Kuharibu nchi hujakusema tafadhali. Yani kaharibu hadi mama mwenye huruma anadiriki kumsema!Huyo mtu anawaumiza sana,waoga mnaongea baada ya yeye kuondoka.Hana alichobakiza kawa mbunge,waziri na Rais....mtabaki kuguna guna na kufa mtakufa
Uchumi umewashinda kwa miaka 60 ya uhuru, CCM ni ile ile, hakuna cha Magufuli au samiiNdugu zangu,
Mwaka 2016 Hayati Rais Dr.John Magufuli akiulizwa kuhusu mikutano ya vyama vya siasa na Katiba Mpya alisema "nataka niinyooshe nchi kwanza nipeni muda"...
Ngoja nikunong'oneze watu wasisikie "Kwani huungi mkono juhudi? 👂utabaki kuwa hamnazo maana unasisitiza kifo cha jamaa kama hakuna anayejua hapa.
hiyo ni dalili ya kuweweseka mkuu,au kisasa tunaita mhaho.
mimi ni ccm kabla hujazaliwa.Ngoja nikunong'oneze watu wasisikie "Kwani huungi mkono juhudi? [emoji101]
Kuharibu nchi hujakusema tafadhali. Yani kaharibu hadi mama mwenye huruma anadiriki kumsema!
Yani uende kule halafu acha kelele watu watasikia. Namaanisha kuwa uende kule ukawahi vyeo. Si unajua kuwa alikuwa anapiga kampeni kuwa akifika huko awe mkuu wa kina naniluu atakuwa keshapata ushindi huko. Wahi unaweza kuwa mkuu wa wilaya ya sayari ya Jupiter 😂mimi ni ccm kabla hujazaliwa.
kwani huko unakwenda mwenyewe au unaitwa!!!Yani uende kule halafu acha kelele watu watasikia. Namaanisha kuwa uende kule ukawahi vyeo. Si unajua kuwa alikuwa anapiga kampeni kuwa akifika huko awe mkuu wa kina naniluu atakuwa keshapata ushindi huko. Wahi unaweza kuwa mkuu wa wilaya ya sayari ya Jupiter [emoji23]
Siyo lazima uitwe. Unaunga mkono juhudi kisha unajiongezakwani huko unakwenda mwenyewe au unaitwa!!!
embu anza wewe kwanza.Siyo lazima uitwe. Unaunga mkono juhudi kisha unajiongeza
Sijawahi kumkubali yule jamaa sasa naanzaje kumfuata ili niungane naye?embu anza wewe kwanza.
Labda sababu ya kufanya siyo ili mataga walie, lakini mmelia anyway!hakuna anayepigwa ndugu.
usichojua,kuanzia polisi mkamataji,majaji na mahakimu wanajua kabisa hakukuwa na kesi za msingi pale.
kwenye ulimwengu wa intel tunasemaga,hakuna jambo linatokea bahati mbaya.
wewe endelea kudhani yanafanywa hayo ili mataga walie.
RAIS MAGUFULI ALIMWEKA "JELA" MAKAMU WAKE SAMIA SULUHU HASSAN
Na Bollen Ngetti
MWANAMUZIKI Ndanda Kosovo aliwahi kuimba, "Jela..jela ni mbaya, jela..jela ni mateso". Ndanda hakukosea. Aliimba uzoefu alioupata jela hapo Ukonga. Ninamuunga mkono Ndanda kwa uzoefu nilioupata nikiwa jela Keko na Segerea. Jela ni mbaya. Ukiwa jela umezungukwa kuta nene ndefu huwezi kuona nje kwa kifupi unakuwa umenyimwa uhuru wako...
Yani uende kule halafu acha kelele watu watasikia. Namaanisha kuwa uende kule ukawahi vyeo. Si unajua kuwa alikuwa anapiga kampeni kuwa akifika huko awe mkuu wa kina naniluu atakuwa keshapata ushindi huko. Wahi unaweza kuwa mkuu wa wilaya ya sayari ya Jupiter [emoji23]
Ukipigwa(ga) huwa unavutaga mdomo, babe?! Tupiamo tupicha basi, tufaidi mdomo huo!Duh ulivuovuta mdomo kwa hasira...relax
Akina Mdude wanatoka miujiza inafanyika bado Yohana anauliza kama huyu ndiye Yesu. CHADEMA acheni malumbano na mama munaweza musiipate nafasi kama hii tena shauri yenu.