Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021
Katika kipindi kifupi cha miaka 4 tumeshuhudia Rais wetu akisimamia kwa nguvu miradi mingi yenye thamani kubwa ya fedha na yote inatambaa kwa nguvu na speed kubwa.

Ni katika nchi hii tuliaminishwa kuwa hakuna hela, hela zinapatikana nje ya nchi tu. Lakini leo mheshimiwa rais amesema hela zipo hapa na nje hatoki na miradi inakwenda vizuri. Ni lazima tujiulize hizi hela zilikuwa wapi?

Badala ya kulalamika tujifunze mbinu anazotumia kupata fedha. Tuache kufanya kimoja kimoja kama tunaendesha familia zetu. Tukumbuke hii ni nchi siyo familia.
Rais wetu ana akili nyingi sana.

Tena katika kipindi cha miaka hii minne hata wazungu wasingeweza kwenda na hizi multiple and giant projects Kwa wakati mmoja. Only geniuses can do this.

Kwa wakati mmoja amefanya yafuatayo na yote yanatambaa.:

1. Ujenzi wa barabara zote zinaendelea na zina kamilika kwa wakati.

2. Ujenzi wa bwawa la umeme unaendelea na mkandarasi yuko sight

3. Ujenzi wa hospitali na vituo vya afya umekamilika kote nchini

4. Ujenzi wa stand za kisasa za mabasi nchi nzima

5. Ujenzi wa masoko nchi nzima

6. Ujenzi wa machinjio za kisasa

7. Ujenzi reli unaendelea

8. Ununuzi wa ndege

9. Uanzishwaji wa viwanda nchi nxima. Hadi sasa viwanda vimefufuliwa na kujengwa upya zaidi 4000.

10. Madawa supply ipo constantly kuanzia ngazi ya zahanati hadi hospitali ya taifa

11. Usambazaji wa umeme mijini na vijijini unaendelea kwa kasi

12. Elimu bure inaendelea

13. Mishahara inalipwa kwa wakati.

14. Upanuzi wa viwanja vya ndege

15. Kuhamia Dodoma walisema hawezi sasa ameweza. Na amejenga temporary offices za wizara na permanent Ikulu.

16. Ujenzi wa hospitali ya uhuru

17. Ununuzi wa vivuko na meli

Yote haya yanakwenda kwa wakati mmoja. Only geniuses can do this coz anakuwa na planning.

Sasa vilaza ndo wanalalamika wanaona maajabu. Jamani ni kawaida tu msishangae tunachapa kazi. Na zote zitakamilika kwa 100% tumpe nafasi rais wetu achape kazi vilaza acheni kulalamika.

Usifikirie kama unaendesha familia yako fikiria kama unaendesha nchi. Hatutaki twende na kimoja kimoja nchi kubwa hii hatuta fika kwa wakati tunaotaka.

Tumechelewa mno, tumeibiwa mno.

Badala ya kumshukuru Mungu kwa zawadi ya rais wetu watu tuache kubeza juhudi hizi. Tumshukuru Mungu ampe afya njema rais wetu ili tufike mbali. Baada ya kipindi chake yawezekana tusipate mwingine kama huyu.

Tuache genius wetu afanye kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa ulivyoandika 'tusifikirie anaendesha familia' kwani hauwezi kuendesha familia kwa kuwamiminia risasi, kuwa-eliminate(Ben Saa 8) na mambo mengi ya kinyama na kikatili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika kipindi kifupi cha miaka 4 tumeshuhudia Rais wetu akisimamia kwa nguvu miradi mingi yenye thamani kubwa ya fedha na yote inatambaa kwa nguvu na speed kubwa.

Ni katika nchi hii tuliaminishwa kuwa hakuna hela, hela zinapatikana nje ya nchi tu. Lakini leo mheshimiwa rais amesema hela zipo hapa na nje hatoki na miradi inakwenda vizuri. Ni lazima tujiulize hizi hela zilikuwa wapi?

Badala ya kulalamika tujifunze mbinu anazotumia kupata fedha. Tuache kufanya kimoja kimoja kama tunaendesha familia zetu. Tukumbuke hii ni nchi siyo familia.
Rais wetu ana akili nyingi sana.

Tena katika kipindi cha miaka hii minne hata wazungu wasingeweza kwenda na hizi multiple and giant projects Kwa wakati mmoja. Only geniuses can do this.

Kwa wakati mmoja amefanya yafuatayo na yote yanatambaa.:

1. Ujenzi wa barabara zote zinaendelea na zina kamilika kwa wakati.

2. Ujenzi wa bwawa la umeme unaendelea na mkandarasi yuko sight

3. Ujenzi wa hospitali na vituo vya afya umekamilika kote nchini

4. Ujenzi wa stand za kisasa za mabasi nchi nzima

5. Ujenzi wa masoko nchi nzima

6. Ujenzi wa machinjio za kisasa

7. Ujenzi reli unaendelea

8. Ununuzi wa ndege

9. Uanzishwaji wa viwanda nchi nxima. Hadi sasa viwanda vimefufuliwa na kujengwa upya zaidi 4000.

10. Madawa supply ipo constantly kuanzia ngazi ya zahanati hadi hospitali ya taifa

11. Usambazaji wa umeme mijini na vijijini unaendelea kwa kasi

12. Elimu bure inaendelea

13. Mishahara inalipwa kwa wakati.

14. Upanuzi wa viwanja vya ndege

15. Kuhamia Dodoma walisema hawezi sasa ameweza. Na amejenga temporary offices za wizara na permanent Ikulu.

16. Ujenzi wa hospitali ya uhuru

17. Ununuzi wa vivuko na meli

Yote haya yanakwenda kwa wakati mmoja. Only geniuses can do this coz anakuwa na planning.

Sasa vilaza ndo wanalalamika wanaona maajabu. Jamani ni kawaida tu msishangae tunachapa kazi. Na zote zitakamilika kwa 100% tumpe nafasi rais wetu achape kazi vilaza acheni kulalamika.

Usifikirie kama unaendesha familia yako fikiria kama unaendesha nchi. Hatutaki twende na kimoja kimoja nchi kubwa hii hatuta fika kwa wakati tunaotaka.

Tumechelewa mno, tumeibiwa mno.

Badala ya kumshukuru Mungu kwa zawadi ya rais wetu watu tuache kubeza juhudi hizi. Tumshukuru Mungu ampe afya njema rais wetu ili tufike mbali. Baada ya kipindi chake yawezekana tusipate mwingine kama huyu.

Tuache genius wetu afanye kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliomba kura zetu ili ayafanye hayo mi sioni ajabu, mfano ukiwa baba ni haki yako kuwanunulia watoto wako ngua na kuwatimizia mahitaji yao, kwahiyo hakuna jipya,
Pia jiulize miaka 58 ya Uhuru bado taifa ni changa wakat aliyekuwa anazaliwa amebakiza miaka miwili asitafu. Kama maendeleo tumecheleweshewa wa kuwalaumi ni hao hao ccm waliotawala tangu Uhuru,
Kuna nchi tumetangulia kupata Uhuru kuliko wao mfano Kenya, Botswana, south Africa nk LAKINI ZINATUZIDI KWA SANA HUONI THERE IS WRONG somewhere? ACHENI KUSIFIA KILA JAMBO HUKU MKIWEKA PEMBENI AKILI NA ELIMU ZENU
 
Wapinzani walivo mafala wameishiwa hoja hawana hata kwa kukosoa, njooni mpinge kuwa hayo yanayoelezwa hapo hayajafanyika.

Umeambiwa kuwa hakuna viwanda 4,000 sasa unataka waje wapinge nini? Hivyo vituo vya afya na hospitali za wilaya ambazo mnasimbua nazo watu nyingi bado kukamilika hazikifiki hata 300b, wakati huo huo deni la taifa limepanda kwa 20t within 4yrs. Hapo kuna miujiza gani.
 
Tanzania tunahitaji kupigania uhuru wa kweli hawa ccm wameupokonya uhuru wetu wa bendera 😂😂😂
 
Mkuu

Amekamilisha ujenzi wa hospital ya rufaa ya mkoa wa Mara (kwangwa). Ilianza kujengwa na mwl jk Nyerere hakuikamilisha akaishia ujenzi wa msingi. Ni zaidi ya miaka 30 lakini Chuma cha chato kimeikamilisha ndani miaka mi4.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hiyo hospitali imejengwa kwa shilingi ngapi, usije ukasifia kitu kwakua hakikujengwa kwa uzembe basi usifie kisa imejengwa sasa. Weka figure ya huo ujenzi.
 
Hivi mnakwama wapi nyie wapinzani, msipokua makini Magufuli atawafunika mpaka mkose pakutokea, hamuna hoja, mumeishiwa kabisa, kama mtakwenda hivi kwenye uchaguzi wa 2020, bila shaka mtaisha na kufutika kwenye daftari.
Mleta mada ameleta hoja za maana sana zinazopaswa kujadiliwa ili Watanzania watathmini maendeleo ya rais, nyie mnajibu kwa vituko.
Kama anajiamini na hayo yote kwanini aogope Wapinzani sasa?
Siku zote Kibaya cha Jitembeza bali Kizuri kinajiuza!
 
Hiyo hospitali imejengwa kwa shilingi ngapi, usije ukasifia kitu kwakua hakikujengwa kwa uzembe basi usifie kisa imejengwa sasa. Weka figure ya huo ujenzi.
Shs ngapi mm hainihusu. Ninachoangalia ni kukamilika kwa hosp ilihoshindikana kukamilika kwa awamu zote 4

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuache genius wetu afanye kazi.
Of course ni 'jinius' kwa kukutia ujinga wewe na wenzako na kuwafanya muamini kuwa nyinyi nyote ni mali yake, kama ng'ombe vile wanaofugwa na mfugaji.

Mtu na akili zako unakuja hapa kuwaambia watu kwamba miradi yote inatekelezwa kwa pesa za madafu? Kuna unachokijua kweli katika mambo ya miradi mikubwa inayohitaji manunuzi toka nje? Hao makandarasi wa nje nao utawalipa madafu?

Kwa ujinga wenu huu mnatamani waTanzania wengine wote wawe kama nyinyi mliokabidhi utu wenu kwa huyo 'genius' wenu.
 
Kumbe kujua english ndiyo kigezo cha kuwa genius. Nchi zisizoongea kiinglish zote hazina genius persons!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeelewa kilichoandikwa lakini? Hivi ukiambiwa kuna mtu ni genius na amesoma elimu yake yote hadi PhD kwa Kichina lakini huyo genius hajui Kichina utaona ni jambo la kawaida?
 
Kiukweli magufuri jembee ,kwangu ni raisi bora hajawai tokea ni mtu wa kuthubutu, amejenga reli, mradi mkubwa wa umeme ambao kwa afrika ni nnchi hazizidi nne zenye zenye umeme huo, pia katimiza ndoto za baba wa taifa kuhamia dodoma, ombi lg kwa mfanya kazi yoyote wa serikalini ambae hapendi kukaa dodoma acha kazi ukale nyasi, hizo nafasi nasi twaziitaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom