Mafanikio ya Utawala wa Jakaya Kikwete ndani ya Miaka 10

Ajira zilipatikana sekta zote za umma na binafsi.Sekta ya umma peke yake si chini ya elfu 35 Kila mwaka. (Udaktari,Ualimu,uhandisi,polisi,jeshi n.k)
 
Kila Kiongozi anastahili Pongezi katika mazuri aliyofanya pia kukosolewa ila sio kumdhihaki,kumsema hovyo au kumtukana.Kila awamu na Mambo yake..Tuongeze tu juhudi na kasi ya maendeleo.
 
Jk hakuwahi kulazimisha watu wakajiandikishe ili wapige kura bali watu walivutiwa na siasa safi iliyokuwepo kipindi hicho,,,,,,,,,,Magufuli afanye yake kujilinganisha na Jk ni sawa na mlima Kilimanjaro ulingane na kichuguu,,,,jk was the best hapana wa kumfata iwe mkapa hata magufuli
 
F Naona mmeanza kasifiaa sabiri sindano ndo ipo inaingia tuliza kalio ndugu
 
Unalinganisha kwa mizani gani? Miaka minne kea miaka kumi?
Tuache ubabaishaji
Kasome deni la taifa la miaka minne ya jiwe halafu uje ulinganishe na deni la miaka 10 ya jk.halafu uludi hapa.
Kama hujatamani kukimbia nchi.
 
Huo Mtandao uliomsumbua Kikwete ulikuwa wa Lowasa.Ulimsumbua kipindi chote Cha utawala wake.Akalipa kisasi kwa kumpiga chini Lowasa kiongozi wao na Magufuli akaja kupigilia msumari kwa kuusambaratisha uliokuwa umebakia serikalini na mashirika ya umma na vyama vya siasa ikiwemo CCM ,UKAWA akina chadema na CUF na ACT wazalendo
 
Kasome deni la taifa la miaka minne ya jiwe halafu uje ulinganishe na deni la miaka 10 ya jk.halafu uludi hapa.
Kama hujatamani kukimbia nchi.
JK hakukopa? Alichofanya ni nini zaidi ya kula bata majuu mpaka kuku wakaona wivu?

Halafu hela zinazokopwa zinaenda kwenye miradi ya maendeleo. Kama tunataka kwenda vizuri mikopo nayo lazima itumike vizuri.

Nina shaka kama huu ni muda muafaka wa kuanza kulinganisha. JK, kama Rais mstaafu ana heshima yake kubwa tu. Tuilinde. Hii milinganisho isije ikafungua makabati yenye siri
 
Nilishasema humu jf kama kinywa changu kiliwahi kumsema vibaya JK naomba Mungu anisamehe
Kikwete akisimama kutaka kugombea uraisi atapita bila kupingwa na chama chochote Upinzani hauwezi simamisha mgombea washashika adabu washamuomba samahani Sana mbona kuwa walimwonea awasamehe.

Kila sehemu Kikwete akiwepo anashangiliwa Sana na wananchi.
 

Ukitaka kufungua makabati anzia JKN, AM, BWM na JK halafu uone kama kuna atakayebaki salama..
 
Tumenunua ndege
Stiglers
Korosho tumpandisha bei
Elimu bure

Mijamaaa mijinga sana
hakuna elimu bure Tanzania serikali inatoa ruzuku kwenye elimu tu. msituchoshe na viswahili vyenu vya kishamba
 
Maccm kazini yakichambua udhaifu wa Wenyeviti wao. Mkimaliza tuambieni pia ni nani mwibaji mzuri wa kura kati ya hao wawili
 
Wewe kweli ni kitomfyo...
sema kisukuma nikuelewe
jibu lako hili limakutosha [/QUOTE]
 
Walau nilikuwa mtu mzima wakati wa kikwete na sasa, sielewi hawa wanaoimba sana sifa za awamu ya tano wanaona miujiza gani ambayo haikuwahi kuwepo huko nyuma, binafsi naona Jk alifanya makubwa sana kwa awamu yake na kikubwa uchumi wana wananchi ulitengemaa sana kwa sabbu yeye alidili zaidi na kukusanya misaada toka nje kuliko huyu wa sasa, wananchi wenye kipato cha chini hawakusumbuliwa na kodi na pia alijitahidi kuruhusu uwekezaji kiasi ajira zilikuwa walau zinaonekna kuliko sasa, waalimu na udaktari ilikuwa ukimaliza unasubiri ajira lakini sasa hayo mambo yamepungua kama sio kwisha kabisa na wakati huohuo shule za binafsi zimeshaanza kuonja joto
 
Na kikubwa zaidi aliruhusu hoja mbadala na uhuru wa maoni, kuwa hata nikikosea muwe huru kunisema. Sasa huyu malaika wetu mkuu ambaye ana makosa LUKUKI KULIKO wote waliomtangulia yeye anataka asifiwe tu...
 
Aliweza kuonge mshara kila mwaka,lakini sasa mnashindwa kufanyahivyo.
Matokeo yake mnajitangaza na makamera kuzindua miradi iliyotengenezwa na jk unaemsema alikua anakula bata.hovyo kabisa!!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…