Pamoja na misemo mingi kama hii iliyopo, hakika hakuna ubishi kuwa huwakirisha mtu aliyepitia
1. Misuko suko hatimae mafanikio
2. Shida, hujuma, na majaribu lakini hakukata tamaa.
Kibwagizo kikubwa huwa nikwamba, pamoja nayote hayo alipata mafanikio, nahuyo anaitwa mshindi
Ila kama asingeyapata mafanikio lkn alivuka yte hayo, ataitwa Mpambanaji.
JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI, eye ni MSHINDI.
Kwanini JPM ni mshindi
Mh Rais john p. Magufuri a.k.a brudoser. Mara tu baada yakuchaguliwa kuwa Rais wa JMT akakumbana na yafuatayo:
1. Account nyeupe, malipo hewa yaliyoandaliwa kukomba fedha, mzee akaziwahi na akapiga chini Gavana wa BOT
2. Darali wa mabeberu akatangaza ugonjwa wa dhika! Mzee akaiona akaipangua akampa za uso mwele malesera.
3. Ikatangazwa njaa kila kona ya nchi! Mzee akaikwepa akawakoswa koswa waliotangaza akawapa nyo. Ikawa shwari
4. wakataka kufungulia maji ya mabwawa ya umeme! Mzee akaisoma akawapiga bit ngoma ikatulia.
5. wakaanza kuhujum ndege, mzee akaisoma akalala nao mbele kwa mbele! Wakahama nchi na wakawa vilema
6. wakasitisha misaada ya Rea mzee akatoa fungu na umeme uko kila kona.
7. Kari ya mwaka sasa, WAKALETA COVID-19 aaaah!! Mze akashtuka akawaeudishia za mdomo, mpaka leo wanatema dam.
Rais magufuli haya yote kayafanya kwakuwa tu , mungu alimleta atuokoe watanzania, hata yesu aliwaambia wanafunzi wa yohana kuwa! Anauliza kama mimi ndie masiha?? Wakasema ndiyo.
Yesu akawaambia nendeni mkamwambie viwete wanatembea na vipofu wanaona!
Kwa asiye mkubari JPM mwambieni.. Barick wamelipa na kukubari kuunda nao kampuni
Mwambieni .. standard guage iko moro to mza , Bwawa la umeme la nyerere hydropower iko 75%
Mwambieni.. hospitali aliyoiacha mwl ile ya msoma na vituo vya afya , zahanati, hosp za rufaa zimejengwa.
.haki mahakamani iliyopotea sasa imerudi,
Habari ya unanijua mimi sasa haipo.
Lakini msisahau nayale mnayoyaona kwa macho yenu.
October 2020 tumpe kura kwa wingi atuingize kanaani.
Enzi na Enzi
Dar es salaam.
Ameifanya Chato ifanane na Gbadolite ya mobutu sese seko kwa maana anajenga/ amejenga
Taaa za kuongoza magari( bila magari?
Uwanja wa ndege wa kimataifa (bila ndege za kimataifa kutua) sana Sana popo na bundi wanakaa
Amejenga uwanja wa michezo wa watu nusu lakin bila kuwa na team league kuu au hata iwezekano wa uwanja kujaa kwa miaka50 ijayo
Hospital ya rufaa
Haya Mambo aliefanya Mobutu kule Gbadolite
Wapi tija? Mbona maisha ni magumu?,ajira Hakuna, mmeshindwa ongeza hata mishahara,kulipa wastaafu mafao,acheni propaganda za kuwadanganya futureless people wanyonge maadamu tu mnashiba
Labda kazi ya kuleta umasikini nchini.
Ambaye amekosa ajira ni wewe peke yako kisa kukesha JF. Ardhi yote tuliyonayo bado unalalamika? Chukua jembe kalime hakuna atakayekusidia kama wewe mwenyewe umeshindwa kujisaidia.
Wapi tija? Mbona maisha ni magumu?,ajira Hakuna, mmeshindwa ongeza hata mishahara,kulipa wastaafu mafao,acheni propaganda za kuwadanganya futureless people wanyonge maadamu tu mnashiba
Labda kazi ya kuleta umasikini nchini.
Uchumi unavyopanda maisha lazima yawe magumu. Maisha hayawezi kuwa raisi hata siku moja, unaweza kunitajia ni nchi gani ambayo imeendelea na maisha ya raia wake ni rahisi? Nafahamu huwezi kujibu hilo bali utakaa na kulialia tu na kuwewesekaweweseka. Chapa kazi mkuu malipo ni hapa hapa duniani.
Mkutano upi wa ndani? weka ushahidi? JPM amuogope nani wakati yeye ndiye amiri Jeshi mkuu? Hizo ni ndoto tu, endelea kuota ukiamka utakuta Tanzania iliyopiga maendeleo.
Mkutano upi wa ndani? weka ushahidi? JPM amuogope nani wakati yeye ndiye amiri Jeshi mkuu? Hizo ni ndoto tu, endelea kuota ukiamka utakuta Tanzania iliyopiga maendeleo.
Uchumi unavyopanda maisha lazima yawe magumu. Maisha hayawezi kuwa raisi hata siku moja, unaweza kunitajia ni nchi gani ambayo imeendelea na maisha ya raia wake ni rahisi? Nafahamu huwezi kujibu hilo bali utakaa na kulialia tu na kuwewesekaweweseka. Chapa kazi mkuu malipo ni hapa hapa duniani.
Wenzetu wamewekewa mifumo ya kufanya kazi,ukilima kazi yako sio kutafuta soko Bali soko ndo linakutafuta,mikopo rahisi na wezeshi,Kodi rafiki.Hapa tu Kodi ya kuingiza gari ili uzalishe ni kubwa kuliko hata gharama za kuzalisha gari Hilo kiwandani, mtawala anajisifia kuwasomesha namba watu ili wawe masikini ili aweze kuwatawala then anasema makusanyo yameongezeka.Vikwazo vya kufanikiwa kwa jumla ni vingi.Kama wakoloni wao waliweza boresha maisha ya watu sababu waliotengeneza mifumo mizuri ya kuwafanya watu wafanye kazi.Sera mbovu uzalisha tatizo la ajira ajira.
Ambaye amekosa ajira ni wewe peke yako kisa kukesha JF. Ardhi yote tuliyonayo bado unalalamika? Chukua jembe kalime hakuna atakayekusidia kama wewe mwenyewe umeshindwa kujisaidia.
Unadhani kulima ni rahisi Kama kufanya mapenzi.Hilo kundi la machinga na bodaboda sababu ya sera mbovu za ujima lililojaa mjini means hio ardhi hawaioni?
Ambaye amekosa ajira ni wewe peke yako kisa kukesha JF. Ardhi yote tuliyonayo bado unalalamika? Chukua jembe kalime hakuna atakayekusidia kama wewe mwenyewe umeshindwa kujisaidia.
Mifumo mibovu ya kuwafanya watu wawe masikini ili uwatawale ili wakuabudu,kwa kuuwa private sector kimakusudi eti ni wapiga dili Sasa sijui wakulima waliozulumiwa hizo dili sijui walizipigia wapi.
Badala ya kuleta maendeleo ya watu Bali vitu ili ukumbukwe kupitia vitu usipokuwepo,inachochea umasikini na ongezeko la machinga na bodaboda ambao si wazalishaji wa kukuza uchumi Bali ni madalali wa viwanda vya china.
Wenzetu wamewekewa mifumo ya kufanya kazi,ukilima kazi yako sio kutafuta soko Bali soko ndo linakutafuta,mikopo rahisi na wezeshi,Kodi rafiki.Hapa tu Kodi ya kuingiza gari ili uzalishe ni kubwa kuliko hata gharama za kuzalisha gari Hilo kiwandani, mtawala anajisifia kuwasomesha namba watu ili wawe masikini ili aweze kuwatawala then anasema makusanyo yameongezeka.Vikwazo vya kufanikiwa kwa jumla ni vingi.Kama wakoloni wao waliweza boresha maisha ya watu sababu waliotengeneza mifumo mizuri ya kuwafanya watu wafanye kazi.Sera mbovu uzalisha tatizo la ajira ajira.
Wamewekewa na nani? Jiulize? Unatakiwa wewe mwenyewe uweke mazingara yatakayokusaidia hapo baadaye kujiwezesha, hatuwezi kuendelea kuwa watumwa wa mtu mweupe. Kama unafikiri kuwasomesha watu sio kuwakomboa kiuchumi kalaga baho!
Mifumo mibovu ya kuwafanya watu wawe masikini ili uwatawale ili wakuabudu,kwa kuuwa private sector kimakusudi eti ni wapiga dili Sasa sijui wakulima waliozulumiwa hizo dili sijui walizipigia wapi.
Badala ya kuleta maendeleo ya watu Bali vitu ili ukumbukwe kupitia vitu usipokuwepo,inachochea umasikini na ongezeko la machinga na bodaboda ambao si wazalishaji wa kukuza uchumi Bali ni madalali wa viwanda vya china.
Kwa hiyo JPM ndio amekufanya wewe uwe masikini? Je, unasemaje kwa wale ambao wamekuwa matajiri katika kipindi hiki cha utawala wake? Matatizo yako binafsi ya kushindwa kwako binafsi sio swala la kitaifa. Umasikini wako na ulofa isiwe nongwa ya kutuchelewesha kwenda kwenye uwezeshaji uliotukuka kwa kila Mtanzania anayejitambua na wajibu wake kwa Taifa.
Wamewekewa na nani? Jiulize? Unatakiwa wewe mwenyewe uweke mazingara yatakayokusaidia hapo baadaye kujiwezesha, hatuwezi kuendelea kuwa watumwa wa mtu mweupe. Kama unafikiri kuwasomesha watu sio kuwakomboa kiuchumi kalaga baho!
Kwa hiyo JPM ndio amekufanya wewe uwe masikini? Je, unasemaje kwa wale ambao wamekuwa matajiri katika kipindi hiki cha utawala wake? Matatizo yako binafsi ya kushindwa kwako binafsi sio swala la kitaifa. Umasikini wako na ulofa isiwe nongwa ya kutuchelewesha kwenda kwenye uwezeshaji uliotukuka kwa kila Mtanzania anayejitambua na wajibu wake kwa Taifa.
Nazungumzia uchumi wa jumla sio wa wapiga dili wa awamu hii.Ungekuwa unajitegemea ungejuwa Hali halisi lkn kwa sababu unaishi kwa shemeji mnufaika na we ni kula kulala ni lzm uwe ni kipofu mnufaika,lakini majority wapo hoi.
Kama unaweka mifumo ya kuwabana watu mfano Kodi komozi,kuuwa sekta binafsi,kupora biashara za watu, Kuzulumu wakulima, Kuzulumu watumishi haki zao, kuwashughulikia matajiri sababu ya chuki,kuuwa diplomasia,nk Hawa majority watakuwa vipi na nafuu ya maisha.Mimi hata sukari iuzwe elf 10 kilo namudu,nauli iwe elf 5 namudu vipi majority?.Si mbinafsi sababu nashiba nisiumie kuona wengi wakifanywa masikini kimakusudi.Ungekuwa umesoma na kuujua uchumi ungeelewa.
Maendeleo sio kondomu Hadi uzame mfukoni,je maendeleo ya vitu yanareflect kubadili maisha ya watu?
Wamewekewa na nani? Jiulize? Unatakiwa wewe mwenyewe uweke mazingara yatakayokusaidia hapo baadaye kujiwezesha, hatuwezi kuendelea kuwa watumwa wa mtu mweupe. Kama unafikiri kuwasomesha watu sio kuwakomboa kiuchumi kalaga baho!
Kwa hiyo JPM ndio amekufanya wewe uwe masikini? Je, unasemaje kwa wale ambao wamekuwa matajiri katika kipindi hiki cha utawala wake? Matatizo yako binafsi ya kushindwa kwako binafsi sio swala la kitaifa. Umasikini wako na ulofa isiwe nongwa ya kutuchelewesha kwenda kwenye uwezeshaji uliotukuka kwa kila Mtanzania anayejitambua na wajibu wake kwa Taifa.
100% sera mbovu za awamu hii,kutwa kucha kupambana na upinzani badala ya kupambana na umasikini wetu ndio zimeleta umasikini nchini.
Unajua tafsiri au Nia ya kusomesha watu namba, kulimia meno, vyuma kukaza, ungekuwa unajitegemea ungelewa lengo lake ni nn.Nikusaidie ni kitendo cha kufanya watu wawe masikini ili uwatawale.Kumbuka makomunist yote hayana uwezo wa kuongoza intelligent people na watu waliofanikiwa,ili waweze kutawala ni lzm wawashushe watu wawe masikini na kutengeneza hofu na uoga kwa kutumia nguvu na si hoja ya ushawishi kwa sababu hawana brain hio.Thus wenzetu sio kila takataka upewa leseni ya udereva ili usijeangusha gari only bright one na wasio na itikadi za kijamaa na kikomunisti ndani mwao ili wasiletee watu umasikini.
Tangu awamu ya kusomesha watu namba iingie jumla ya watu milioni 4 wamepoteza ajira zao rasmi.Achilia propaganda za ajira milioni 6 labda za machinga na bodaboda ambazo hazichochei ukuaji wa uchumi.
Hakuna makomunist yeyeto yanayoshughulika na maendeleo ya watu Bali vitu lengo ni kutafuta sifa na kuja kukumbukwa.
Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.
Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.
Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.
Mpaka sasa kafanya haya;
Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2 (Nyingine 3 ziko mbioni kuja).
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
------------
Na haya ameanza tarehe 12/4/2017;
Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba
Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.
Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.
Miradi Mikubwa ya Maji :
Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga
============ emie emie posted: Kwa kweli Rais wetu kafanya makubwa sanaa..
Kila upitapo sasa hivi ni ujenzi unaendelea...Dar es Salaam kila kona Barabara ya Tandale-Sinza- Mawasiliano inajengwa
Madaraja yanajengwa
Upanuzi wa barabara kuu ya Ubungo hadi chalinze unafanywa
Daraja Kilombero miaka yote wapigaji walikuwa wanakula hela za wananchi kuwavusha ila sasa limejengwa
Flyovers zinajengwa
Miradi ya umeme inajengwa na miradi mingi ni kwa hela za watanzania wenyewe
Miaka yote maeneo ya Mbezi na kimara walikuwa hawapati maji japo yanapita njia hiyo hiyo lakini sasa maji yamefika mbezi, na bado wanaendelea kutandaza mabomba ili kupeleka maji. Awali waliokuwa wanakula hela za wananchi ni wenye miradi ya kuuza maji kwa magari. Ila sasa wananchi wamekombolewa.
Utendaji kazi umeimarika, sasa hivi kila mmoja anaona cheo akipewa ni kama kakalia kaa la moto..Yale mambo ya kupiga hela na kukaa ofisini kupiga usingizi yameisha watu ni kazi la sivyo unawajibishwa.
Madawa sasa yanapatikana hospitali, ile hali ya madawa ya hospitali yanapelekwa katika Pharmas binafsi imeisha.
Hospitali sasa za serikali ukienda mgonjwa anajaliwa sio kama ilivyokuwa awali.
Taasisi za serikali wafanyakazi wamekuwa wanawajibika ....hakika nidhamu imeimarika.
Kwa sasa taasisi za serikali zinajiendesha kibiasara bali si kihasara kama ilivyokuwa awali, ilikuwa ni ulaji tuu wa hela, upigaji dili, taasisi zinakufa, hakuna gawio kwa serikali, ila sasa zinatoa gawio...Hakika kila kitu ni usimamizi imara, ukicheka na kima utavuna mabua.
Awali watu walikuwa wanaulilia uongozi, hata wasio kuwa na elimu walikuwa wanagombea kupata uongozi, sasa uongozi umekuwa mgumu sababu kama wewe si muwajibikaji una ndoto za kupiga tuu, hupati nafasi, Uongozi umekuwa una hadhi kwa sasa.
Binafsi nimefurahishwa na kasi ya Rais Dkt. Magufuli. Naamini wapo pia wengi wanaoungana nami katika furaha hii. Rais Magufuli ameanza kwa kasi ambayo kama ataimaintain, Tanzania haimalizi miaka mitano itakuwa tayari ni nchi yenye kipato cha kati. Hata hivyo wapo baadhi yetu ambao wanakejeli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.