The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Ila mburula hawamuelewi ππMama anatumia scientific leadership. Anajua mafanikio huvutiwa sio kulazimishiwa. Anajua uongozi ni ubunifu, busara na kutumia akili na sio msuli.
Kwa approaches zake tutapiga hatua kwenye mambo mengi.
Naona umerudi kwa kasi sana, enzi za Mgalatia hata JF ulisusa.Will Smith ndani ya Serengeti kwa staili ileile ya Royal Tour na mkewe ndie kamuiga mama kuwa ni Tour Guide kwa mumewe...
Kaja kujionea mwenyewe live baada ya kumuona mama kwenye Royal Tour?
Wenye wivu wajinyonge.
Hii alikuja siku nyingi. Na alitengeneza kashort film kabisaWill Smith ndani ya Serengeti kwa staili ileile ya Royal Tour na mkewe ndie kamuiga mama kuwa ni Tour Guide kwa mumewe...
Kaja kujionea mwenyewe live baada ya kumuona mama kwenye Royal Tour?
Wenye wivu wajinyonge.
Mi nimemshangaa, willy smith alikuja siku nyingi kabla ya royal tourWe mujahidina unajua ni mara ngapi anakuja serengeti hata kabla ya royal tour. Acha ujinga kama huna mume sema usaidiwe
πππWe mujahidina unajua ni mara ngapi anakuja serengeti hata kabla ya royal tour. Acha ujinga kama huna mume sema usaidiwe
Huko shule ulisomea ujinga?Will Smith ndani ya Serengeti kwa staili ileile ya Royal Tour na mkewe ndie kamuiga mama kuwa ni Tour Guide kwa mumewe...
Kaja kujionea mwenyewe live baada ya kumuona mama kwenye Royal Tour?
Wenye wivu wajinyonge.
Kwaiyo kila mgeni atakayekuja ni royal tour ππππWill Smith ndani ya Serengeti kwa staili ileile ya Royal Tour na mkewe ndie kamuiga mama kuwa ni Tour Guide kwa mumewe...
Kaja kujionea mwenyewe live baada ya kumuona mama kwenye Royal Tour?
Wenye wivu wajinyonge.
Labda yanaonekana kwa Waislamu na wazanzibar,sifa zingine niza uchawa.Will Smith ndani ya Serengeti kwa staili ileile ya Royal Tour na mkewe ndie kamuiga mama kuwa ni Tour Guide kwa mumewe...
Kaja kujionea mwenyewe live baada ya kumuona mama kwenye Royal Tour?
Wenye wivu wajinyonge.
Juha ni wewe kikongwe unae weka mapambio hata pasipofaa. Naona una nyeg* weweKwani Mama Samia Suluhu mara yake ya kwanza kwenda Serengeti?
Swali la kijuha hilo.
Weka ushahidi hapa. Acha porojoWill Smith ndani ya Serengeti kwa staili ileile ya Royal Tour na mkewe ndie kamuiga mama kuwa ni Tour Guide kwa mumewe...
Kaja kujionea mwenyewe live baada ya kumuona mama kwenye Royal Tour?
Wenye wivu wajinyonge.
Azizi Mussa kumbe na wewe unaingizwa chaka kirahisi namna hii? Huyu msanii siyo mara yake ya kwanza kuja Tanzania. Nakumbuka hapa tulishakuwa na thread kuwa yuko Bongo! Hebu tuache sifa za kijinga kwa sababu hamumsaidii mama Samia japo mnadhani mnamsaidia. Mnampoteza!Mama anatumia scientific leadership. Anajua mafanikio huvutiwa sio kulazimishiwa. Anajua uongozi ni ubunifu, busara na kutumia akili na sio msuli.
Kwa approaches zake tutapiga hatua kwenye mambo mengi.
Mshikaji mbona anakujaga tu mara nyingi tu!Will Smith ndani ya Serengeti kwa staili ileile ya Royal Tour na mkewe ndie kamuiga mama kuwa ni Tour Guide kwa mumewe...
Kaja kujionea mwenyewe live baada ya kumuona mama kwenye Royal Tour?
Wenye wivu wajinyonge.
Kwani faiza ana mvi?....Zamani mvi zilitumika kutambulisha hekima na busara alisobeba mtu.
Bahati mbaya sana mambo haya hayapo tena.
Unatulisha matango poriWill Smith ndani ya Serengeti kwa staili ileile ya Royal Tour na mkewe ndie kamuiga mama kuwa ni Tour Guide kwa mumewe...
Kaja kujionea mwenyewe live baada ya kumuona mama kwenye Royal Tour?
Wenye wivu wajinyonge.