wa mwendo kasi(Bus Rapid Transport) mwenzangu na mimi ukazindua.
-Jk kajenga daraja la Nyerere(Nyerere Bridge) wewe ukazindua na kumtumbua mshikaji kabwe darajani kwa mbwembwe.
-Jk kaanzisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa(JK Nyerere international air port) wewe ukazindua.
-Jk kaunganisha mikoa yote Tanzania kwa kiwango cha lami,wewe una bomolea watu nyumba zao.
-Jk miaka yake yote katoa ajira wewe jamaa miaka 2 umeshndwa kabisa.
-Jk kaanzisha bunge mubashara wewe ukazima bunge.
Endelea kupanga baraza la mawaziri,Endelea kubana matumizi.

Mwanahabari Huru

Swali la Kizushi:"WATU WASIOJULIKANA SIKUHIZI WANATOKEA RWANDA?"
 
Uongozi wa JPM kweli unawamaliza wavivu na wapenda dili.

Anatenda mengi mazuri na matokeo yanaonekana sio kwamba analalia tu
 
Huyu jamaa hakuwa na mpango wa kigombea!! Ila alishangaa tu kasukumiziwamo!!! Ina maana hakujua atalifanyia nini Taifa hili. No priorities!!!!
 
-Jk kaasisi flyover mwenzangu na mimi ukazindua.
-Jk kamalizia ujenzi wa shule za kata wewe umeshindwa hata kupeleka walimu wa chekechea.
-Jk kaanzisha ujenzi wa barabara na usafiri wa mwendo kasi(Bus Rapid Transport) mwenzangu na mimi ukazindua.
-Jk kajenga daraja la Nyerere(Nyerere Bridge) wewe ukazindua na kumtumbua mshikaji kabwe darajani kwa mbwembwe.
-Jk kaanzisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa(JK Nyerere international air port) wewe ukazindua.
-Jk kaunganisha mikoa yote Tanzania kwa kiwango cha lami,wewe una bomolea watu nyumba zao.
-Jk miaka yake yote katoa ajira wewe jamaa miaka 2 umeshndwa kabisa.
-Jk kaanzisha bunge mubashara wewe ukazima bunge.
Endelea kupanga baraza la mawaziri,Endelea kubana matumizi.

Mwanahabari Huru

Swali la Kizushi:"WATU WASIOJULIKANA SIKUHIZI WANATIKEA RWANDA?"

Ni upungufu mkubwa wa ' Kimawazo ' kutaka ' kulazimisha ' yale yote ya Rais Mstaafu Kikwete basi yafanywe au yaendelezwe na Rais wa sasa Dkt. Magufuli. Halafu huwa nawashangaa mno ' Waswahili ' mbona huwa hatufanyi ' stupid ' comparisons kati ya Nyerere na Mwinyi au Mwinyi na Mkapa au Mkapa na Kikwete ila kila uchao Sisi ni Kikwete na Magufuli tu?

Sina wasiwasi na Rais Dkt. Magufuli na nina imani nae tena 100% kuwa atatuongoza salama na rasilimali zetu zitatumika vizuri tu ili ziweze kuisaidia nchi hasa Kimaendeleo. Hata kama ' Kibinadamu ' Rais wa sasa ( Magufuli ) ana ' mapungufu ' yake ila so far We're on the right track na kikubwa tu ni kumpa ' ushirikiano ' Wetu na kila mmoja kuwajibika katika nafasi yake kuliko kupoteza muda wetu kila siku ' kumsema ' au ' kumuibulia ' mambo ya Kipumbavu / Kipopoma kabisa yasiyo na miguu wala kichwa.
 
-Jk kaasisi flyover mwenzangu na mimi ukazindua.
-Jk kamalizia ujenzi wa shule za kata wewe umeshindwa hata kupeleka walimu wa chekechea.
-Jk kaanzisha ujenzi wa barabara na usafiri wa mwendo kasi(Bus Rapid Transport) mwenzangu na mimi ukazindua.
-Jk kajenga daraja la Nyerere(Nyerere Bridge) wewe ukazindua na kumtumbua mshikaji kabwe darajani kwa mbwembwe.
-Jk kaanzisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa(JK Nyerere international air port) wewe ukazindua.
-Jk kaunganisha mikoa yote Tanzania kwa kiwango cha lami,wewe una bomolea watu nyumba zao.
-Jk miaka yake yote katoa ajira wewe jamaa miaka 2 umeshndwa kabisa.
-Jk kaanzisha bunge mubashara wewe ukazima bunge.
Endelea kupanga baraza la mawaziri,Endelea kubana matumizi.

Mwanahabari Huru

Swali la Kizushi:"WATU WASIOJULIKANA SIKUHIZI WANATOKEA RWANDA?"


Siku zote huwa nasema chadema ni stupid people, kwa hiyo unamuonya Raisi na Mwenyekiti wa CCM afanye vizuri? Nilifikiri kutokufanya kwake kitu ndo faida kwa chadema sasa iweje unataka ajirekebishe tena? Kuna kitu hakipo sawa na nyie watu!
 
Siku zote huwa nasema chadema ni stupid people, kwa hiyo unamuonya Raisi na Mwenyekiti wa CCM afanye vizuri? Nilifikiri kutokufanya kwake kitu ndo faida kwa chadema sasa iweje unataka ajirekebishe tena? Kuna kitu hakipo sawa na nyie watu!
kwani ametumwa kufanya madudu au kazi safi?
 
-Jk kaasisi flyover mwenzangu na mimi ukazindua.
-Jk kamalizia ujenzi wa shule za kata wewe umeshindwa hata kupeleka walimu wa chekechea.
-Jk kaanzisha ujenzi wa barabara na usafiri wa mwendo kasi(Bus Rapid Transport) mwenzangu na mimi ukazindua.
-Jk kajenga daraja la Nyerere(Nyerere Bridge) wewe ukazindua na kumtumbua mshikaji kabwe darajani kwa mbwembwe.
-Jk kaanzisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa(JK Nyerere international air port) wewe ukazindua.
-Jk kaunganisha mikoa yote Tanzania kwa kiwango cha lami,wewe una bomolea watu nyumba zao.
-Jk miaka yake yote katoa ajira wewe jamaa miaka 2 umeshndwa kabisa.
-Jk kaanzisha bunge mubashara wewe ukazima bunge.
Endelea kupanga baraza la mawaziri,Endelea kubana matumizi.

Mwanahabari Huru

Swali la Kizushi:"WATU WASIOJULIKANA SIKUHIZI WANATOKEA RWANDA?"
Wewe ni sawa na shabiki wa Ali Kiba, kila zuri alifanyalo Diamond hulioni.
 
Back
Top Bottom