Uchaguzi 2020 Magufuli kama angesimama na mtu mwingine kwenye kura za maoni asingeshinda kama ilivyokuwa kwa Makonda

Ndiyo Magufuli ameziba mianya ya ulaji serikalini. Ni mipango na sera gani alizoziweka ambazo mrithi wake atazifuata na hali haitarudi kama ilivyokua?
 
Mwakyembe pia chali
 
Mkumbuke baadae kabisa majina yanatakiwa yaende kamati kuu, lirudi moja bila kujali uwingi wa kura za maoni ambalo ndio litapeperusha bendera ya chama, Makonda nafasi anayo.
 

SASA WEWE USIJETUPONZA AKAMRUDISHA MAKONDA BURE! ACHA MARA MOJA, UTAKIWI KUONGEA KWA NGUVU!
 
Na hata mimi nitaunga mkono kumpongeza kwa ushindi wa namna hiyo, licha ya kutopenda mengi aliyofanya kwenye hii miaka mitano.
Acha kumlinganisha Rais wa Africa na watu wasio eleweka. Mimi nipo nchi za nje kote huku wanamzungumzia Magufuli tu.
 
Ukweli mtupu,
Huyu jamaa, hapendwi, anaogopwa,anapewa heshima ya woga tu,
 
Umesema kwa WaTz wote!! Uwazi huo utakuepo?! Kinachozungumzwa hapa ni uwazi
 
Hili Lipo wazi kabisa. NDIO maana walishindwa kuweka hata MAMLUKI ajidai kama anamchallenge JPM wakiogopa kuwa Yule MAMLUKI anaweza kushinda.
 
Uko sahihi, margin haikuwa kubwa sana kama mtu ambavyo angelitgemea. Haikuwa mbaya sana! Kwangu mimi bado Kigamboni kuna "takataka" za watu maana haikupashwa kupata kura hizo Makonda!
Kapata nyingi sana
 
Kauli ya Rais ...kwaba yeye na viongozi wakuu wa chama hawajamtuma mtu yeyote kugombea; ni tamaa zao,hasa vijana waliozaliwa 1982. Kauli hiyo ya dakika za mwisho iliwapa wajumbe ujasiri wa kujiamini kufanya maamuzi.
Wajiamini halafu wampe kura zote hizo?
 
Kiherehele kimempoza ukuu wa mkoa na kuteka na kuuwa watu wapi na wapi? Unajipa majukumu hata yasiyokuhusu,Sasa aende chamwino akawe mshauri wa baba yake kwenye Mambo uchumi wa katikati.
 
Kabisa jiwe hakubaliki ni nguvu tu na propaganda ndizo zinamweka madarakani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…