Fundi wa fundi
Senior Member
- Apr 18, 2017
- 117
- 53
Unauhakikarushwa hajakomesha na hatoweza!kuhusu nidhamu makazini ni kweli tuna nidhamu ya UOGA!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unauhakikarushwa hajakomesha na hatoweza!kuhusu nidhamu makazini ni kweli tuna nidhamu ya UOGA!
Unauhakikarushwa hajakomesha na hatoweza!kuhusu nidhamu makazini ni kweli tuna nidhamu ya UOGA!
-Jk kaasisi flyover mwenzangu na mimi ukazindua.
-Jk kamalizia ujenzi wa shule za kata wewe umeshindwa hata kupeleka walimu wa chekechea.
-Jk kaanzisha ujenzi wa barabara na usafiri wa mwendo kasi(Bus Rapid Transport) mwenzangu na mimi ukazindua.
-Jk kajenga daraja la Nyerere(Nyerere Bridge) wewe ukazindua na kumtumbua mshikaji kabwe darajani kwa mbwembwe.
-Jk kaanzisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa(JK Nyerere international air port) wewe ukazindua.
-Jk kaunganisha mikoa yote Tanzania kwa kiwango cha lami,wewe una bomolea watu nyumba zao.
-Jk miaka yake yote katoa ajira wewe jamaa miaka 2 umeshndwa kabisa.
-Jk kaanzisha bunge mubashara wewe ukazima bunge.
Endelea kupanga baraza la mawaziri,Endelea kubana matumizi.
Mwanahabari Huru
Swali la Kizushi:"WATU WASIOJULIKANA SIKUHIZI WANATIKEA RWANDA?"
-Jk kaasisi flyover mwenzangu na mimi ukazindua.
-Jk kamalizia ujenzi wa shule za kata wewe umeshindwa hata kupeleka walimu wa chekechea.
-Jk kaanzisha ujenzi wa barabara na usafiri wa mwendo kasi(Bus Rapid Transport) mwenzangu na mimi ukazindua.
-Jk kajenga daraja la Nyerere(Nyerere Bridge) wewe ukazindua na kumtumbua mshikaji kabwe darajani kwa mbwembwe.
-Jk kaanzisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa(JK Nyerere international air port) wewe ukazindua.
-Jk kaunganisha mikoa yote Tanzania kwa kiwango cha lami,wewe una bomolea watu nyumba zao.
-Jk miaka yake yote katoa ajira wewe jamaa miaka 2 umeshndwa kabisa.
-Jk kaanzisha bunge mubashara wewe ukazima bunge.
Endelea kupanga baraza la mawaziri,Endelea kubana matumizi.
Mwanahabari Huru
Swali la Kizushi:"WATU WASIOJULIKANA SIKUHIZI WANATOKEA RWANDA?"
Mawazo yako mafupi sanaUongozi wa JPM kweli unawamaliza wavivu na wapenda dili.
Anatenda mengi mazuri na matokeo yanaonekana sio kwamba analalia tu
kwani ametumwa kufanya madudu au kazi safi?Siku zote huwa nasema chadema ni stupid people, kwa hiyo unamuonya Raisi na Mwenyekiti wa CCM afanye vizuri? Nilifikiri kutokufanya kwake kitu ndo faida kwa chadema sasa iweje unataka ajirekebishe tena? Kuna kitu hakipo sawa na nyie watu!
Wewe ni sawa na shabiki wa Ali Kiba, kila zuri alifanyalo Diamond hulioni.-Jk kaasisi flyover mwenzangu na mimi ukazindua.
-Jk kamalizia ujenzi wa shule za kata wewe umeshindwa hata kupeleka walimu wa chekechea.
-Jk kaanzisha ujenzi wa barabara na usafiri wa mwendo kasi(Bus Rapid Transport) mwenzangu na mimi ukazindua.
-Jk kajenga daraja la Nyerere(Nyerere Bridge) wewe ukazindua na kumtumbua mshikaji kabwe darajani kwa mbwembwe.
-Jk kaanzisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa(JK Nyerere international air port) wewe ukazindua.
-Jk kaunganisha mikoa yote Tanzania kwa kiwango cha lami,wewe una bomolea watu nyumba zao.
-Jk miaka yake yote katoa ajira wewe jamaa miaka 2 umeshndwa kabisa.
-Jk kaanzisha bunge mubashara wewe ukazima bunge.
Endelea kupanga baraza la mawaziri,Endelea kubana matumizi.
Mwanahabari Huru
Swali la Kizushi:"WATU WASIOJULIKANA SIKUHIZI WANATOKEA RWANDA?"