Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Kama Tunduma imeweza kuishi chini ya CCM miaka 60 bila maji, hawatashindwa kwenye miaka mitano ijayo.
CHADEMA mnadaiwa 2.5billion za miradi ya maji, hatuwezi kuendelea kupoteza pesa za umma kwa kupalilia majizi. Tumbua chadema lete SILINDE ili tuweke maendeleo zaidi. Msema kweli mpenzi wa Mungu, Tunduma wameamua kuokoka, leo wamebatizwa kwa moto na wamepokea upako. Wewe unadai wamefokewa hahahahah tulia ubatizo uzame
Dr Magufuli amesema ili kuleta maendeleo ya haraka ni lazima wachaguliwe wabunge na madiwani anaoweza kuwawajibisha moja kwa moja ambao wanatoka CCM.
Dr Magufuli amemwombea kura David Silinde na kuwaambia wapiga kura wa Tunduma kuwa hii ni mara ya mwisho kuwaomba kwani amevumilia hadi moyo umeuma.
Source EATV
My take; Ni muhimu kuchagua mafiga matatu ili chungu kikae vizuri
Maendeleo hayana vyama!
Inafikirisha saana....tunerymudi nyuma miaka 30DKT. MAGUFULI: MKINICHANGANYIA SILETI MRADI WA MAJI
Dkt. John Magufuli, mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM amesema katika muhula ujao ameshaweka mipango ya kupeleka maji Ireje yaweze kufika Tunduma.
Amesema wakimchanganyia wabunge, yaani wakimchagua mbunge asiye wa CCM basi hatopeleka miradi ya maji Tunduma.
Amesema miaka mitano iliyopita aliwabembeleza na hii ni mara ya mwisho yeye kuwaomba watu wa Tunduma. Amesema hawatishi ila moyo unauma kuona wanamchanganyia.
Amesema ili wapate maji ni lazima wamchague David Silinde, mgombea ubunge wa Tunduma kwa tiketi ya CCM ambaye ni mbunge wa Momba anayemaliza muda wake kwa tiketi ya CHADEMA.
Huu ukweli utam'costi'Lakini msinichanganyie, mkiniletea hao, nasema maji hamyapati. Lazima tuambizane ukweli na mimi nazungumzaga ukweli.'
Na anasema maendeleo hayana Chama
Kodi itakusanywa na vibanda tutabomoa lami tunabomoaAache kukusanya kodi ya wakazi wa Tunduma pia. Asiwatolee VITISHO ili wampe kura na pamoja na VITISHO vyake Silinde njeeeee
Connect.Kodi itakusanywa na vibanda tutabomoa lami tunabomoa
Walisahau kumwekea feni, injini imepata moto sana'Lakini msinichanganyie, mkiniletea hao, nasema maji hamyapati. Lazima tuambizane ukweli na mimi nazungumzaga ukweli.'
Na anasema maendeleo hayana Chama
pepo tokaaa ..CHADEMA mnadaiwa 2.5billion za miradi ya maji, hatuwezi kuendelea kupoteza pesa za umma kwa kupalilia majizi. Tumbua chadema lete SILINDE ili tuweke maendeleo zaidi. Msema kweli mpenzi wa Mungu, Tunduma wameamua kuokoka, leo wamebatizwa kwa moto na wamepokea upako. Wewe unadai wamefokewa hahahahah tulia ubatizo uzame